aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,672
- 3,737
Vijana wengi hawajajua kuwa kuna fursa mpya ya ajira mjini ambayo ni marathon
sasa jijini Dar na mikoa mikubwa haiwezi kupita wiki bila kuwa na mbio za marathon sasa akijana ambaye huna ajira fanya mazoez ya kutosha ya kutosha
kila wiki ukienda kukimbia na ukawa hukosi kwa washindi unauhakika wa laki mbili na nusu ambapo kwa mwezi kutokana na iyo fursa unauhakika wa kuingiza kipato cha shilingi milion 1
vijana fursa hiyo itumieni vyema
sasa jijini Dar na mikoa mikubwa haiwezi kupita wiki bila kuwa na mbio za marathon sasa akijana ambaye huna ajira fanya mazoez ya kutosha ya kutosha
kila wiki ukienda kukimbia na ukawa hukosi kwa washindi unauhakika wa laki mbili na nusu ambapo kwa mwezi kutokana na iyo fursa unauhakika wa kuingiza kipato cha shilingi milion 1
vijana fursa hiyo itumieni vyema