May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,162
- 8,820
Ningetamani kuwepo na sheria ambapo Kocha/Timu isiruhusiwe kucheza zaidi ya mechi tano au kumi bila kumtumia Mchezaji wake.
Yaani iwe kila baada ya dakika kadhaa za kucheza basi asiwepo Mchezaji ndani ya timu ambae hajacheza walau dakika kumi za mechi ya ushindani.
Inaleta maudhi kuona baadhi ya Wachezaji wanaishia kukaa benchi Mechi kumi mfululizo, au hata msimu mzima.
Mchezaji asisajiliwe kusindikiza wengine, kama hana mchango kwenye timu basi auzwe au aachwe akatafute maisha kwingine.
Yaani iwe kila baada ya dakika kadhaa za kucheza basi asiwepo Mchezaji ndani ya timu ambae hajacheza walau dakika kumi za mechi ya ushindani.
Inaleta maudhi kuona baadhi ya Wachezaji wanaishia kukaa benchi Mechi kumi mfululizo, au hata msimu mzima.
Mchezaji asisajiliwe kusindikiza wengine, kama hana mchango kwenye timu basi auzwe au aachwe akatafute maisha kwingine.