Hivi wananchi gani wataacha kwenda kuwa siku sikiliza akina diamond ambao wamekuwa wakiwasikia kupitia radio? Uzuri wenye ccm yao wanajua ukweli kuwa ccm tuna hali mbaya
We mama diamond katoka wapi huku mbona alikuwa zanzibar igunga ametoka wapi.Hivi wananchi gani wataacha kwenda kuwa siku sikiliza akina diamond ambao wamekuwa wakiwasikia kupitia radio? Uzuri wenye ccm yao wanajua ukweli kuwa ccm tuna hali mbaya
Mmezoea haya mambo subirini moto wenu.
View attachment 286487
umati mdooogo!hv anagombea ubunge?
umati mdooogo!hv anagombea ubunge?
View attachment 286483
View attachment 286484
View attachment 286485
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Barafu ,Igunga.
View attachment 286486
Wananchi wa kata ya Igurubi wakimsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli alipokuwa njiani kuelekea Igunga kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
View attachment 286483
View attachment 286484
View attachment 286485
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Barafu ,Igunga.
View attachment 286486
Wananchi wa kata ya Igurubi wakimsikiliza mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli alipokuwa njiani kuelekea Igunga kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Magufuli anachukua nchi kiulainiiiii
Magufuli anachukua nchi kiulainiiiii
Wa kumzuia yuko wapiii. Yule anayetetemeka akiongea dk 2 anaongezewa chajii? Huu Moto mwingine tunahitaji Maendeleo kwa Kasi ya super sonic.