The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,624
- 18,217
Pumba bin Pumba.
Hao uliotajata ni viongozi wa chama au serikali.
Rudi shule ukafundishwa.
Unajua idadi ya viongozi wa CDM walio kule? taja pia kama hujamaliza list nzima ya viongozi wenu.
OTIS.
Nimetoka Kinondoni mchana wa leo, nimekuta ofisi ya CDM makao makuu, imefungwa kibao kimeandikwa, viongozi wakuu wote wako Igunga, ukitaka kuonana na viongozi wa kitaifa hadi kuanzia Octoba 5, 2011
Pumba bin Pumba.
Hao uliotajata ni viongozi wa chama au serikali.
Rudi shule ukafundishwa.
Unajua idadi ya viongozi wa CDM walio kule? taja pia kama hujamaliza list nzima ya viongozi wenu.
OTIS.
Jamaa kapatia - Ni viongozi wa Serikali wanatumia hela za umma kufanya kazi ya CCM bila ridhaa yetu sisi wananchi.
Pumba bin Pumba.
Hao uliotajata ni viongozi wa chama au serikali.
Rudi shule ukafundishwa.
Unajua idadi ya viongozi wa CDM walio kule? taja pia kama hujamaliza list nzima ya viongozi wenu.
OTIS.
Wakuu inaonekana serikali karibu yote imehamia Igunga,I am about to write something kuhusiana na uchaguzi huu naomba mnisaidie kuijaza list hii:
Vigogo
1. Mwigulu Nchemba
2. Samuel Malecela
3. Philip Mangula
4. Mashishanga
5. Mukama
6. Msekwa (sina hakika kama huyu bado yuko huko)
7. Wasira
8. Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Athuman Mfutakamba
9.
10.
Wabunge:
1. Aeshi Hilali
2. Hamisi BAgaile Kingwangwala ( Not sure kama nimepatia surname)
3. Ester Bulaya.
4. Lusinde
5. Rage
6.
7.
8.
9.
kaka ndani ya CCM kuna mengi - ukishangaa ya NAPE kutokuwa igunga je akina Saweli Sita, Anna Kilango, January Makamba, Mama Shelukamba na Mwakyembe?Ina maana Nape sio kiongozi wa ccm? Mbona wenzake wote wapo igunga yeye anahangaika huko serengeti?
Igunga kuna uchaguzi na kila chama lazima kitumie mbinu zote kushinda. Kama chama kina uwezo wa kupeleka viongozi wake woote huko ili kufanikisha ushindi ni RUKSA, huo ndio ushindani wa kisiasa
hivi wakuu niulize na kupenda kujua sheria yetu inasemaje?
Ukisha kuwa waziri na kukatokea uchaguzi mdogo kama huu wa igunga kwanini waziri kama waziri uje kwenye siasa za kampeni?? Kwani wasije wabunge wakawaida ambao hawana cheo serikalini? Au wana chama wenye mvuto wa chama chenu kuwapigia kampeni?
Je sheria inaruhusu waziri kama mtendaji wa serikali kwenya kwenye kampeni?
Hivi wakuu niulize na kupenda kujua sheria yetu inasemaje?
Ukisha kuwa waziri na kukatokea uchaguzi mdogo kama huu wa Igunga kwanini waziri kama waziri uje kwenye siasa za kampeni?? kwani wasije wabunge wakawaida ambao hawana cheo serikalini? au Wana chama wenye mvuto wa chama chenu kuwapigia kampeni?
Je sheria inaruhusu waziri kama mtendaji wa serikali kwenya kwenye kampeni?