Mkuu umenikumbusha Kivuitu. Wakati wakenya wanauwana kwasababu alimtangaza mgombea aliyeshindwa, jamaa na Moi walikuwa Ngurdoto wanakula raha! Nashangaa kwann hakupelekwa The Heague kama wenzie!
Unajua ccm ina matatizo sana mtaji wake ni kufanya rafu kwenye uchaguzi..cdm msilalamike si mlisha jua mbinu wanazofanya zuieni uovu wao..........all the best cdm.