jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Dola ni kama mtoto yatima, inaondokewa na baba mlezi (jk+ccm) wananchi ndio wenye jukumu la kuipatia hiyo dola baba mlezi mwingine kutoka nyumba ya ccm au nyumba nyingine. wakati zoezi hili linafanyika huyu mtoto yatima(dola) hatakiwi kuwaelekeza wananchi cha kufanya. Kimaadili hapaswi kuonyesha makeke yoyote maana hana mamlaka ya kuchagua baba.