Treaple N
Senior Member
- Feb 11, 2021
- 161
- 385
Ndo ukome umbea Hauna poshoKuna Mahali flani kulikuwa na kambi ya Hawa waislamu wenye itikadi Kali ilikuwa inawafundisha vijana technic za kivita Kwa zile bunduki bandia pamoja na phiscally attack
Basi nikamfikishia Askari mmoja hiyo taarifa jina lake ninalo
Hakulifanyia kazi jambo Hilo kabisa wakati ule ghafla likapigwa lile Kanisa la kule Olasti Arusha na Mgahawa mmoja kule Kanisa road uzunguni
Siku Moja nikakutana na yule Askari nikamkumbusha vipi zile taarifa ulizifanyia kazi?
Akaniambia acha umbea wewe ...Nikamuambia poa.
Baada ya hapo huyu Askari akawa hata hanisalimii tena
Siku Moja wakati naongea na Jamaa mmoja hivi ambae nae ni Answar yule Askari akapita wakasalimiana vizuri
Baadae huyu jamaa yangu ndio akaniambia kuwa wanasali msikiti mmoja na huyu Afande so nikaelewa kitu tayari
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app