IGP Sirro: Mjadala wa Tundu Lissu kupigwa risasi ufungwe mara moja

IGP Siro amesema wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria kwa kuwatumikia Watanzania wote na si mtu mmoja.


"Ahsante kwa swali
lakini kwa hili sina
majibu kwa sababu
sitaki malumbano. Sisi
tupo kwa ajili ya
Watanzania wote ndiyo
maana nchi ipo shwari.
Mimi ndiye mkuu wa
Jeshi la Polisi nchini na
ninawajibika
kuhakikisha raia na
mali zao zinakuwa
salama na kwa kweli ni
salama. Kwa hiyo swali
lako sina jibu,”
amesema IGP Sirro.
 
Ukitaka kuona timbwili la Shoga, tomasa Matako yake bila ridhaa yake.

Hawa jamaa hawana namna ya kukwepa ujangili walomfanyia Lissu, lazima wawe wakari ili kuwajaza ofu wale wote wenye mapenzi mema na Lissu.
 
Amesema ni aibu kwa
mwanasiasa kutaka
kumfundisha kazi askari
anayetambua wajibu
wake au askari kwenda
kumfundisha siasa
mwanasiasa, hivyo
ametaka kuwe na
mipaka ya utendaji kazi
kwa mujibu wa sheria
za nchi na si vinginevyo.
 
Porojo zao zimetuchosha, kwanini tuwabembeleze wakati ni wajibu wao na wanalipwa kwa kazi hiyo. Leo mwezi umepita hakuna updates zozote hakuna aliyekamatwa zaidi ya Sirro kuwatisha wananchi wanaohitaji habari za mpendwa wao.

Kama hawataki kufanya uchunguzi waache wananchi watachunguza wenyewe na watuhumiwa watahukumiwa na mahakama ya wazi ya wananchi, maana nijuavyo hata kama jeshi la polisi litamjua aliyempiga Lissu risasi of which najua wanamjua, hakuna mahakama Tanzania yenye uwezo wa kumkamata na kumhukumu zaidi ya mahakama ya wananchi.

Binafsi ninachosubiri ni tamko la Lissu wala sio uchunguzi wa polisi, atuthibitishie nani alimpigia risasi, mnaosubiri ripoti ya polisi endeleeni kusubiri kama tunavyosubiri ripoti ya Ben Saanane.
 
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro ametaka mjadala kuhusu kupigwa risasi kwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, ufungwe mara moja.

Agizo hilo amelitoa leo akiwa ziarani jijini Mbeya wakati akizungumza na vikosi vya ulinzi na usalama ambapo amewaonya wanasiasa kuacha kuuendeleza na waliachie jeshi lifanye kazi yake.

Kuhusu madai yaliyotolewa hivi karibuni na familia ya mbunge huyo kuwa jeshi hilo halina dhamira ya dhati ya kufanya uchunguzi, IGP Sirro amesema hana cha kuwajibu kwa kuwa hataki malumbano na familia hiyo.



Chanzo: Azam Tv
Pumbaffff zake kabisa huyo nyakororo au sijui nyakorokoro..
mjadala utafutwa pale tu ambapo hao wahuni wao waliowatuma wamekamatwa na wameshtakiwa mahakamani na kesi ikaendelea.. hapo ndo hatutaweza kusema lolote tena lakini kinyume na hapo asituletee zake za kuleta.. Shubamiiit!
 
Sirro acha mambo ya kisiasa katika maisha ya watu.

Kwa sasa kila mtu anaeikosoa serikali iwe ni kiongozi wa kisiasa au sio kiongozi,awe ni raia wa kawaida au kiongozi wa kidini,wote wana hofu.

Huwezi kuzuia watu wasijadili hofu zao in refference to alicho fanyiwa Tundu lissu,kisa tuu kuna mtu hapendi,acha mambo ya ajabu.

Mngekuwa mmetuletea ni kina nani wametenda hilo kosa,tungenyamaza lakin muda ni mrefu umepita,wala dalili za kupatikana kwao hatuzioni.

Msituchefue please,tuache na mambo yetu pambana na hali zako.
 
Mseminari Afande IGP Sirro awe wazi,anataka mjadala wa kuhusu uchunguzi wa watu wasiojulikana na hatimaye kupigwa risasi Tundu Lissu ufungwe??Au mjadala kuhusu afya,maendeleo na kauli za Tundu Lissu akiwa hospitali ndio ufungwe?

Kama alivyo kiongozi mwingine wa kuchaguliwa wa kisiasa,Hivyo ndivyo kwa TL,afya yake na maendeleo yake yanapaswa kufahamishwa kwa wapiga kura wake na wale wote wenye mapenzi mema ambao hawana uwezo wa kufika Nairobi na wangepende kujua hali ya afya yake.

Wengi tumemchangia TL kwa hiyari,hatupo nyumbani wala Nairobi,lakini tungependa kujua afya ya TL inaendeleaje?IGP anazuia kujadiliwa kwa afya ya TL kama nani?Kwanini sasa wakati zimepita siku 30 bila watesi wake kukamatwa?

Sasa tunaukaribia ukweli,wamejua tunakoenda ni kuwajua waliomtesa TL na kutaka kuidhulumu nafsi yake.Tunakaribia kuwajua kwa majina na sura,ni watu wa heshima,ni watu tuliowaamini watulinde sisi,ni watu tuliowapa dhamana ya kulinda mali na uhai wetu,hawa ndio watesi wetu.

Wanaanza kuumbuka,wanaanza kuweweseka,tutawajua na nafsi zao zinajutia na kuhangaika.Tutaendelea kujadili hadi pale tutakaapowajua wote kama tulivyowajua waliomtesa Nappe kuwa ni walinzi wa RC Makonda
Na hii ni baada ya kusikia MANGE KIMAMBI anamwaga kila kitu hadharani.
 
IGP anajua kwamba katiba ya nchi inawapa watu uburu wa kupashana habari na kutaka mjadala ufungwe sio tu kunavunja katiba, bali pia hakuisaidii polisi kuweza kupata habari fulani mpya?
Kujadili kunawazuiaje kupata watu wao kwa mfano yaani?
 
Back
Top Bottom