IGP Sirro: Askari mmoja analinda watu 2000

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
"Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
 
Watoe ajira hizo mm siwez kuacha kulala nikafanye kaz ya ulnz shirikish ambayo haina posho
Wakitoa ajira huku uwezo wa kulipa ni mdogo kitakachofuata ni kua na wahalifu ambao wanalindwa na system wengi mno.
 
"Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
Sawa Kamanda na tungependa kujua kwa Tanzania askari mmoja anawambambikizia kesi raia wangapi kwa wastani?
 
Jambo la msingi ni ku Pressurize serikali iajiri maaskari. Kuna vijana wengi sana waliomaliza mafunzo ya JKT wako mtaani.
Shida huku mtaani kuna wakati tynaona bora tujilinde wenyewe maana askari ni kama tatizo jipya.
 
Mbona mimi sijawahi kumwona huyo askari akinilinda mtaani kwangu?
 
"Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
Uchumi wa Kati tuzungumzie TEKNOLOJIA sio Askari tena
 
Sasa kama hawatoshi wanapataga wapi muda wakuangaika na vikao vya vyama vya upinzani visivyo na impact yoyote.Inawezekana idadi yao inapunguzwa na shughuli za ovyo ovyo zisizo na ulazima.
 
Okey,kwahiyo sisi raia tuna nguvu kubwa sana tukiamua kukataa unyanyasaji wenu dhidi yetu?

Kwa sababu ya sisi kutotambua nguvu yetu ndio maana mnatufanyia haya maujinga ila tukitambua tu basi mtatuheshimu kwa sababu siku tukikataa kuonewa mtavua sare na kukimbia. Tuheshimiane pliz
 
Analinda ama ananyanyasa?
"Askari mmoja analinda watu 2,000 jambo ambalo haliwezekani, kimataifa askari mmoja anapaswa kulinda watu 450, ili kutatua hilo ni vema tukawa na ulinzi shirikishi na asiyetaka kulinda alipishwe faini kama Dar es salaam wanavyo fanya"IGP Siro

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Siro Juni 30.2021amefanya mkutano wa tathimini ya pamoja na viongozi wa ngazi ya kata wakiwemo, Wenyeviti wa vijiji, Mtaa, Madiwani, Watedaji wa kata na vijiji Mkoani Kilimanjaro kuhusu hali ya usalama na umuhimu wa viongozi hao kwenye jamii
 
Back
Top Bottom