IGP & RPC Kagera ondoa pandikizi huyu

IGP & RPC Kagera ondoa pandikizi huyu

Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.
Polisi wanafahamiana kwa namba na cheo.ukisema chris watakuwa wengi sana.hebu sema namba zake na cheo ili iwe rahisi kwa rpc na IGP kufuatilia kwa haraka
 
Nimemtaja kwa sababu ni mwmihaji haramu, achia mamlaka husika zifatilie na kama zitakwenda hewani kutolea majibu suala ili ndo utajua ni kweli au si kweli. Amini husiamini mambo yako nilivyoyaleta ktk post yangu. Na kama unamfahamu, muulize kwao ni wapi, mwambie karagwe ulikuja lini. Hata hivyo polisi si ni wepesi wa kudeal na data za jf kama zile za rwakatare?, basi hii wadeal nayo, na kwa hili natoa 100% ya ukweli.

KWENYE SIASA WAKO FASTA lakini si hili..
 
Niko hapa biharamulo naona wanavyokamatwa hawa wanyarwanda basi hana budi na yeye kukamatwa kwani hao ndio wanao dhohofisha jeshi letu hususan mkoa wa kagera. Ameamua kumtaja ili taifa lijue na kua makini na askari kama hao wala sio kwamba anamchukia.

ahaha,acha nicheke,sasa tukubali ni mnyarwanda mwenye uraia je itakua kosa kua kachero watanzania? Kweli kua na uraia na kutokua nao nchini tanzania ni kitu kimoja sana sana kwa wanyarwanda,kunajamaa amesema hata walimu,yani wamewafundisha pamoja na watoto wenu leo eti waondoke,kwani mliwapa kazi kwa sababu mulikua munawahitaji na mpaka sasa munawahitaji.
 
Polisi wanafahamiana kwa namba na cheo.ukisema chris watakuwa wengi sana.hebu sema namba zake na cheo ili iwe rahisi kwa rpc na IGP kufuatilia kwa haraka

umenena....kama wanawajua wawataje kwa namba zao za kazini au majina yote..
 
ipo siku tutalia sana mtikila kaongea sana kuhusu hawa kokrochiz wa rwanda kwenye vyombo vya dora mi mwenyewe nawafahamu wanyarwanda kibao wengine walimu wakuu wa shule nendeni ninyi maspy mikoa ya rukwa , katavi na kigoma wapo kibao

hii ni kazi ndogo sana, kuwaidentify hatakama walilowea huku tangu 1900 ni rahisi sana, sijui watu wa tiss wanafanya nini!
 
Just curious to know,wewe umesema huyo jamaa mnajuana coz mmetoka wote rwanda so it means wote ni wanyarwanda. Je,kwa nini unamchomesha mwenzako? Je una mapenzi gani na tz zaidi ya rwanda hadi useme tz kwanza rwanda baadae? Remember we a great thinkers na hata wasiwasi ni akili.

Kama wewe ni igp/rpc basi fanyia kazi taarifa hii, na kama wewe si kati ya hao niliowataja basi napendekeza ukae kimyaa, na suala uratibu wa suala ili ufanye kazi. Kama ni mtz si itajulikana tu?, sina mapenzi na tz, nachojua mie nilishajipatia uraia siku nyingi sana, tangu 1997. Baba yangu ndo mnyru, mama yangu ni mtz wa karagwe. Yote kwa yote, tz kwanza, rwanda baadae, TISS/POLISI, ingia kazini ili mpate ukweli wa jambo ili, kwa wale mnaotaka ukweli wa jambo ili kwa ushahidi ni kwamba hii ni jf ambamo tumo kwa ID za mficho lakini yanayojili humu si ya mficho, na mara nyingi ni ya ukweli na kwa hili kila mtu ni shahidi.
 
Wanabodi wote,
Nimefurahishwa na hatua ya Baina ya kumtaja mmoja wa wanyarwanda huko Kagera. Bila kujali ukweli au uongo wa tuhuma hizi kwa muhusika, lakini ni mwanzo mzuri wa kuanza kuwatambua wanyarwanda waliopo kwenye taasisi zetu. Kama tulivyofanya kwa madawa ya kulevya, basi na hapa tuwataje watu wote tunaohisi kwamba ni wanyarwanda ndani ya taasisi zetu ili kuisadia serikali kushughulika nao. Hawa ni watu tunaishi nao kabisa. Tufanye hivyo kwa usalama wa nchi yetu.

[h=2]
user-online.png
baina[/h][h=2]Igp & rpc kagera ondoa pandikizi huyu.[/h]
Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/507319-igp-and-rpc-kagera-ondoa-pandikizi-huyu.html


Madawa ya kulevya????,??ar u serious!!!@@@
Nani katajwa na Serikali mpaka sasa???.
 
Kuna mwingine kapewa ukurugenzi wa halmashauri,b4 alikua jiji mwanza,nikikamilisha uchunguzi wangu nitaweka mambo hadharani
 
Polisi wanafahamiana kwa namba na cheo.ukisema chris watakuwa wengi sana.hebu sema namba zake na cheo ili iwe rahisi kwa rpc na IGP kufuatilia kwa haraka

Namba yake sijui ila nchojua,

1. Ni mrefu mwembamba.
2. Sura yake wala huan haja kuuliza kama ni mnyaru, kwani sisi wanyaru tunasura zinafanana sana, nafikiri mnanielewa?
3. Nimesema yupo ktk ofisi ya rco kagera, kitengo cha upelelzi, nafikiri amefikia cheo cha ukoplo.
4. jina lake ni christopher.

Masuala ya watamjuaje, waachie wao, watumie sifa hizi, kama wanaaskali zaidi ya mmoja wenye ili jina basi watuptie picha zao hapa nami nitawaambia ni yupi kati ya hao kupitia hapa jf.
 
Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.

Yaani wewe umejitaja kuwa ni Mny arwanda then unajifanya Mzalendo wa TANZANIA...how come!!!!!!!!!!!!!.
This is Upumbavu at its best
 
Uzuri wa waTz ni wepesi wa kusahau.

Kuna kipindi NIDA walifanya zoezi la utambuzi wa raia kwa ajili ya vitambulisho vya taifa. Walianzia Serikalini,Jeshini na polisi na Taasisi/Idara zake...

Baada ya muda kidogo tu wakasitisha hilo zoezi. Kuna mambo mengi sana ya uraia yaliibuka kwenye hilo zoezi. Hilo zoezi lilifutwa kwa kutoa sababu za kipuuzii...

Kwenye hilo zoezi hawa kina "Chris" walibainika na ni wengi wengine ni wakurugenzi wa wizara etc, wengine ni ma General wa JWTZ na huko polisi ndio usiseme....

Mkuu baina tunashukuru kwa taarifa, ila hawa kina "Chris" wapo wengisana na wanajulikana. Ila tatizo ni corrupt nature ya ccm, sijui kama watawaweza...
 
Nimemtaja kwa sababu ni mwmihaji haramu, achia mamlaka husika zifatilie na kama zitakwenda hewani kutolea majibu suala ili ndo utajua ni kweli au si kweli. Amini husiamini mambo yako nilivyoyaleta ktk post yangu. Na kama unamfahamu, muulize kwao ni wapi, mwambie karagwe ulikuja lini. Hata hivyo polisi si ni wepesi wa kudeal na data za jf kama zile za rwakatare?, basi hii wadeal nayo, na kwa hili natoa 100% ya ukweli.

Mkuu mbona umebeba Bango hivyo wakati na wewe ni M Nya Rwanda.
Waambie Polisi waanze na wewe kama vp
 
Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.

Na wewe je sio kachero wa PK?! Kwa nini unataka tukuamini reja reja tu!
 
Kama wewe ni igp/rpc basi fanyia kazi taarifa hii, na kama wewe si kati ya hao niliowataja basi napendekeza ukae kimyaa, na suala uratibu wa suala ili ufanye kazi. Kama ni mtz si itajulikana tu?, sina mapenzi na tz, nachojua mie nilishajipatia uraia siku nyingi sana, tangu 1997. Baba yangu ndo mnyru, mama yangu ni mtz wa karagwe. Yote kwa yote, tz kwanza, rwanda baadae, TISS/POLISI, ingia kazini ili mpate ukweli wa jambo ili, kwa wale mnaotaka ukweli wa jambo ili kwa ushahidi ni kwamba hii ni jf ambamo tumo kwa ID za mficho lakini yanayojili humu si ya mficho, na mara nyingi ni ya ukweli na kwa hili kila mtu ni shahidi.

ok kwa kuwa ujibu vizuri kuwa wewe umepata uraia basi you are serious and if you wish PM me immediatelly.
 
Namba yake sijui ila nchojua,

1. Ni mrefu mwembamba.
2. Sura yake wala huan haja kuuliza kama ni mnyaru, kwani sisi wanyaru tunasura zinafanana sana, nafikiri mnanielewa?
3. Nimesema yupo ktk ofisi ya rco kagera, kitengo cha upelelzi, nafikiri amefikia cheo cha ukoplo.
4. jina lake ni christopher.

Masuala ya watamjuaje, waachie wao, watumie sifa hizi, kama wanaaskali zaidi ya mmoja wenye ili jina basi watuptie picha zao hapa nami nitawaambia ni yupi kati ya hao kupitia hapa jf.
Haya!tusubiri utekelezaji wao na maadamu chris ni mwenzio basi utajua mapema sana .naoba utujuze mara upatapo mrejesho wa huu Uzi uliouanzisha.
 
madawa ya kulevya????,??ar u serious!!!@@@
nani katajwa na serikali mpaka sasa???.

najua unajihami, utajulikana na utarudi kwenu tu, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, je na rwanda mpaka leo muuaji mkuu wa raisi habyerimana ameshakamatwa vile!
 
Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.
Chris Katongo? yule ni Mzambia... Kwani ukiwa Mnyarwanda ni vibaya? mbona tulikuwa nchi moja wakati wa Ujerumani... na mtu huwezi ukawa jasusi kwa nchi hizi za kiafrika technolojia yetu ni ndogo sana... kuweza kuharibu chochote...
 
Ndugu IGP pamoja na RPC wa kagera naomba mujue kuwa katika ofisi ya RCO kagera kuna askari polisi anaitwa Chris ambaye napenda niwahakikishie kuwa huyu jamaa ni mnyarwanda 100%, na alijiunga ktk jeshi kwa kazi moja tu ya ukachero.Mimi ninayeandika haya ni mtu ninayemfahamu sana huyu jamaa, naye ananifahamu sana kwani sote tunatokea rwanda, na kwetu ni rwanda japo yeye kuna kipindi aliwahi kuishi karagwe, nafikiri huo ulikuwa ni mtandao wa kumwingiza ktk dola la tanzania. Nimewahi kukuandikia barua wewe IGP yapata kama miaka 2 hivi lakini sijui uliipata au hukuipata?, Jamii forums kuna ukweli japo tunajificha kwa majina ili kujinusuru. Sasa kama wewe IGP/RPC kagera una membership humu, niulize swali lolote nami nitakujibu. Kwakuwa niliandika barua na hamkujishughulisha ku-deal na suala ili nimeona niliweke uchi mbele ya watanzania. Huyu jamaa ni mrefu hivi, na ninajua mtafahamu.

TANZANIA KWANZA RWANDA BAADAE.
Unaandika haya ukiwa Tanzania au Rwanda?

Tukiwa na watanzania na wanyarwanda wenye moyo kama huo tunaweza kulegeza 'tension' iliyopo inayotaka kusababisha vita baina ya nchi mbili hizi.
 
Back
Top Bottom