sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
Imekuwa ni kawaida kwa jeshi letu la Polisi kila mara linapotoa tahadhari kwa wananchi kutokana na interejensia yao waliyoifanya kwa kina uhusishwa na kudai haki kwa njia ya maandamano.Lakini haijawahi tokea interejensia yake ikatoa taarifa ya mauaji ya makumi ya wananchi wanao uwawa wakati wa chaguzi ndogo.Je kwa interejensi hii ya bwana Mwema kuna haja ya kuwa jeshi la Polisi kama hili?