IGP Mangu kiboko ya CHADEMA

IGP Mangu kiboko ya CHADEMA

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.
 
Wasingekuwa chadema,asingepata hizo sifa zote
Amepatiwa na hao hao
 
Mangu ndo ziGP tunaemuhitaji dhidi ya Manyangau chagadema

nafikiri sifa ya uyang'au inampendeza sana mama'yo maana amesababisha umezaliwa ukiwa na tabia chafu ya ushoga hadi hujui haki zako sababu ya kuwatumikia wezi na mafisadi. Wait time will tell.
 
Sipati picha Pinda anakuwa Rais na Magufuli anakuwa Waziri Mkuu na Mwakyembe anakuwa Waziri wa Mambo ya Ndani. Sijui hawa machadema kama watapata ujasiri wa kuongea upuuzi wao wa kulazimisha maandamano. Yaanimile kutangaza tu kuwa wataandamana licha ya zuio la polisi tayari anakuwa amewekwa ndani
 
nafikiri sifa ya uyang'au inampendeza sana mama'yo maana amesababisha umezaliwa ukiwa na tabia chafu ya ushoga hadi hujui haki zako sababu ya kuwatumikia wezi na mafisadi. Wait time will tell.
Chadema wanalilia nchi iongozwe na Rais Dikteta. Mbona Mangu wanamgwaya sana?
 
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.

Ganja bhana
 
Mangu anajua kazi yake ipasavyo. Si kwa sababu ya CHADEMA?
Angejua kazi majambazi yangemshinda, kazi anayojua ni kutii maagizo ya mabwana zake tu kuwadhibiti watetezi wa wanyonge. Siku ipo na siku yaja ambayo wauaji wote kuanzia fastjet mpaka mangu watajibu.
 
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.

KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.

Nilidhani juzi kule Mara angewatetea vijana wake walipopewa kichapo cha mbwa mwizi na Wazee wa kazi (JW). Kwa hakika mtu ana mtemi wake.
 
Kwa taarifa yako unayemsifia anaitia petrol Tanzania, subiria kidogo tu tuanze kuchinjana sisi kwasisi, polisi watatuuwa kwa risasi lakini wao na watoto wao tunaishi nao mitaani mwetu na waanze kuhama maana kila mmoja kwa nafasi yake aanze kuchukuwa hatuwa kuangamiza polisi na familia zao tuone mwisho wake nani ataibuka mshindi polisi au raia. nawewe mleta uzi omba upate maisha marefu kidogo tu ushuhudie nakuonja machungu ya unachokisifia maana hufahamu unashabikia nini.

Wewe mpaka sasa upo chini ya ulinzi mkali una hatarisha usalama subiri ip address yako nirushe kwa watu wa cyber crime
 
Wewe mpaka sasa upo chini ya ulinzi mkali una hatarisha usalama subiri ip address yako nirushe kwa watu wa cyber crime

Kenge wewe aliyemtesa Ulimboka na kumuuwa Dr Sengondo Mvungi unawajuwa wewe unayejikomba kwa wezi na wauwaji wa watu wasio na hatia? unawawajuwa wanaosababisha umasikini na vifo vya watanzania kila siku kwa mamia kwa kukosa matibabu. Tunahitaji kuidai haki ya kuishi, elimu na uwazi kwa nguvu zote. wapumbavu kama wewe wanaodhani ukijipendekeza utaishi milele ni mbumbu wa matokeo ya BRN. wakati wa ukoloni ulifaa kuzamishwa kisimani.
 
Chadema wanalilia nchi iongozwe na Rais Dikteta. Mbona Mangu wanamgwaya sana?

Nyinyi wajinga mtatumika na ccm mpaka lini ona wadogo zenu wanavyoteseka na maisha.

10659383_359924450837047_3177282633903371897_n.jpg
 
Duuuh mi simo make naona kumbe bado kuna watanzania ambao hawajitambui wanashabikia ukandamizaji bila kujua!!!!!???
 
Back
Top Bottom