assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Kiukweli IGP MANGU amefanikiwa kulinda utulivu wa nchi kwa muda mfupi. Kwa namna alivodhibiti maandamano ya CHADEMA na kusupress eti maagizo ya kamati kuu.
KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.
KAMANDA UMEIELEWA VEMA NA KUITEKELEZA AMRI YA MH PINDA.