IGP Mangu hawa ndo 'askari' wako!!

Askali sharobalo.. Afu halipi huyo. Mbebaji anaogopa kubamkiwa kesi au kuuawa kabisa kwani watu hao
 
Mijitu mingine bhana.., sasa we ulitaka aloweshe soksi zake?! kwani yuko vitani?! labda anaenda zake kujinunulia doghnut tu.., mwache na maisha yake bhana..
 
Duuh! hii kali, lakin nao ni binadamu wa kawaida banah,, labda anahofia kiatu chake kitaoza kwenye maji,,,
 
Shenzi kabisa, yaani tunalipa kodi ya uniform afu tunazibeba wenyewe!
 
Ningekuwa mimi ndo mlimbeba ningemdondosha kwenye huko kwenye maji .
 
Kuna UZI fulani nimesema kuwa hii picha nimeikuza usawa wa ya TV inch 24 nimeiweka ukutani ofisini kwangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…