Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Kufuatia tukio lwa waandishi wa habari kukamatwa na polisi wakiwa wameenda shule ya Lucky Vincent, IGP Mangu amesema sio lengo la polisi kuwakwaza na hayo yaliyofanywa na polisi wa ngazi za chini haimaanishi yana baraka za viongozi wa juu wa polisi