Elections 2010 Igizo TBC

Vawulence

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
1,928
2,101
Wakuu kuna igizo linaendelea TBC 1 'linaiua' ccm hasa. Linaelezea vigezo vyote vya ufisadi wa ccm kama rushwa kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi. Pia wananchi wanahamasishana kuchagua viongozi wenye sifa za wagombea wa CHADEMA. Pia wanaongelea jimbo ila kwa mtu mwelewa atajua wanamzungumzia JK.
 
sio igizo tu vyombo vya habari karibia vyote vinatoa ujumbe unaomlenga yeye na chama chake
 
Itakuwa braza Tido haelewi ujumbe,vinginevyo angekata matangazo.
 
Igizo la ukweli trh 1 wakati tunamwapisha Dr. wa ukweli kuingia ikulu na kumsindikia jemedari kulekea Bagamoyo
 
Mafisadi wakitushinda Oct 31, mpaka ifike 2015 watatuoa roho kwa visa na visasi, kwa kuiba kufidia na kuweka akiba ya kuanzaia kampeni za 2015. Plan B & C are very important:doh:
 
Back
Top Bottom