Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,928
- 2,101
Wakuu kuna igizo linaendelea TBC 1 'linaiua' ccm hasa. Linaelezea vigezo vyote vya ufisadi wa ccm kama rushwa kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi. Pia wananchi wanahamasishana kuchagua viongozi wenye sifa za wagombea wa CHADEMA. Pia wanaongelea jimbo ila kwa mtu mwelewa atajua wanamzungumzia JK.