Labda wanataka wengi wao wawe wa diplomaDuhh mbona IT wamechukua wachache sana
usha sahau kupatwa kwa principal pass D...... hao pcm wengi ni DEE,CEE,EEE,EEF........Labda wanataka wengi wao wawe wa diploma
C-3usha sahau kupatwa kwa principal pass D...... hao pcm wengi ni DEE,CEE,EEE,EEF........
pole una D -2 ,CAS....... HAIJALIBIWI.......C-3
E-1...Jumla 4 points Anachaguliwa huyo
CE mtu anachaguliwa(mdogo wangu kachaguliwa education).Kinachoangaliwa ni point nne katika masomo mawili.pole una D -2 ,CAS....... HAIJALIBIWI.......
Dogo tofautisha 2014&2015.Miaka hiyo kulikua na B+ ambayo ina thamani ya B ya sasa kwahiyo C ya miaka hiyo tajwa ni D ya sasa.Ila kwa mwaka huu wamerudisha utaratibu uliokua unatumika huko nyuma wameondoa B+ ko C ya ss ina thamani ya 3.pole una D -2 ,CAS....... HAIJALIBIWI.......
haya na mfano wa mtu mwenye CEE ameshindwa kuapply nafikir n kwa wale 8000Dogo tofautisha 2014&2015.Miaka hiyo kulikua na B+ ambayo ina thamani ya B ya sasa kwahiyo C ya miaka hiyo tajwa ni D ya sasa.Ila kwa mwaka huu wamerudisha utaratibu uliokua unatumika huko nyuma wameondoa B+ ko C ya ss ina thamani ya 3.
Mbaya kivipiNawaonea huruma waliochaguliwa tax japo kila mtu ana bahati yake na connection zake course mbaya kuliko zote ifm ...mawazo yangu lakn
Kuna nafasi nyingine zipo zimebaki kwa wanaofanya second roundDuhh mbona IT wamechukua wachache sana
Mkuu hapo anamaanisha usajili utafanyika jumatatu ya tarehe 26 september, halafu mtarudi nyumban hadi tarehehe 10 october mtakaporudi kwa ajili ya orientation week then tareh 17 mtaanza muhura mpya wa masomoView attachment 403931 hyo ni email kutoka ifm bt hyo 2.0 imenichanganya sanaaa it means month ndo tunaripot Au?? Tusaidiane wakuu
Ahsant Mkuu...so kwenda kujisajiri unaenda na vitu gani mkuu?? Sorry kwa usumbufu Mkuu.Mkuu hapo anamaanisha usajili utafanyika jumatatu ya tarehe 26 september, halafu mtarudi nyumban hadi tarehehe 10 october mtakaporudi kwa ajili ya orientation week then tareh 17 mtaanza muhura mpya wa masomo
Unachaguliwa na tcu walitoa tangazo labda mrad n 4 pointCE mtu anachaguliwa(mdogo wangu kachaguliwa education).Kinachoangaliwa ni point nne katika masomo mawili.
Unaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlkAhsant Mkuu...so kwenda kujisajiri unaenda na vitu gani mkuu?? Sorry kwa usumbufu Mkuu.