Coz yyte unachaguliwa tuUnachaguliwa na tcu walitoa tangazo labda mrad n 4 point
Coz yyte unachaguliwa tuUnachaguliwa na tcu walitoa tangazo labda mrad n 4 point
Hapo ndo cjui ila tangazo la tcu nnalo cwez kuliattach ili mrad uwe na 4 point C n 3 na E n 1Coz yyte unachaguliwa tu
Mkuu vitu huwa vinatofautiana kati ya chuo na chuo japokuwa vingi huwa vinafanana, nachoweza kukushauri tarehe 23 nenda kachukue admission letter maelezo mengine yote utayakuta humoAhsant Mkuu...so kwenda kujisajiri unaenda na vitu gani mkuu?? Sorry kwa usumbufu Mkuu.
Ahsant mkuuUnaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlk
Nakama unategemea mkopo mkuu inakuaje hapo?Unaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlk
Unaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlk
Hapo kwenye ada cjaelewaUnaenda na vyeti vyako orgn n uwe umelipa ada....ifm ndo walivyo usajili huwa unawah hvyohvyo lakn hata ukienda Oct utakuta unaendelea tu my b utaratb uwe umebdlk
M naona usubr majna ya mkopo yatoke huwa wanawah hvyo hvyo tuNakama unategemea mkopo mkuu inakuaje hapo?
Yan ili usajiliwe lazma uwe umelipa adaHapo kwenye ada cjaelewa
Nashukur mkuuM naona usubr majna ya mkopo yatoke huwa wanawah hvyo hvyo tu
NAlipaje ada wakat bodi bado hawajaannounce chochoteYan ili usajiliwe lazma uwe umelipa ada