Ifikie wakati sasa watanzania tuache unafki wa kumfurahia Joti na uigizaji wake wakishoga

bendee

Senior Member
Feb 21, 2013
111
146
Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti anayeigiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii!

Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!
 
Kazi ya msanii ni kuigiza yaliyoko kwenye jamii.

Wasanii wanaigiza mpaka mashetani na Mungu na Yesu leo unataka kuwazuia??

Joti anaigiza kama mwanamke na sio shoga, umeshawahi kuona anapapaswa masaburi??

Au hujui nini maana ya shoga??
mkuu simaanishi kwamba Joti ni shoga ila kama ukitiza upande wa pili wa shilingi ana promote vitendo vya kishoga!
 
Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti ane igiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii! Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!

Jodi inabidi akamatwe na kufikishwa mahakani kwa ku-promote ushoga wakati Tanzania ushoga hauruhusiwi.
 
Hawa watu hawakuanza leo, Joti na Mpoki miongoni mwa vitu vilivyowapa umaarufu ni kuvaa na kujipamba kama wanawake ktk maigizo ya Mambo Hayo, hiyo ndio staili iliyomtoa
 
Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti ane igiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii! Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!
Hyo tittle nlihis inamhusu kiongoz mmoja hv mwenye maneno mengii
 
Back
Top Bottom