Ifikie wakati sasa watanzania tuache unafki wa kumfurahia Joti na uigizaji wake wakishoga

Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti ane igiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii! Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!

Haigizi kama shoga, anaigiza kama mwanamke!!!!!!!
 
Mkuu nikutoe wasiwasi Joti haigizi kama Shoga na wala hakuna dalili zozote za ushoga anazoziigiza Joti isipokuwa Joti anaigiza kama mwana mke, na kuna Dalili zote za kuonyesha uanamke, nikutajie chache..

Joti anaigiza na maziwa ya jike
Joti anavaa mawigi na nywele za jike
Joti anaigiza kwa nguo za kile
Joti anaigiza kwa urembo wa jike.


Mambo yote haya huwezi kuyakuta kwa Shoga yyte, kwani wale ni wanaume kabisa na hata nywele wengi hunyoa

Asante kwa Hoja yako ila tupigie makelele wale mashoga sio wasanii tutapoteza muda
 
Mkuu nikutoe wasiwasi Joti haigizi kama Shoga na wala hakuna dalili zozote za ushoga anazoziigiza Joti isipokuwa Joti anaigiza kama mwana mke, na kuna Dalili zote za kuonyesha uanamke, nikutajie chache..

Joti anaigiza na maziwa ya jike
Joti anavaa mawigi na nywele za jike
Joti anaigiza kwa nguo za kile
Joti anaigiza kwa urembo wa jike.


Mambo yote haya huwezi kuyakuta kwa Shoga yyte, kwani wale ni wanaume kabisa na hata nywele wengi hunyoa

Asante kwa Hoja yako ila tupigie makelele wale mashoga sio wasanii tutapoteza muda
Mkuu hoja yako sina wasiwasi nayo lkn jaribu kutiza upande wa pili washilingi! hivi ni kweli watoto wetu wanauwezo wa kudadavua hivyo kama sisi! kama umewahi kusoma child psychology basi utanielewa na utaelewa uwezo wa mtoto kujifunza na kuiga mambo upo vipi! uigizaji wa Joti una promote vitendo vya kishoga kwa watoto!
 
Child Psychology sidhani kama kuna course hyo IPA CHILD LEARNING AND DEVELOPMENT, labda ndani ndio kuna hyo Child Psychology au vinaingiliana ni kweli mkuu nimesoma kunapindi linaitwa Absorbent mind, yaani mtoto ana absorb kila anachokion ndio hapo kwa kujibu wa Jean J. Piaget the founder of Child Development
 
shoga kama shoga haigizi anafanya kweli lakin joti anaigiza kama vile mtu ambaye mchawi
 
Joti ni Yule wa ze comedy. Manake mie sipendag anavyoigiza kabisa Nina miaka miwili sijawai angalia hivyo vituko vyake. Mara lipsticks , wanja, mwanaume mzima amekosa mwanamke wa kuigiza kwenye hilo eneo?
 
Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti ane igiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii! Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!
Kiukweli alipofika huyu mshkaji anaboa na kuchefua sasa, mimi nakuunga mkono. Sanaa gani zile?
 
Unaposema msanii ni kiyoo cha jamii haimaanishi kuwa msanuii ataonyesha azuri tuu. Jamaii ina mambo mengi sana mazuri na mabaya. Hvyooo kuwa msanii kamili ni kuonyesha yale yaliyondani ya jamii(mabaya na mazuri).

Sio kila linaloonyeshwa au linaloigizwa na msanii lazima liigwe, mambo mengine ni kama taarifa ili jamii itambue nini kupo ndani ya jamii zetu.

Sanaa ina mambo mengi sana tuaipende kuegamia upande mmoja tuu wasanaa ambao ni kuelimisha na kufurahisha. Pia sanaainaweza kulenga kukukera hiyoo ni moja ya maudhui ya sanaa.
 
Mashoga mwaka huu wamejipanga vilivyo. Wapinga ushoga tukiendelea tutafanyiziwa kama nchi jirani walikatiwa misaada. Ama tukae kimya ili tupate kusaidiwa au tupige kelele tukatiwe misaada!
 
Unaposema msanii ni kiyoo cha jamii haimaanishi kuwa msanuii ataonyesha azuri tuu. Jamaii ina mambo mengi sana mazuri na mabaya. Hvyooo kuwa msanii kamili ni kuonyesha yale yaliyondani ya jamii(mabaya na mazuri).
Sio kila linaloonyeshwa au linaloigizwa na msanii lazima liigwe, mambo mengine ni kama taarifa ili jamii itambue nini kupo ndani ya jamii zetu. Sanaa ina mambo mengi sana tuaipende kuegamia upande mmoja tuu wasanaa ambao ni kuelimisha na kufurahisha. Pia sanaainaweza kulenga kukukera hiyoo ni moja ya maudhui ya sanaa.
katika sanaa uigizaji wa Joti upo katika Jukwaa la "women and children" yaani mashabiki wake wengi ni watoto pia na wala hayupo kwenye jukwaa la "Kings and Presidents"! kwa uigizaji wake unaooashiria vitendo vya kishoga ambayo moja wapo ni mwanamme kuigiza ujike je kweli anelimisha watoto wetu!
 
joti haigizi ushoga ila anaigiza kama mwanamke na anaigiza ambayo yapo kwenye jamiii so sio mbayaa
acha kutetea ujinga ww!! we hujui kuwa msanii ni kioo cha jamii hivyo ni watoto wangapi wapo ktk risk ya kuwa mashoga kwa upuuzi wake huyu kiumbe
 
Ndo mnazinduka leo?
Hahaha Hao wKina joti sijui masanja n'a team Yao long time nishawachkliaa Kama mashogaa
Tu.....n'a ushogaa type pc acting Yao ndy imewapA umaarufu,mtu akiangalia kipindi vyaoo lazima atakuwa Na ulakini tu
 
Back
Top Bottom