Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,463
- 45,751
Aache kuigiza kike haileti maana tena wala hafurahishi na ajue wengi hubadili channel pindi wanapomuona maana imekuwa kero to be honest.
aisee simpend yule.. huw nahisi kichefuchefu nikimuonaKuna yule mwingine wa EATV comedy show tuwaunganishe wote
Kazi ya msanii ni kuigiza yaliyoko kwenye jamii.
Wasanii wanaigiza mpaka mashetani na Mungu na Yesu leo unataka kuwazuia??
Joti anaigiza kama mwanamke na sio shoga, umeshawahi kuona anapapaswa masaburi??
Au hujui nini maana ya shoga??
Suala la kupendeza au kutopendeza ni suala la preference tu mkuu.Waweza sema jambo la kweli lakini HAIPENDEZI, pia inaweza poteza maana
teh tehKunawengine wanaigiza kama mtume mohamed S.A.W
mbona Joti ni msanii mzuri tuu, ila kwa kuwacha kuigiza kishoga shoga mbona hato lala njaa! mbona alikuwa anaigiza kama mtoto wa shule au mtu mwengine na rizki yake anapata lkn sio kutumia kipaji chake kwa kuipotosha kizazi chetu kujifananisha na mwanamke!acha kubania rizki ya mwenzako, haya akipigwa marufuku familia yake utailisha wew?
wewe mkuu ndio mwenye uwezo mdogo wa kuchambua maisha halisi ya jamii yako! eti umeandika "msanii ni mwalimu wewe umwangaliaye jifunze toka kwake usimwangalie mwigizajina kumhukumu" sasa watoto wetu wamuangalie wajifunze nini kwake! kubana pua au watoto wakiume kuigiza ujanajike! Joti ni msanii kumbwa sana mkuu hebu kumbuka alivyo anzisha mtido wake ule wa mwendo wa kijotijoti, nini kilikuwepo mtaani! au na wewe ndio wale wale!tatizo la watz si elimu naona tatizo la watz ni hekima na kuchambua mambo ya msingi.msanii hana kosa ktk kuigiza uhusika msanii ni mwalimu wewe umwangaliaye jifunze toka kwake usimwangalie mwigizajina kumhukumu .hapa naona ni wivu tu na watu kutokua na upeo.watz acheni wivu ni vema fikara zenu zikatoka kichwani na si miguuni
Kwa kweli ifikie wakati tuchukuwe hatua ya kuchukia vitendo vya kishoga si tuu kwa kuwachukia mashoga bali hata vitendo vinavyo ashiria ushoga, why Msanii mkubwa kama Joti ane igiza kama shoga siku zote na hatulalamiki wakati tunajua fika kwamba Msanii ni kioo cha jamii! Sasa Joti anapoigiza kama Shoga hivi anawafundisha nini watoto wetu!
Serekali ipige marufuku kabisa usaniii wa kijoti!