PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

PreGE2025 Ifike wakati CCM izuie makada wake kufanya press conference kiholela. Jerry Muro kaharibu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
19,293
Reaction score
39,977
Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni mwanaCCM hali inayoleta mshangao. Tusiwe kama BAVICHA ambao hutukana kila mtu hadi viongozi wao.

Pia soma:

Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka

 
Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni mwanaCCM hali inayoleta mshangao. Tusiwe kama BAVICHA ambao hutukana kila mtu hadi viongozi wao.

Hajaharibu kwa upande wake, kwani lengo lake limetimia. Kumbuka, lipo group lenye kwenda kinyume na SSH, na linammaliza kwa mbinu tofauti ikiwemo ya kutumia gia ya kwamba wanamtetea
 
Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni mwanaCCM hali inayoleta mshangao. Tusiwe kama BAVICHA ambao hutukana kila mtu hadi viongozi wao.

Kuna muda huwa nakubalianaga na wewe na Kuna muda huwaga tunatofautiana.

Kwenye hili nakubaliana na wewe.
 
Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni mwanaCCM hali inayoleta mshangao. Tusiwe kama BAVICHA ambao hutukana kila mtu hadi viongozi wao.

Muda wenu umeisha, kaburi li wazi lawasubiri, bundi wameshaanza kuranda randa wakiimba parapanda, wachimba kaburi wameshamaliza kazi yao, anasubiriwa mwosha akamilishe kazi yake, historia ya Tanganyika huru iandikwe upya.
 
Mimi ni mwanaCCM niliye na kadi hai ila napinga vikali tabia ya makada kuandaa mikutano na waandishi wa habari wakiwa hawajajipanga. JERRY MURO kaharibu sana zaidi ya kujenga. Kakurupuka mno na kuongea uharo mtupu. Ishu ya Gwajima ni sensitive na ya kujibiwa kiakili kwa sababu Gwajima pia ni mwanaCCM hali inayoleta mshangao. Tusiwe kama BAVICHA ambao hutukana kila mtu hadi viongozi wao.

Hapo kaenda kusifia ili apate ubunge
 
Sikuzote CCM umekalia kutetea mafisadi, watekaji, wauaji, na wabakaji.
Yaani unapendekeza wanaokuja kuwatetea wanadhulumu nafsi ya mwananchi ajenge hoja gani?
 
Vibaka -55 walipokuwa wakifanya press kwa udhamini wa Lumumba mlikuwa mkichekelea hadi mlipounda project ya CCM b iitwayo CHAUMMA mkawapeleka huko baada ya kukwama CHADEMA.

Gwajima ni tapeli ila aliyoyaongea yana ukweli.

Mzee Kibao ni kweli kauwawa na Mdude alitekwa kwake na kuchukuliwa kusikojulikana hadi leo
 
Back
Top Bottom