Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,176
Bro mtoa uzi ajawa muwazi hii kitu ni kwa simu za mediatekKama utakuwa mfatiliaji vzur wa apps hakuna app ambayo itafuction properly kweny sm zote... Na hiko s kigezo
Bro mtoa uzi ajawa muwazi hii kitu ni kwa simu za mediatekKama utakuwa mfatiliaji vzur wa apps hakuna app ambayo itafuction properly kweny sm zote... Na hiko s kigezo
Waache maneno waweke music nimewaomba app ya kubadili imei wameuchunaacheni kubishana nisaidieni mm jambo langu. Nipeni maujanja ya kuweka whatsapp katika IPAD
Hello wana JamiiForums! Leo nimekuja kujuzana zaid katika ulinzi wa sm yako na kuitumia ww kama ww daima!
Na ata ukiipoteza ama kuibiwa nivgumu kutumiwa na mtu mwengine yyeto yule!
Kuna hii program ambayo unaweza kulock mtandao au sim yaan nikiwa namaana simu yako aiwez tumia line nyengine yeyote au namba nyengine isipokuwa hyo iliokwenye sm ata kwa kuflash ama kurestore aiwez kutoka
Nakulock mtandao sm yako aitatumia mtandao wowote ule mbali na mtandao uliokweny line
Na kama utabadili line itakulazm uweke password ambazo ww mwenyewe umeweka. Kama ukiweka password sm itafanya kaz kama umeisahau bhas sm itawaka lakin aipandish mtandao kwa garama yeyote ile
Na ndivo ivo ivo kama umelock mtandao sm itawaka utapata huduma zote ila uwez fungua internet.
Kabla ya kufanya mabadiliko kweny sm yako hakikisha umesave data za awali maana unaweza kuuwa sm yako kabisa
PROGRAM hii aichagui root device au unroot device
Inapatikana kweny play store mtk engineer modeTb![]()
![]()
Naona wewe mwana taaluma mzuri naomba ukiwa na nafasi tuongee mambo Fulani.Ifunge simu yako kisha nletee mimi nikishindwa kuifungua nakupa laki moja
Hamna shidaNaona wewe mwana taaluma mzuri naomba ukiwa na nafasi tuongee mambo Fulani.
wewe ni ME au KE? Tuanzie hapo kwanza kisha ndo nkutumie nauliTuma nauli mie nikuletee simu ilokwisha kufungwa tayali.
Hongera kwa kuweka angalizowekeni mambo katika lugha nyepesi hata ili na sisi dalasa la saba tuelewe...
Kwa maelezo mengine hakuna polisi kama hakuna mhalifu na viceversa is true!Unajua maana ya ku'hack?
Unajua maana ya technology?
Sasa skia, ukitaka simu yako mtu asiiweze labda uifungue alafu unyofoe kifaa kimoja ndani(hapa akigundua pia atakwenda kuweka spare), lakini kuweka setting hakuifanyi simu kuwa imara kama unavyodhani, ndio maana neno HACK likawepo, Ndomana kukawa na neno UNLOCK,
Kuna watu wao wanahisi kubishana ndio njia sahihi kwao, Yani mtu na akili zake anaikingia kifua Android kwenye sekta ya ulinzi., angalau angesema blackberryKwa maelezo mengine hakuna polisi kama hakuna mhalifu na viceversa is true!
wacha ujinga wewe....Haya! Ila hakika itashindikana