Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,007
- 306
Kweli broooNarudia tena, simu ambayo haifunguki ikilokiwa ni Iphone pekee, hizo nyengine ni mavi ya kuku, msidanganyane, na mtoa mada ukiendelea kudanganya watu nitakufunga
Kweli broooNarudia tena, simu ambayo haifunguki ikilokiwa ni Iphone pekee, hizo nyengine ni mavi ya kuku, msidanganyane, na mtoa mada ukiendelea kudanganya watu nitakufunga
Unajua maana ya ku'hack?mi nimiongoni mwa ninaotumia sm ambayo nimelock na nimeshafanya mbinu kazaa kama kurestore ama kuflash lakin bado inaitaj password
Hii program ipo kwa kila sm ambayo nihiyo app ya mtk engineering Ipo already installed kwenye kila android device yenye processor ya mediatek, ili kuipata ingia kwenye dialer kisha andika *#*#3646633#*#* ,then itafunguka. pia inategemea na mtengenezaji wa device yako, si kila device itakupa option kama alizozitaja mtoa uzi
Kama kuna nii ivo mbona kuna abaadhi ya sm uwez unlock bootloader! Je teknolojia hakuna usipinge kabla ukujarbu mkuuUnajua maana ya ku'hack?
Unajua maana ya technology?
Sasa skia, ukitaka simu yako mtu asiiweze labda uifungue alafu unyofoe kifaa kimoja ndani(hapa akigundua pia atakwenda kuweka spare), lakini kuweka setting hakuifanyi simu kuwa imara kama unavyodhani, ndio maana neno HACK likawepo, Ndomana kukawa na neno UNLOCK,
We nae hapa ndio umebugi sasa.Unajua maana ya ku'hack?
Unajua maana ya technology?
Sasa skia, ukitaka simu yako mtu asiiweze labda uifungue alafu unyofoe kifaa kimoja ndani(hapa akigundua pia atakwenda kuweka spare), lakini kuweka setting hakuifanyi simu kuwa imara kama unavyodhani, ndio maana neno HACK likawepo, Ndomana kukawa na neno UNLOCK,
Hahahha.... Usijitie ujuaji, Kuna ku Hack na ku unlock, Android ikipigwa lock una- unlock lakiniWe nae hapa ndio umebugi sasa.
Mi nilikuwa nawasikiliza tu,
Hebu nenda kwanza kasome vizuri maana ya kuhack.
Kama una mwalimu wa computer mwambie akurudishie ada
Kitu kikishaitwa Android basi ujue ni soko huria, kila mtu anaweza kufanya chochote, yaani hata ukiwela nyanya zako ukazifunga na nyororo basi mtu anaweza akaja na buldozer akang'oa akaweka maembe yake.. Umenielewa? Usitishwe na na majina ya simu, as long as ni android ni mule mule,Kama kuna nii ivo mbona kuna abaadhi ya sm uwez unlock bootloader! Je teknolojia hakuna usipinge kabla ukujarbu mkuu
Mi napinga kwasabb nima uwakika na hili ndo maana nikaleta uzi huu
Hahahahhaa! Kweli umekaririKitu kikishaitwa Android basi ujue ni soko huria, kila mtu anaweza kufanya chochote, yaani hata ukiwela nyanya zako ukazifunga na nyororo basi mtu anaweza akaja na buldozer akang'oa akaweka maembe yake.. Umenielewa? Usitishwe na na majina ya simu, as long as ni android ni mule mule,
Ila kuna kidume kinaitwa ios
Ueleweki mkuu! Ongea kwa fact jaribu kisha ukiweza kutoa lete marejesho kwa uma kama vile mm niwezavyo kueka na kujarbu ku unlockHahahha.... Usijitie ujuaji, Kuna ku Hack na ku unlock, Android ikipigwa lock una- unlock lakini
kwa simu kama Iphone ikipigwa lock huwezi kui unlock, yaani hadi ui'hack ndio ifunguke... Umeelewa mtoto??
Sina muda wa kukuelezea kwa undani cuz hunilipi, siku nyengine ukielezwa kitu kwa kifupi unatakiwa ukakitafute wewe mwenyewe kwa undani zaidi, sawa dogo?Ueleweki mkuu! Ongea kwa fact jaribu kisha ukiweza kutoa lete marejesho kwa uma kama vile mm niwezavyo kueka na kujarbu ku unlock
Leta fact so maneno ya ya kuambiwa..... CIA NENDA UKAWAULIZE JE SM AMBAZO AZITOKI LOCK nI IOS PEKEE AU IPHONE WATAKUPA ORODHA YA ADROID KIBAO WALIZO SHINDWA
ndio ujue technolojia si maneno ni kufanya
Bado narud kweny hoja si kwamba tunabishana lah! Kajarbu hyo program kisha nenda kokote ata CIA kajarbu ku unlock kisha leta marejeshoSina muda wa kukuelezea kwa undani cuz hunilipi, siku nyengine ukielezwa kitu kwa kifupi unatakiwa ukakitafute wewe mwenyewe kwa undani zaidi, sawa dogo?
sasa ngoja nikwambie,
Ios ikilockiwa inakuwa imelockiwa kwa kupitoa systme za kampuni ya apple, kwamaana hiyo ili uweze kuitoa lock ni lazima ucheze na server za apple( uzi-hack),
Sasa jiulize unaweza kuhack system nzima ya apple?
Na kuhusu androiid ikilockiwa maranyingi inakuwa ni lock za ndani ya simu, Android hazina server wala mfumo wowote ule, ndomana kuna mkuu hapo juu alisema anaweza akakutolea hiyo lock yako kwa robo saa,
kwangu mimi robo saa pia nyingi, hata dakika 5 zinaweza zisifike,
nadhani umeshapata concept kidogo,
Nikurudishe nyuma kidogo, unaijua simu ya blackberry? Unajua kwanini zilijizolea umaarufu sana kabla hawajajiunga na mfumo wa android???
Narudia tena kama upo tayari kujifunza basi usipende kubisabisha kila kitu, usifate mkumbo kijana, Hii dunia ni zaidi ya uijuavyo. Bye
Unadhani wewe ni mtaalamu sana kiasi kwamba vitu ulivyovishimdwa wewe ndio wengine hawaviwezi pia?Bado narud kweny hoja si kwamba tunabishana lah! Kajarbu hyo program kisha nenda kokote ata CIA kajarbu ku unlock kisha leta marejesho
acheni kubishana nisaidieni mm jambo langu. Nipeni maujanja ya kuweka whatsapp katika IPADUnadhani wewe ni mtaalamu sana kiasi kwamba vitu ulivyovishimdwa wewe ndio wengine hawaviwezi pia?
Then Ukishajifunza kubadilisha ROM, utajua ninachomaanisha, na usione thread yako imekosa wachangiaji wengi, watu wameshaona mada unazobishana ni zakitoto, Na mimi naona nimeingia chakike najishushia heshima tu,... Goodluck mr
Mkuu atubishan ww ndo unaleta maelezo nje ya point swala la kubadil ROM nilishafanya MIAKA ILIOPITA si kwangu tu hata kwa washkajiUnadhani wewe ni mtaalamu sana kiasi kwamba vitu ulivyovishimdwa wewe ndio wengine hawaviwezi pia?
Then Ukishajifunza kubadilisha ROM, utajua ninachomaanisha, na usione thread yako imekosa wachangiaji wengi, watu wameshaona mada unazobishana ni zakitoto, Na mimi naona nimeingia chakike najishushia heshima tu,... Goodluck mr