Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,009
- 2,197
Water witching au kwa jina lingine inafahamika kama dowsing ni Njia maarufu na ya kale inayotumika kutambua uwepo wa maji chini ya ardhi ,Yani kama unataka kuchimba kisima Cha maji sasa ili kutambua ni sehemu gani Kuna mwamba wa maji unatumia Njia hii .
Njia hii inasemekani ni ya muda mrefu sana inakadiliwa kuwa iligundulika miaka 4000 iliyopita ila Mimi binafsi ndio nimeifahamu sasa sikiwahi kusikia hapo kabla
Inavyofanya kazi Nadhan na wewe itakushangaza kama ilivyonishangaza Mimi kwa mara kwanza, hakuna uchawi unaofanyika ila sijui kitu gani kinasababisha mwenywe sijapata jibu
Jinsi ya kufanya tafuta kijiti au kitawi Cha mti kidogo chenye pacha mbili then kashike kwa kuinua juu kama unavyoona kwenye picha
Kisha anza kupiga hatua za taratibu kwa kwenda mbele ,kama utaona kijiti kinatazama chini chenyewe kama kimewekewa kitu kizito.
Basi hio ishara kuwa hio sehemu Ina maji chini ya ardhi lakini hautajua yapo kiwango gani na umbali gani labda kama utatumia na Njia nyingine za kisayansi
Usahihi wake
Binafsi Bado sijafanya practice lakini baada ya kufanya utafiti mdogo mtandaoni nikaona baadhi ya watu wamethibitsha kuwa ni kweli inafanya kazi kwa kalibia 100% .
Wakwanza alifanya experiment ya kwa kuweka chupa yenye maji juu ya ardhi(surface) kisha akapita na kijiti alivyofika usawa wa chupa kijiti kikainamia chini ya chupa
Na mtu wa pili naye alifanya hivyo hiyo ila huyu alienda mbali zaidi akaita wataalamu na vifaa vyao matokeo yalionyesha ni kweli Kuna maji.
Pia Kuna Njia kama hii lakini ni kwa ajili ya kutafuta vyuma vilivyofukiwa chini ya ardhi jinsi ya kufanya tafuta vyuma vidogo wili vyenyewe umbo namba saba au L ,then vishike kama inavyoshikwa bastola mikono miwili na anza kutembea taratibu
Ukifika sehemu yenye chuma chini ardhi vyuma hivyo vidogo vitagusana na kutengeneza umbo la X.
Njia zote hizo ni za kale na zimethibitishwa zina ufanisi mkubwa ila Bado najiuliza maswali ni kitu gani kinasababisha kijiti kiiname.
Tazama baadhi ya hizi video.
Njia hii inasemekani ni ya muda mrefu sana inakadiliwa kuwa iligundulika miaka 4000 iliyopita ila Mimi binafsi ndio nimeifahamu sasa sikiwahi kusikia hapo kabla
Inavyofanya kazi Nadhan na wewe itakushangaza kama ilivyonishangaza Mimi kwa mara kwanza, hakuna uchawi unaofanyika ila sijui kitu gani kinasababisha mwenywe sijapata jibu
Jinsi ya kufanya tafuta kijiti au kitawi Cha mti kidogo chenye pacha mbili then kashike kwa kuinua juu kama unavyoona kwenye picha
Kisha anza kupiga hatua za taratibu kwa kwenda mbele ,kama utaona kijiti kinatazama chini chenyewe kama kimewekewa kitu kizito.
Basi hio ishara kuwa hio sehemu Ina maji chini ya ardhi lakini hautajua yapo kiwango gani na umbali gani labda kama utatumia na Njia nyingine za kisayansi
Usahihi wake
Binafsi Bado sijafanya practice lakini baada ya kufanya utafiti mdogo mtandaoni nikaona baadhi ya watu wamethibitsha kuwa ni kweli inafanya kazi kwa kalibia 100% .
Wakwanza alifanya experiment ya kwa kuweka chupa yenye maji juu ya ardhi(surface) kisha akapita na kijiti alivyofika usawa wa chupa kijiti kikainamia chini ya chupa
Na mtu wa pili naye alifanya hivyo hiyo ila huyu alienda mbali zaidi akaita wataalamu na vifaa vyao matokeo yalionyesha ni kweli Kuna maji.
Pia Kuna Njia kama hii lakini ni kwa ajili ya kutafuta vyuma vilivyofukiwa chini ya ardhi jinsi ya kufanya tafuta vyuma vidogo wili vyenyewe umbo namba saba au L ,then vishike kama inavyoshikwa bastola mikono miwili na anza kutembea taratibu
Ukifika sehemu yenye chuma chini ardhi vyuma hivyo vidogo vitagusana na kutengeneza umbo la X.
Njia zote hizo ni za kale na zimethibitishwa zina ufanisi mkubwa ila Bado najiuliza maswali ni kitu gani kinasababisha kijiti kiiname.
Tazama baadhi ya hizi video.