Nibiru X
JF-Expert Member
- Jun 30, 2019
- 410
- 369
Salama wana jamii, amani na iwe juu yenu.
Nimependa leo nije na uzi huu juu ya sifongo. Na siki. Jambo ambalo halijazungumziwa sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth. Pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji, ambapo alipewa sifongo yenye siki. Utajiuliza ni kwanini alionja tu ile sifongo alikata roho (Luka 23:36 na Marko 15:36). Mmoja wao alienda mbio, akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha. Alipoipokea akakata roho...
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari, kama dubu, simba, mbwa mwitu. Pia ilitumiwa na wapiganaji vitani, ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo, kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa, ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache, maana sumu kali sana (wataalamu wa usiku hizi). Wanaifananisha sumu kali, ambayo hupigwa kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji. In short, sifongo kwenye siki ni sumu kali sana, tena sana.
Je, sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi, taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina fulani ya nyoka na mafuta yake, na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo ya mamba. Lakini haikujulikana taarifa za 100% kama hii ndio hasa ilitumika kutengenezea sifongo iliyotiwa siki, sumu kali sana.
Muwe na mchana mwema.
Nimependa leo nije na uzi huu juu ya sifongo. Na siki. Jambo ambalo halijazungumziwa sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth. Pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji, ambapo alipewa sifongo yenye siki. Utajiuliza ni kwanini alionja tu ile sifongo alikata roho (Luka 23:36 na Marko 15:36). Mmoja wao alienda mbio, akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha. Alipoipokea akakata roho...
Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari, kama dubu, simba, mbwa mwitu. Pia ilitumiwa na wapiganaji vitani, ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo, kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa, ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache, maana sumu kali sana (wataalamu wa usiku hizi). Wanaifananisha sumu kali, ambayo hupigwa kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji. In short, sifongo kwenye siki ni sumu kali sana, tena sana.
Je, sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi, taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina fulani ya nyoka na mafuta yake, na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo ya mamba. Lakini haikujulikana taarifa za 100% kama hii ndio hasa ilitumika kutengenezea sifongo iliyotiwa siki, sumu kali sana.
Muwe na mchana mwema.