Ni nani kawaloga kama kuna sayari zingine zaidi ya moja?.... Nayo haiitwi dunia kwa kionjo cha nia yaani TaNza, wala kati yenu ni nani kainua kisigino chake ili kuwadanganya na kutaka kuwaangamiza?.Lakini kazi ya mwanadamu iliyo njema hujulikana kwa MUNGU kuliko kazi ya mwanadamu iliyo mbovu.... Tukisema tunacheza basi macho hushuhudia michezo na masikio hufurahia sauti ya michezo na mwili kamili kushiriki, lakini kama macho yanaona tofauti na masikio yanasikia tofauti na michezo hiyo kunawalakini jamani....