Godsake
Member
- Nov 29, 2017
- 47
- 26
Kwa utafiti uliofanywa na wanasayansi hususan wa kipengele cha anga unaonesha kwamba hamna kiumbe chochote kinachoisgi humo kwani kuna volume kubwa ya carbondioxide 96% hali isiyoruhusu kiumbe chochote kuishi humo. Nadhani tupo sawamkuu [HASHTAG]#komagunda[/HASHTAG]Asante kwa kutuelimisha. Zamani walituambia watu wa huko ni wajano na macho yao yako kisogoni ni kweli? mwenye ufahamu atujuze.