Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,196
- 9,180
- Thread starter
- #41
Vichaa na bado Biblia yao mnaitumia!?unawasingizia tu mkuu. roman sio vichaa wala sio sala ya kipagani. wameitoa kwenye biblia hiyohiyo unayoitumia
Vichaa na bado Biblia yao mnaitumia!?unawasingizia tu mkuu. roman sio vichaa wala sio sala ya kipagani. wameitoa kwenye biblia hiyohiyo unayoitumia
Maria mtakatifu mama wa Munguunawasingizia tu mkuu. roman sio vichaa wala sio sala ya kipagani. wameitoa kwenye biblia hiyohiyo unayoitumia
Biblia SI Mali Mali ya wakatoliki na ndo maana hasta wao hawana muda nayo wamejitengenezea misaleVichaa na bado Biblia yao mnaitumia!?
Mohamed aliukuta UkatolikiBiblia SI Mali Mali ya wakatoliki na ndo maana hasta wao hawana muda nayo wamejitengenezea misale
Mambo ya kwenye Biblia hawana muda nayo na yanapingana na taratibu zao
Fatilia history ya vitabu vilivyoko kwenye Biblia na history ya ukristo uone kama hao warumi Wana Chao huyo Muhammad mwnyw aliukuta ukristo sembuse hao warumi na papa wao.
Ni Mali yao na wao ndiyo waliokusanya Vitabu au maandiko mbalimbali, kuyapitia na kuyachambua na kisha kuamua yapi yatumike na yapi yasitumike.Biblia SI Mali Mali ya wakatoliki na ndo maana hasta wao hawana muda nayo wamejitengenezea misale
Mambo ya kwenye Biblia hawana muda nayo na yanapingana na taratibu zao
Fatilia history ya vitabu vilivyoko kwenye Biblia na history ya ukristo uone kama hao warumi Wana Chao huyo Muhammad mwnyw aliukuta ukristo sembuse hao warumi na papa wao.