Ifahamu Sara Bora kabisa duniani

Ifahamu Sara Bora kabisa duniani

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,196
Reaction score
9,180
SALA bora kabisa duniani ndiyo hiyo:


Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.

Karibuni tujifunze pamoja

NB: Soma pia kwenye Biblia takatifu kitabu cha Luka 1:28 na kuendelea

28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30

42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42

48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ndiyo salaam Bora kabisa duniani

Karibuni tujifunze


Salamu Maria
Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Sara ndio nini ewe kilazza😄😄😄
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hii ndiyo salaam Bora kabisa duniani

Karibuni tujifunze


Salamu Maria
Salamu, Maria, umejaa neema; Bwana yu nawe, umebarikiwa kuliko wanawake wote, na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa. Maria mtakatifu, Mama wa Mungu, utuombee sisi wakosefu, sasa na saa ya kufa kwetu. Amina.
Ubora wake nini?
 
Hii ipo sehemu gani kwenye biblia?
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30

42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42

48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
 
28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30

42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42

48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
Mariamu alipewa hiyo salam akashangaa ni salam gani, malaika akasema amepewa neema na Mungu, then hiyo ya kusema maria “mama wa Mungu” mmeitoa wapi? Hiyo ya kuwaombea nayo?
 
hiyo ni sala (sara) ya kipagani kabisa
Pole sana

28 Akaingia nyumbani kwake akasema, Salamu, uliyepewa neema, Bwana yu pamoja nawe.
Luka 1:28

29 Naye akafadhaika sana kwa ajili ya maneno yake, akawaza moyoni, Salamu hii ni ya namna gani?
Luka 1:29

30 Malaika akamwambia, Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu.
Luka 1:30

42 akapaza sauti kwa nguvu akasema, Umebarikiwa wewe katika wanawake, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa.
Luka 1:42

48 Kwa kuwa ameutazama Unyonge wa mjakazi wake. Kwa maana, tazama, tokea sasa Vizazi vyote wataniita mbarikiwa;
Luka 1:48
 
Hayo mambo ya sala ni uongo mtupu tuachane nayo hayatakusaidia zaidi ya kudumaza na kufifisha fikra zetu.

Tujitume, tufanye kazi kwa bidii na weledi, tuwe na nidhamu na tukomae mpaka kieleweke. Wachina hawana hayo mambo ya salamu Maria ila angalia uchumi wao upo wapi Leo.

Tuamkeni wote.
 
mwanzo wa andiko lako umemtaja maria mama wa mungu alafu comment yako #12 point ya 30 ukasema maria kapokea neema kwa mungu.! nikaona upumbavu tu maana hata ww hujui umeandika nini ujinga mtupu tu.!
 
Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni. Utupe leo riziki yetu. Utusamehe deni zetu, kama sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu. Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina]
 
Back
Top Bottom