Ikulu T
JF-Expert Member
- Aug 21, 2023
- 1,599
- 4,737
1."Tuna umeme wa ziada" MGAO KILA SIKU?
2. Viongozi wanatembelea LC 300( Moja ina thamani ya Tsh 600M)!! Halafu...
-Wananchi wanakunywa maji ya matope
-Wanafunzi wanakaa chini
-Hospital hazina dawa,vifaa etc
3. Kila siku vyeo vipya,wizara mpya,matumizi makubwa utendaji zero??
4.Wanafunz wa maskini waliomaliza form six wanatoa hela 30000 kuapply mkopo??? Yaani unatoa hela kuapply mkopo??
5."Sisi ni jeshi la wananch" mtu kakutwa na kitambaa cha makamasi kipigo kama mbwa???
6."BOT tuna dollar za kutosha"!! EWURA kuna upungufu wa dollar?? Which is which??
7. Mwanzo---"Ule sio MKATABA ni MAKUBALIANO"
Saa hivi ---MKATABA ndio MAKUBALIANO
Mwisho
Viongozi-- Jamhur ya muungano wa Tanzania
Wananchi--Kazi iendeleee......
You will never know when the snake is pregnant.
2. Viongozi wanatembelea LC 300( Moja ina thamani ya Tsh 600M)!! Halafu...
-Wananchi wanakunywa maji ya matope
-Wanafunzi wanakaa chini
-Hospital hazina dawa,vifaa etc
3. Kila siku vyeo vipya,wizara mpya,matumizi makubwa utendaji zero??
4.Wanafunz wa maskini waliomaliza form six wanatoa hela 30000 kuapply mkopo??? Yaani unatoa hela kuapply mkopo??

5."Sisi ni jeshi la wananch" mtu kakutwa na kitambaa cha makamasi kipigo kama mbwa???
6."BOT tuna dollar za kutosha"!! EWURA kuna upungufu wa dollar?? Which is which??
7. Mwanzo---"Ule sio MKATABA ni MAKUBALIANO"
Saa hivi ---MKATABA ndio MAKUBALIANO
Mwisho
Viongozi-- Jamhur ya muungano wa Tanzania
Wananchi--Kazi iendeleee......
You will never know when the snake is pregnant.