Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

Ifahamu Manyovu mkoa wa Kigoma

2003 ulkua std manyovu ,mimi mwaka huo nilikua form 3, na sijapata kibarua tangu nimalize chuo muongo mmoja unakaribia nina mpango wa kurudisha cheti chuoni nipatiwe ada yangu hata nusu.
Pole sana mkuu ulichosomea ndio kinachokuweka mtaani japo pia kuna mungu ana nafasi nafasi yake kwenye kugawa riziki
 
Kama umeamua basi kwetu upaite Gasulo yaishe...sasa we unaita Kasulo ili iweje
 
Mkuu me nataka mwanamke wa manyovu mwenye mix ya Rwanda na Burundi
 
no data no right to talk
I can see your reasoning is very shallow!
Hivi, hakuna Warundi wanaitwa akina Chiza, Zireya, Mahobhe, Ndailagije, na majina mbalimbali kama nilivyotaja hapo mwanzo? Wadanganye wajinga wenzio. Kwa taarifa yako nimefanya kazi Burundi kwa muda wa miaka kadhaa, nimefika Province ya Makamba, nilifika Mabanda na hata Munanira kwa hiyo nina uhakika wa hiki ninachosema. Pale Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam enzi hizo (sijui sasa) kulikuwa na chama cha wanafunzi kutoka Kigoma (UWAKI), members baadhi yao walikuwa na majina hayo hayo niliyotaja hapo juu!
Sasa hebu tutajie angalau majina 7 ya koo (main clans) zinazoubda kabila la Waha!
 
I can see your reasoning is very shallow!
Hivi, hakuna Warundi wanaitwa akina Chiza, Zireya, Mahobhe, Ndailagije, na majina mbalimbali kama nilivyotaja hapo mwanzo? Wadanganye wajinga wenzio. Kwa taarifa yako nimefanya kazi Burundi kwa muda wa miaka kadhaa, nimefika Province ya Makamba, nilifika Mabanda na hata Munanira kwa hiyo nina uhakika wa hiki ninachosema. Pale Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam enzi hizo (sijui sasa) kulikuwa na chama cha wanafunzi kutoka Kigoma (UWAKI), members baadhi yao walikuwa na majina hayo hayo niliyotaja hapo juu!
Sasa hebu tutajie angalau majina 7 ya koo (main clans) zinazoubda kabila la Waha!
Kwanini unatumia neno Warundi katika kutaja makabila ya Burundi? Ni wazi Burundi kuna makabila ya Wahutu, Watwa na Watutsi. Majina kufanana siyo hoja kwani mbali na Burundi kuna majina ya Wasukuma, Wanyamwezi, Wahaya na Wahangaza yanafanana sana na ya Kabila la Waha hivyo kwanini tusiseme wote ni Waha? Majina yamefanana kutokana na kuwa na asili moja ya Wabantu. Uache umburula tunazo data juu ya wahutu na Watwa waliokuja Tanganyika kutoka Burundi katika mwaka 1959 ndio chanzo cha majina na koo za Burundi.Tambua hilo usiejua. Au we Mhutu nini ndio maana unakomaa?
 
Back
Top Bottom