Ifahamu Hifadhi ya Taifa Burigi

Mwaka 2018 serikali ilipaandisha hadhi mapori ya akiba matano (5) yaliyomo Mkoani Kagera, kutokana na maamuzi hayo mapori hayo matano yaalitengeneza hifadhi mbili za Taifa ambapo hifadhi ya Biharamulo, Burigi na Kimisi zitatengeneza hifadhi iliyopendekezwa kuitwa Burigi-Chato. Huku Ibanda na Rumanyika kila moja ikijitegemea. Hifadhi hizo zinapakana na vijiji 58 vilivyoko Wilaya Biharamulo, Muleba, Karagwe, Ngara Mkoani Kagera pamoja na Wilaya ya Chato Mkoani Geita.
 
Historia na ukubwa wake siujui lakini nimewahi kuishi sehemu ya hilo pori nikifanya shughuli za uchunga ng'ombe ni kubwa kwa macho na wanyama kama chui fisi simba swala twiga tembo walikuwemo baada ya wanyarwanda kuongezeka kwa kasi hao wanyama walipungua kama sio kupotea kabisa

Hivyo basi kupandikiza wanyama ni suala jema lakini kuiita hifadhi kwa jina la chato national park inakera hata masikioni
Hawa wanyarwanda walikuwa wanaish humo mbugani ama?
 
Wanyarwanda walijaa sana ndani ya hayo mapori nimepita mwaka Jana badhi ya maeneo naona hawapo sikuizi wale jamaa walikua washenzi sana full dhalau.
 
Back
Top Bottom