Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Nitasababisha vurugu acha tu nikae huku huku.Njoo utalii ntakuwa mwenyeji wako
Nitasababisha vurugu acha tu nikae huku huku.Njoo utalii ntakuwa mwenyeji wako
Siyo kila mnyama utampeleka mazingira yasiyo yake akaishi. Ndiyo maana nataka kujua hiyo hifadhi itakuwa na wanyama gani.
Nitasababisha vurugu acha tu nikae huku huku.
Sipendi unyanyasaji tatizo.Punguza hasira jombaaaa
Wewe ulioona Chato ni "umimi" ndio mbinafsi na Mpumbavu mkubwa, Chato ipo hata kabla ya Magufuli kufikiriwa kuzaliwa na jina Chato halina uhusiano wowote na Magufuli na kama upo huo uhusiano basi ni ule ambao kila mkaazi wa Chato anao regardless eneo analotoka.Saiv ukipita ni msitu kweli lakini ungeingia mule mwaka 2017 kurudi nyuma ungelia, pori lilikuwa jeupeeee na wengi waliofaidi na kutajirika walikuwa wanyarwanda wahamiaji yaani anatokea Rwanda na pesa mkononi mifugo ananunulia karagwe ye anafanya kulisha na kuzalisha zaidi
Dharau zao sasa ilikuwa ni kichefuchefu kingine
Kwa wenyeji waliokuwa mule ni wachache na hata kupata nafasi walau kuweka mifugo ilikuwa unatazamwa muoneakano wako km unafanania watutsi basi ilikuwa rahisi kupata malisho mule,, ukiritimba ulikithiri
Magufuli tunamshukuru sana kwa hili analofanya ukipita mule kwa sasa panapendeza na kufurahisha shida ni hilo jina chato national park,, atutolee huo umimi wake.
Wewe ulioona Chato ni "umimi" ndio mbinafsi na Mpumbavu mkubwa, Chato ipo hata kabla ya Magufuli kufikiriwa kuzaliwa na jina Chato halina uhusiano wowote na Magufuli na kama upo huo uhusiano basi ni ule ambao kila mkaazi wa Chato anao regardless eneo analotoka.
Ndo maana zimegeuzwa hifadhi ilo ulinzi uongezeke.maana Zamani yalikuwa mapori tuUliposema wanyarwanda umenipa hasira sana. Hivi hao watu hii nchi wameigeuza shamba lao.
Inauma sana.
Hiv Kwa nini inaitwa hivi? Chato inatoka wapWacha tusubiriView attachment 1126380
Safi sana, hii hoja ina mashiko.Ndo maana zimegeuzwa hifadhi ilo ulinzi uongezeke.maana Zamani yalikuwa mapori tu
Nimepita juzi mule aisee.sasa hiv hakuna hofu ya kutekwa kama Zamani.Saiv ukipita ni msitu kweli lakini ungeingia mule mwaka 2017 kurudi nyuma ungelia, pori lilikuwa jeupeeee na wengi waliofaidi na kutajirika walikuwa wanyarwanda wahamiaji yaani anatokea Rwanda na pesa mkononi mifugo ananunulia karagwe ye anafanya kulisha na kuzalisha zaidi
Dharau zao sasa ilikuwa ni kichefuchefu kingine
Kwa wenyeji waliokuwa mule ni wachache na hata kupata nafasi walau kuweka mifugo ilikuwa unatazamwa muoneakano wako km unafanania watutsi basi ilikuwa rahisi kupata malisho mule,, ukiritimba ulikithiri
Magufuli tunamshukuru sana kwa hili analofanya ukipita mule kwa sasa panapendeza na kufurahisha shida ni hilo jina chato national park,, atutolee huo umimi wake.
Hopeless hutakuwa na la kuibadili branding ya hii National Park, wewe endelea kuumia tu ikiwezekana ufe unapoona magari ya rangers yenye logo za Burigi-Chato NP kwa kijiba cha roho.Mpumbavu mwenyewe na ukoo wako mxiieeeeeew
Nimepita juzi mule aisee.sasa hiv hakuna hofu ya kutekwa kama Zamani.
Zamani mabasi yalitekwa Sana mule na kuna basi Fulani walivuliwa nguo kabisa.
Ipo kagera tena mbali Sana na chato.Bila shaka utakuwa umetumwa kuleta utetezi baada ya watu kushangaa Twiga wakiamishwa serengeti kupelekwa Burigi.
Sina tatizo na utetezi wako ila naomba uniweke sawa je hifadhi ya burigi ipo Kagera au Chato?
Hapa sasa umekuwa na adabu sio kutukana tukana ovyo tuHopeless hutakuwa na la kuibadili branding ya hii National Park, wewe endelea kuumia tu ikiwezekana ufe unapoona magari ya rangers yenye logo za Burigi-Chato NP kwa kijiba cha roho.
Waafrika kama ni wivu wa kipumbavu na roho mbaya kwa minor things Ingekuwa mtaji tungefika mbali, chuki za mtu binafsi tunaziextend mpaka kwa Majirani na wanyama, asshole
Hiv wew bandari kuu ipo dar na mtu anakuja nakuiita morogoro port.hiv hii kitu ni Sawa?Wewe ulioona Chato ni "umimi" ndio mbinafsi na Mpumbavu mkubwa, Chato ipo hata kabla ya Magufuli kufikiriwa kuzaliwa na jina Chato halina uhusiano wowote na Magufuli na kama upo huo uhusiano basi ni ule ambao kila mkaazi wa Chato anao regardless eneo analotoka.