Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,297
- 46,755
Dah hii angle amboyo umekaa ukapiga hii pic unaonekana na ww ni mtu wa karibu sana hapo.View attachment 847170
Rais mstaafu wa awamu ya nne kwenye picha akipanda Ndege ya Rais kuelekea Mjini Harare , Zimbabwekumuwakilisha Rais John pombe Magufuli kwenye sherehe za kuapishwa Rais mteule wa Taifa hilo.
Ama kwa hakika Ndege zinampendezea huyu Bwana.
Mungu aendelee kukulinda Mzee wetu.
Naweza sema ni rais aliefaidi ndege kuliko wote hapa afrika masharikiMzeee kwa safari huyuu .,awe na maisha marefu sana
SureNaweza sema ni rais aliefaidi ndege kuliko wote hapa afrika mashariki

Kweli tena au ninekoseaSure![]()
![]()
![]()
![]()
Mzee anakula maisha tu......long life kwake....
Uzuri wa huyu mzee yeye anaacha maisha yaende tu..hapambani na mkondo wa maji...
Sent using Jamii Forums mobile app
We kinachokuuma ni nini kwaniinakuwaje shirika linaongozwa ki siasa. kwa hiyo imekodiwa ama vip?