If you know , you know

If you know , you know

View attachment 847170

Rais mstaafu wa awamu ya nne kwenye picha akipanda Ndege ya Rais kuelekea Mjini Harare , Zimbabwe kumuwakilisha Rais John pombe Magufuli kwenye sherehe za kuapishwa Rais mteule wa Taifa hilo.




Ama kwa hakika Ndege zinampendezea huyu Bwana.
Mungu aendelee kukulinda Mzee wetu.
Dah hii angle amboyo umekaa ukapiga hii pic unaonekana na ww ni mtu wa karibu sana hapo.

sent using samsung galaxy s8
 
Back
Top Bottom