Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!



Mkuu,
Kama vile ulikuwa kwenye akili yangu. Magufuli atakuwa mtumishi wa JK, na nataka nikuambie tu kwamba kwa Magufuli tutaendelea kuongozwa na Kikwete na Mkapa kwa miaka 5 au 10 ijayo. Hakika ni majuto kwa watanzania.
 

The problem is that the opposition hasn't given us a worthy replacement and has alienated sane Tanzanians with its sheningan. They joined forces so they have now labeled themselves collectively this Ukawa brand which is non existent and weak. What we need is a separate platform to organize on!
 
Thing is CCM is trying so hard maintain its ruling party position and is doing whatever it takes even if its faking ballot papers or whatever...
It also sickens me that people when they get into power there's not too much they do to contribute to development of our economy.. Thats why we just lag behind other african countries..
I respect all those who voted CCM politicians but i feel sorry for them at the same time.. I mean CCM should trust that they have all of you "CCM" to vote for them With no need to rig the elections..
 
RaisK Magufuli PMK Mwakyembe SPEAKER:SITTA NISHATI&MADINIROF MUHONGO(Mengi lazima aharishe mfululizo) .Patachimbika Mazeee...."KAZI TUUU"
 
Watu wenye ufahamu ndio wapotoshaji wakubwa, mmekosa uzalendo badala yake mmetanguliza ubinafsi mbele, ulichokisimamia jana leo hukitaki, unachokisema leo baadae unakikana alimradi maslahi yenu yafanikiwe, aibu sanaaa!
 
Watu wenye ufahamu ndio wapotoshaji wakubwa, mmekosa uzalendo badala yake mmetanguliza ubinafsi mbele, ulichokisimamia jana leo hukitaki, unachokisema leo baadae unakikana alimradi maslahi yenu yafanikiwe, aibu sanaaa!

Wanapotosha nini?
 
Nafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.

Jee rais anayo mamlaka ya kuifuta parade ya uhuru?!.

Pasco
 
Nafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.

Jee rais anayo mamlaka ya kuifuta parade ya uhuru?!.

Pasco
Kapitie public holiday Act
 
Nafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.

Jee rais anayo mamlaka ya kuifuta parade ya uhuru?!.

Pasco

Mkuu ulishamaliza kila kitu! Nakasirika sana ninapokumbuka wa-TZ tulichofanyiwa na akina Lubuva na wenzake! Huyu hatukumchagua sisi! Kwa wale wanaopiga mbinja sasa hivi nawahurumia sana!! Na wote tuseme "ALANIWE LUBUVA NA WENZAKE"
 
Sisi watanzania tunaangalia maamuzi ambayo yana tija kwetu.....ni kwamba sherehe ya uhuru/parede kwa mwaka huu kufutwa ni jambo jema na litasaidia pesa za kugharamia zoezi zitimike kwenye huduma za kijamii...

Pasco watanzania tumelialia sana kuwa na dictator na tumempata...hata luwasa alikuwa doctator kwani alikuwa akitutaka wapinzani wake kufunga midomo....

Magufuli anafaa awe dictator ili kupambana na uvivu wa watanzania...ili wafanye kazi...
 
Japo umechanganya lugha niseme tu: Awe dikteta mkaidi ama dikteta muungwana, Rais wa sasa anaunganisha mielekeo miwili ya uongozi; anajali wananchi yaani watu na pia majukumu yake kama kiongozi mkuu wa nchi. Yeye anayatolea maongozi mambo yanayolisibu taifa letu. Huo si udikteta pitilizi bali uongozi unaotafuta uwiiano unaofaa kuliongoza taifa katika njozi zake za kimaendeleo - NJONZI YA KITANZANIA - kumiliki rasilimail zetu kwa manufaa ya watu wote na hivyo kuondosha matabaka ya kijamii-uchumi, umaskini wa kujitakia na utumwa wa kiuchumi nchini mwetu. Mhe. Maghufuli ni nyota ya mapambazuko ya uamsho mpya wa kitaifa wa Tanzania.
 
Nafanya tuu rejea!, "CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!."

Kwa haya yanatotokea, nawashangaa wanaoshangaa, as if hawakutegemea!.
Pasco
 
Rejea......

P.
 
Rejea......

P.
Brother ...jicho lako ni hatari. Utabiri wako wa 2020 upinzani utakuwa kwenye hatari kubwa naona dhahiri linaenda kutokea labda yafanyike mabadiliko makubwa. Wengine tunachukiwa kwa kusema ukweli huu. Tunataka upinzani imara lakini upinzani wanaishi kwa kusubiri huruma ya Rais aliyeko madarakani na kwa umri wote wa upinzani wameshindwa kujiwekea misingi muhimu kukamata dola.
 
Kama taasisi ya umma inayojua thamani ya pesa imefungua FD ili fedha hizo zizae na kuongezeka imehukumiwa kifo, then nasisitiza tuzidishe maombi kwa Mungu amjaalie rais wetu Magufuli afunguke macho ya kiuchumi aone mwanga, vinginevyo. ..

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…