Magufuli will be remotely controlled from Msoga..!!! Like Bulldozer...!!!
Naamini 100% kwa uhakika kabisa.....MAGUFULI HAWEZI kamata mali ya ma trillions za JK, Mkapa au Kinana...!!!
Naamini 100% kwa UHAKIKA..!! MAGUFULI HAWEZI fumua mikataba mibovu JK aliyo ingia hata kidogo...!!!
So, WATANZANIA watabakia MASKINI WA KUFA...ufukara hadi wakome...!!!
Watanzania ndio WAKOME... NATAKA WAPATE SHIDA KUU, NA DHIKI KUU... ILI wapate akili na kujua adui wa maisha yao ni CCM...!!!
Na DHIKI kuu kwa wananchi ndio INAANZA...!!!
WATANZANIA WATAJUTIA KUIRUDISHA CCM MADARAKANI...!!!
NEC ni ya CCM 100%... UKAWA, wangetakiwa wakomae kabisa kabisa... wapate TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
HAPA NI WIZI WA KURA TU...!!!
NEC ni ya CCM...!!! So, UPINZANI sasa wakatae NEC na wakiingia tu BUNGENI... WATAKE TUME HURU YA UCHAGUZI...!!!
BILA TUME HURU YA UCHAGUZI NI BUREEEEEEEEEE....!!!
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!
Not only that.
The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Watu wenye ufahamu ndio wapotoshaji wakubwa, mmekosa uzalendo badala yake mmetanguliza ubinafsi mbele, ulichokisimamia jana leo hukitaki, unachokisema leo baadae unakikana alimradi maslahi yenu yafanikiwe, aibu sanaaa!
Nafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.Wanabodi,
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5,
kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.
Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Ukilisoma bandiko hili ukazijua sababu zilizosababisha akawa Magufuli, labda utanielewa nazungumzia nini!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli!
Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator!.
Pasco!.
Kapitie public holiday ActNafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.
Jee rais anayo mamlaka ya kuifuta parade ya uhuru?!.
Pasco
Nafanya tuu rejea ni kwa mujibu wa sheia, taratibu na kanuni ipi iliyompa rais wetu mamlaka ya kuamuru matumizi sahihi ya private money za michango?!.
Jee rais anayo mamlaka ya kuifuta parade ya uhuru?!.
Pasco
Nafanya tuu rejea!, "CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!."Wanabodi,
John Pombe Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, anayesubiri kutangazwa rasmi!.
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5,
kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.
Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyopitiliza kiasi cha kutafsiriwa kuwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.
Pasco!.
Rejea......Wanabodi,
John Pombe Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025!, anayesubiri kutangazwa rasmi!.
Kuna walioshindana nae, kuna waliopingana nae, na kuna waliopingana nae!.
Sasa kwa wote wa makundi hayo, kwa vile sasa yeye ndiye mshindi, hii inamaanisha, they were fighting him but they can't beat him!, hivyo kuna huu msemo usemao, "if you can't beat them, join them!". Nawashauri makundi hayo, to join him, sio kwa kupenda, but because they have to!.
Natoa wito kwa wote walioshindana nae, kwanza kukubali matokeo, kwa sababu asiyekubali kushindwa sii mshindani!, regardless umeshindwaje!, iwe ni kwa ushindi halali, haramu, bao la mkono, etc, the end will always justify the means!, Pili kumpatia ushirikiano kwa kum join him!, tena hapa mtawashuhudia baadhi ya wale opportunists waliojiengua kumfuata, wakipiga magoti kulamba matapishi yao kwa kurejea, because they see no more opportunities they expected!.
Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5,
kuhusu baadhi ya wagombea wa CCM wakipita wana hatari ya ku make the worst Dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.
Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kitu cha muhimu ni kumuombea tuu kwa Mungu, angalau amfanye ni a benevolent one, vinginevyo tutajuta!.
Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya uswahili Swahili, alikuja ni mtu mwenye huruma iliyopitiliza kiasi cha kutafsiriwa kuwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu!, CCM ya Magufuli itakuwa ni CCM sasa kazi tuu, ambayo ni hatari kwa waliozoea CCM lege lege, hivyo akijenga CCM imara sana, huu upinzani mwisho ni 2020!.
Kwenye uzi wangu huu, Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour!, nilimzungumzia JK kuwa sifa kubwa iliyomfanya CCM impitishe ni cheko na bashasha zake!, hivyo JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea, huku yeye akicheka tuu na kuwaacha yapite. Kwa Magufuli, hakuna kucheka, wala hakuna mchezo, ni kazi tuu, hivyo hili ni angalizo muhimu sana na hata majaaliwa ya huu Uhuru usio na mipaka tulionao humu jf mbele ya unpredictable dictator kama huyu, ni mashaka matupu unless we join them!.
Thanks God, mimi ni mmoja wa wachache, wanaojua huyu Magufuli aliibukia wapi hadi yeye kuwa ndie mgombea wa CCM na sababu ni zipi!. Ukilisoma bandiko hili ukazijua sababu zilizosababisha akawa Magufuli, labda utanielewa nazungumzia nini!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli!
Hivyo let's hope, only zile sababu, zilizopelekea kwa nini ni Magufuli, ndio the only ones zitakazo mcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator!, therefore, to be on a safe side, if you can't beat them, just join them!.
Wana Chadema, Wana UKAWA na Watanzania wenzangu, najua wengi wetu tulimtaka Lowassa, tumemkosa!, tukapewa Magufuli, let's just take him!. If you can't get what you want, just take what you get!.
Sio tumjoin kwa sababu ndio tumemkubali, au kwa sababu ndio sasa tunampenda, no way, we have to join them because we have to!.
Kwa kuweka tuu kumbukumbu sawa, 2010 Chadema walisusia matokeo walijidai hawamtambua JK, lakini hatima yake ilikuja kuwa hivi
Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza!
Bandiko hili liliwaudhi sana Chadema humu jf, Mwana JF, Regia Mtema (RIP) akanitaka niombe radhi
Pasco Tuombe radhi CHADEMA-Umemwelewa Vibaya ....
Radhi iliombwa
Nawaomba radhi wana CHADEMA, nilimwelewa vibaya ...
This same, same scenario inataka kujirudia!.
Pasco!.
Brother ...jicho lako ni hatari. Utabiri wako wa 2020 upinzani utakuwa kwenye hatari kubwa naona dhahiri linaenda kutokea labda yafanyike mabadiliko makubwa. Wengine tunachukiwa kwa kusema ukweli huu. Tunataka upinzani imara lakini upinzani wanaishi kwa kusubiri huruma ya Rais aliyeko madarakani na kwa umri wote wa upinzani wameshindwa kujiwekea misingi muhimu kukamata dola.Rejea......
P.