Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Unaposema "wanaojifanya vidume" haudhani ni dharau! "Kujifanya" si kitu halisi na "kidume" si kitu halisi bali vyote ni viigizo havina sifa ya uhalisia, kama unaongea lugha ya kisheria huko siwezi kukukatalia kwani siijui.
Kujifanya ni pretending, yaani kujifanya unamsimamo lakini huna uwezo huo. Chadema siku zote wanajifanya kususa wakati hawana uwezo huo. Angalia bandiko hili ni la lini, CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais, that was uchaguzi wa 2010, walipoitwa Ikulu, walifakamia!.

Uchaguzi Mkuu wa 2015 wakasema mgombea wao akishindwa ila kura zake wakapata mgombea wa CCM!. Hivyo wakasusa!.

Uchaguzi wa 2020 wakashindwa tena na kususa tena, nikawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!. kumbe Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P
 
Mama kwenye ndoa mpya mambo safi lakini akawa hana amani na watoto wake wale wawili kule kwa babu yao. Akamweleza mumewe, mume akamkubalia, ndipo mtoto wa kiume akachukuliwa na kuandikishwa Shule kwa jina la Baba wa kufikia na ndio akawa Mtanzania!. Baadae akaja kuwa kiongozi!. Ukapata info kama hizi, utazi disclose?. Watu tuna info humu msituone tunanyamaza, ni tunatanguliza maslahi ya taifa.
P

Kama ulijua dhalimu sio mtanzania mbona ulikaa kimya bila kulisaidia taifa? Uoga sio uzalendo, ilifikia mahali nikawa nasema ni ngumu kutofautisha ujinga na waliojiita wazalendo kipindi cha dhalimu. Na ww uliingia kwenye ule uzalendo wa kinafiki. Ndio maana hata ukileta nyuzi zako sasa hivi humu jukwaani najua huna lolote jipya, zaidi ya porojo.
 
Kujifanya ni pretending, yaani kujifanya unamsimamo lakini huna uwezo huo. Chadema siku zote wanajifanya kususa wakati hawana uwezo huo. Angalia bandiko hili ni la lini, CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais, that was uchaguzi wa 2010, walipoitwa Ikulu, walifakamia!.

Uchaguzi Mkuu wa 2015 wakasema mgombea wao akishindwa ila kura zake wakapata mgombea wa CCM!. Hivyo wakasusa!.

Uchaguzi wa 2020 wakashindwa tena na kususa tena, nikawashauri Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!. kumbe Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!
P
Nabii Paskali mimi ninashindwa kuelewa kufuru ya chuki yako dhidi ya Chadema inatoka wapi! Wewe umekuwa ni mtu wa hovyo kwani nyuzi zako huwa za kuwashutumu Chadema kwa kuwaona ni magarasa na wewe ndiye mwenye akili na busara! Nimefika mahali naona unaamini wao wamezaliwa na wazazi wa hovyo ndiyo maana wako hovyo na wanaccm wamezaliwa na wazazi waliotukuka ndiyo sababu wanabusara na akili! Wewe kwa kujiona kwako unaakili na busara kuliko wanachadema wote kunanifanya nikuone haufai hata kuwa wakili kama Lakha.
Mzee Mandela na wenzake waliteswa na kuumizwa kuliko unavyofikiria, lakini walifika mahali wakasema yaliyotokea yalitokea hebu tuoongee na wstesi wetu tuone kama watakuwa tayari kuishi nasi kama binaadamu wenzao, wakaongea wakaaminiana yakaisha! Nyie majuha wa siasa hapa husema walilamba asali! Mmezoea mizozano isiyo na mwisho na mnaipenda hivyo.
Nakushauri Paskali shuka chini waone wanachadema ni watu(chadema ni chama)tu kama wewe na wapo waliokuzidi akili na busara na si mazezeta kama unavyoamini wa kupokea ushauri wote toka kwako, unapomkosoa mwenzako kwa kila jambo alifanyalo hata utafunaji wake wa dona, basi wewe utakuwa na kasoro kubwa.
 
Mimi sio nabii, mimi trends reader tuu ila humu JF tuna manabii wetu humu Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!

It's just a matter of time.

Yes la kina Mdee likitimia nitakuja ku update

P
Watu wenye busara endapo watagombana hufika wakati wanaweka tofauti zao pembeni na kuwa kitu kimoja, lililotokea limetokea hebu tujaribu upya maisha yaendelee, ndiyo sababu akina Mandela walikubali yaishe na kusahau mateso na vifo walivyofanyiwa.
 
Kama ulijua dhalimu
Mkuu Tindo , heshima kitu cha bure!, heshimu wote wakubwa na madogo, masikini na matajiri, viongozi na wananchi wa kawaida, kiongozi Mkuu wa nchi aliyeifanyia nchi hii makubwa vile huwezi kumuita dhalimu!. Sisi Waafrika tuna tabia, mila na utamaduni wa kuheshimu marehemu wetu "kumuita marehemu jina hilo, hakuna tofauti na the consecration of the dead!. Stop this please!.
Kwavile baada ya ushindi wake mimi niliweka humu a time test ya kipimo cha udhalimu na the consequences, na muda wa hiyo time test ulipita bila hizo consequences, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nilisema

Time test ilikuwa ni 5 years.
Baada ya miaka 5 ya JPM, kati ya CCM na Chadema, nani aliimaliza amesimama?. CCM si ndio imemaliza huku ikikomba almost everything na Chadema ended up with nothing!. Kuna watu ni too short sighted na wengine ni myopic kabisa, wanaiona Chadema kama ni chama malaika na CCM ni chama shetani!. Masikini hawa hawajui!. Laiti wangelijua saa hizi Chadema wangemshukuru sana JPM!.
Kama ulijua sio mtanzania mbona ulikaa kimya bila kulisaidia taifa?
Jf tuna members wengi wenye professionals tofauti tofauti, na wengine ni wananchi tuu wa kawaida ambao hawana professional yoyote. Mimi nimejiunga JF as a professional journalist, professionalism ya journalism inatutaka always kusema ukweli na kuandika nothing but the truth. Ila pia imeweka kitu kinachoitwa media ethics, kwamba hata ukiujua ukweli, kabla hujauandika huo ukweli lazima uufanyie kitu kinachoitwa objectivity test, kuupima jee nikiusema ukweli huu utalisaidia taifa, jee una manufaa kwa jamii na taifa kwa ujumla?. Ukiona ukweli huo ukijulikana hauna maslahi kwa taifa, then unapaswa usiuseme!.

Uzalendo wa kweli wa taifa lako ni ukilisikia jambo sio kulipayuka bali kuliripoti kwa wahusika ili wahusika ndio wachukue hatua.
Sisi waandishi tukisikia kitu sehemu yetu ya kuripoti ni kupitia kalamu zetu!. Hivyo siku naletewa hilo jina August 2014, nikachukua kalamu yangu nikaripoti humu JF na makala yake gazetini Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli hivyo mimi kama mwandishi nilitimiza wajibu wangu, kikamilifu. Na baada ya kuchaguliwa nilirejea kwenye bandiko hilo na kufanya updates.

Nikajaribu tena kuwafungua macho Watanzania Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Pia nikawaendeshea somo la kuusema ukweli vs uzalendo wa kutanguliza maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo kwenye hilo mimi nilitimiza wajibu wangu kwa asilimia 100% chini ya 100%
P
 
Mkuu Tindo , heshima kitu cha bure!, heshimu wote wakubwa na madogo, masikini na matajiri, viongozi na wananchi wa kawaida, kiongozi Mkuu wa nchi aliyeifanyia nchi hii makubwa vile huwezi kumuita dhalimu!. Sisi Waafrika tuna tabia, mila na utamaduni wa kuheshimu marehemu wetu "kumuita marehemu jina hilo, hakuna tofauti na the consecration of the dead!. Stop this please!.
Kwavile baada ya ushindi wake mimi niliweka humu a time test ya kipimo cha udhalimu na the consequences, na muda wa hiyo time test ulipita bila hizo consequences, Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake! humo nilisema

Time test ilikuwa ni 5 years.
Baada ya miaka 5 ya JPM, kati ya CCM na Chadema, nani aliimaliza amesimama?. CCM si ndio imemaliza huku ikikomba almost everything na Chadema ended up with nothing!. Kuna watu ni too short sighted na wengine ni myopic kabisa, wanaiona Chadema kama ni chama malaika na CCM ni chama shetani!. Masikini hawa hawajui!. Laiti wangelijua saa hizi Chadema wangemshukuru sana JPM!.

Jf tuna members wengi wenye professionals tofauti tofauti, na wengine ni wananchi tuu wa kawaida ambao hawana professional yoyote. Mimi nimejiunga JF as a professional journalist, professionalism ya journalism inatutaka always kusema ukweli na kuandika nothing but the truth. Ila pia imeweka kitu kinachoitwa media ethics, kwamba hata ukiujua ukweli, kabla hujauandika huo ukweli lazima uufanyie kitu kinachoitwa objectivity test, kuupima jee nikiusema ukweli huu utalisaidia taifa, jee una manufaa kwa jamii na taifa kwa ujumla?. Ukiona ukweli huo ukijulikana hauna maslahi kwa taifa, then unapaswa usiuseme!.

Uzalendo wa kweli wa taifa lako ni ukilisikia jambo sio kulipayuka bali kuliripoti kwa wahusika ili wahusika ndio wachukue hatua.
Sisi waandishi tukisikia kitu sehemu yetu ya kuripoti ni kupitia kalamu zetu!. Hivyo siku naletewa hilo jina August 2014, nikachukua kalamu yangu nikaripoti humu JF na makala yake gazetini Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli hivyo mimi kama mwandishi nilitimiza wajibu wangu, kikamilifu. Na baada ya kuchaguliwa nilirejea kwenye bandiko hilo na kufanya updates.

Nikajaribu tena kuwafungua macho Watanzania Kauli ya Kakobe "Magufuli atubu", yaibua mambo! Je asili halisi ya Rais Magufuli ni Msukuma, Mhaya au Muha wa Kakonko?

Pia nikawaendeshea somo la kuusema ukweli vs uzalendo wa kutanguliza maslahi ya taifa Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo kwenye hilo mimi nilitimiza wajibu wangu kwa asilimia 100% chini ya 100%
P

Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini iliifanyia nchi ile maendeleo makubwa sana, umewahi kuona weusi wa Afrika kusini wanamsifia? Kufanya mambo makubwa kwa nchi kunahalalisha uovu uliofanyika kwa raia wa nchi yako?

Kwamba hiyo 2020 CCM ilipata ushindi hivyo CCM ilikuwa imara? Kwa taarifa yako 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini iliifanyia nchi ile maendeleo makubwa sana, umewahi kuona weusi wa Afrika kusini wanamsifia? Kufanya mambo makubwa kwa nchi kunahalalisha uovu uliofanyika kwa raia wa nchi yako?

Kwamba hiyo 2020 CCM ilipata ushindi hivyo CCM ilikuwa imara? Kwa taarifa yako 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Bro unaangaika na nini?

Unafikiri Mr. Paschal atakuelewa? Yeye anaamini dhalimu hawafanyi makubwa🤣🤣 ndivyo anavyoona msomi huyu na mhadishi maarufu🤔 hivyo mtu akishafanya makubwa sio dhalimu. Yaani baba anayeilisha familia yake na kuitunza, watoto wanasoma vizuri n.k. lakini anabaka au kulawiti house maids wake hawi dhalimu kwa sababu ameifanyia familia yake makubwa, kwa mujibu wa tafasiri ya Mhadishi mkongwe Paschal 🤣

Bro unajaribu kumfungua macho yule jamaa mweusi wa SA aliyekuwa anawaumisha mbwa waafrika wenzake kisa wanapinga uongozi wa kidhalimu ambako yeye alikuwa anashibisha tumbo lake. Uongozi ule wa kidhalimu kwake ulikuwa unamfanyia makubwa.

Nahisi unaangaika na member wa udhalimu ukitarajia akuelewe. Utapoteza muda kaka.
 
Bro unaangaika na nini?

Unafikiri Mr. Paschal atakuelewa? Yeye anaamini dhalimu hawafanyi makubwa🤣🤣 ndivyo anavyoona msomi huyu na mhadishi maarufu🤔 hivyo mtu akishafanya makubwa sio dhalimu. Yaani baba anayeilisha familia yake na kuitunza, watoto wanasoma vizuri n.k. lakini anabaka au kulawiti house maids wake hawi dhalimu kwa sababu ameifanyia familia yake makubwa, kwa mujibu wa tafasiri ya Mhadishi mkongwe Paschal 🤣

Bro unajaribu kumfungua macho yule jamaa mweusi wa SA aliyekuwa anawaumisha mbwa waafrika wenzake kisa wanapinga uongozi wa kidhalimu ambako yeye alikuwa anashibisha tumbo lake. Uongozi ule wa kidhalimu kwake ulikuwa unamfanyia makubwa.

Nahisi unaangaika na member wa udhalimu ukitarajia akuelewe. Utapoteza muda kaka.

Nashukuru kwa kusaidia kuweka rekodi sawa. Huyu jamaa anadhani sisi ni vipofu wa ukatili wa mtu eti kisa alikuwa rais.
 
Mama kwenye ndoa mpya mambo safi lakini akawa hana amani na watoto wake wale wawili kule kwa babu yao. Akamweleza mumewe, mume akamkubalia, ndipo mtoto wa kiume akachukuliwa na kuandikishwa Shule kwa jina la Baba wa kufikia na ndio akawa Mtanzania!. Baadae akaja kuwa kiongozi!. Ukapata info kama hizi, utazi disclose?. Watu tuna info humu msituone tunanyamaza, ni tunatanguliza maslahi ya taifa.
P
Aisee.....ndio maana hatukuona tabia za kitanzania kwa yule jamaa.....ila waliompitisha kugombea ilihali walilijua hili ni wasaliti wa hii nchi.
 
Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini iliifanyia nchi ile maendeleo makubwa sana, umewahi kuona weusi wa Afrika kusini wanamsifia? Kufanya mambo makubwa kwa nchi kunahalalisha uovu uliofanyika kwa raia wa nchi yako?

Kwamba hiyo 2020 CCM ilipata ushindi hivyo CCM ilikuwa imara? Kwa taarifa yako 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Paskali ni mtu anayependa baadhi ya watu wafanyiwe ukatiri, mimi nilidhani baada ya yeye kufanyiwa ukatiri wa kutenganishwa na baba yake angali mtoto kwa lazima basi angejua machungu na asingependa watu wanyang'anywe haki zao, huyu mtu mpaka leo msimamo wake ni Mbowe ni mhalifu eti anao ushahidi wa Mwanza! Huyu ndiye Paskali mtoto wa polisi kota kama sijakosea.
 
Paskali ni mtu anayependa baadhi ya watu wafanyiwe ukatiri, mimi nilidhani baada ya yeye kufanyiwa ukatiri wa kutenganishwa na baba yake angali mtoto kwa lazima basi angejua machungu na asingependa watu wanyang'anywe haki zao, huyu mtu mpaka leo msimamo wake ni Mbowe ni mhalifu eti anao ushahidi wa Mwanza! Huyu ndiye Paskali mtoto wa polisi kota kama sijakosea.

Kama kuna mtu nilimpuuza ni huyu jamaa kwenye shambulio la Tundu Lisu. Eti anajitoa ufahamu kuwa dhalimu hahusiki kwenye jambo lile. Ukimuuliza nani alitoa amri ya kuondoa askari getini siku ya shambulio la Lisu, anaishia kuongea vitu vya ajabu. Usishangae naye ni wale wanaosema hadi dereva wa Lisu arudi ili ahojiwe! Ukimuuliza kama wangefariki kusingekuwa na uchunguzi, sidhani hata kama atakuwa na jipya.
 
Kama kuna mtu nilimpuuza ni huyu jamaa kwenye shambulio la Tundu Lisu. Eti anajitoa ufahamu kuwa dhalimu hahusiki kwenye jambo lile. Ukimuuliza nani alitoa amri ya kuondoa askari getini siku ya shambulio la Lisu, anaishia kuongea vitu vya ajabu. Usishangae naye ni wale wanaosema hadi dereva wa Lisu arudi ili ahojiwe! Ukimuuliza kama wangefariki kusingekuwa na uchunguzi, sidhani hata kama atakuwa na jipya.
Wakati Lisu anashambuliwa Dar kuna mwanajeshi mstaafu alipigwa risasi na kufariki na kuporwa pesa alizochukua benki , lakini watuhumiwa walitafutwa na kupatikana bila ya kumtaka marehemu awasaidie upelelezi wa tukio.
 
Nabii Paskali
Mkuu elvischirwa , kwanza mimi sio nabii, nabìi ni mtu wa Mungu anayemtumia kufikisha ujumbe kwa watu wake. Mimi sio nabii bali ni just a trends reader ambaye anasikiliza the voices from within, bila kuwa na uhakika and for sure ni sauti za nani, maana sijawahi kuambiwa "Mimi ni Mungu" lakini manabii wanapotokewa huambiwa "mimi ni Mungu" na kuelekezwa nenda ukawaambie watu wangu hiki na hiki na hiki, lakini sauti ninazozileta mimi ni sauti tuu ninazozisikia ndani yangu bila kuelezwa ni sauti za nani.

Sio kila sauti mtu anayoisikia kutoka ndani yake ni sauti ya Mungu!, sauti nyingine ni sauti za shetani!.
Hata ndoto, sio kila ndoto mtu anayoota anaonyeshwa maono fulani ni ndoto ya Mungu, ndoto nyingine ni ndoto za shetani!
Vivyo hivyo sio kila kifo ni kifo cha Mungu, au kazi ya Mungu, vifo vingine ni kazi ya mwovu ya shetani!.
mimi ninashindwa kuelewa kufuru ya chuki yako dhidi ya Chadema inatoka wapi! Wewe umekuwa ni mtu wa hovyo kwani nyuzi zako huwa za kuwashutumu Chadema kwa kuwaona ni magarasa na wewe ndiye mwenye akili na busara!
Kiukweli kabisa toka ndani ya nafsi yangu, mimi siichukii Chadema!. Japo mimi ni mwana CCM, it's expected nitakuwa ninaichukia Chadema hivyo nataka Chadema ife!.

Kuna wana CCM wa aina mbili, wana CCM die hard na wana CCM Contemporary.

CCM die hard ni wale wanaopenda kuona CCM lazima ishinde kwa mbinu zozote, ziwe hooks and crooks hata ikibidi to crush the opposition, just crush it, na kama ni kushinda kwa bao la mkono piga bao!. JPM was a CCM die hard!.

Sisi CCM contemporary tunapenda CCM ishinde kwa haki, hivyo kuna wana CCM Wazalendo wapenda haki hawapendi figisu zozote za uchaguzi zinazokiuka haki. Wana CCM wa type yangu wanawapenda the opposition.

Baada ya kumjua JPM ni CCM die hard, ili kuhakikisha CCM inatenda haki kuwatendea Watanzania wote, angalia mwana CCM mimi nilishauri nini kwa chama changu CCM. Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa niliisikia sauti kuniambia kitu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu wa 2020, hivyo nilichokifanya ni kutimiza wajibu wangu kwa kuwaeleza wahusika Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nikaeleza nimeisikia sauti tufanye nini na tusipofanya nini kitatokea!.

Na kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, baada ya kuona figisu zimeanza, nilitoa angalizo hili Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

Sasa ukiyasoma mabandiko hayo mawili ambayo yametolewa na mwana CCM kwa chama chake, kama unaamini mtu huyu anaichukia Chadema, endelea kuamini hivyo!.

Amini usiamini kuna wana CCM Wazalendo na wapenda haki wanaopenda kuona wapinzani wanaingia Bungeni. Mimi ni mmoja wao, hivyo nimetumia nguvu zangu nyingi sana za ushawishi na ushauri kuisaidia Chadema and the opposition to do the right thing!. Wengi wetu humu huishia kuandika tuu humu, lakini mimi kwenye hili nimekwenda physically Chadema pale Mtaa wa Ufipa, NCCR Mageuzi pale Ilala Boma na CUF Buguruni na kuonana na the office bearers kuwafunda how to do the right thing kwa mazingira ya siasa zake za ushindani na chama dola.

Angalia ushauri huu ni wa lini Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ... sasa ushauri kama huu ni wa mtu anayeichukia Chadema?.
Sasa chama kinachoshauriwa the right thing to do, kinapoendelea kufanya madudu, lazima mtu ukasirike!. Uchaguzi 2020 - Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...
Nimefika mahali naona unaamini wao wamezaliwa na wazazi wa hovyo ndiyo maana wako hovyo na wanaccm wamezaliwa na wazazi waliotukuka ndiyo sababu wanabusara na akili! Wewe kwa kujiona kwako unaakili na busara kuliko wanachadema wote kunanifanya nikuone haufai hata kuwa wakili kama Lakha.
Wewe wasema!.
Mzee Mandela na wenzake waliteswa na kuumizwa kuliko unavyofikiria, lakini walifika mahali wakasema yaliyotokea yalitokea hebu tuoongee na wstesi wetu tuone kama watakuwa tayari kuishi nasi kama binaadamu wenzao, wakaongea wakaaminiana yakaisha! Nyie majuha wa siasa hapa husema walilamba asali! Mmezoea mizozano isiyo na mwisho na mnaipenda hivyo.
Wewe wasema!.
Nakushauri Paskali shuka chini waone wanachadema ni watu(chadema ni chama)tu kama wewe na wapo waliokuzidi akili na busara na si mazezeta kama unavyoamini wa kupokea ushauri wote toka kwako,
Nimepokea ushauri.
unapomkosoa mwenzako kwa kila jambo alifanyalo hata utafunaji wake wa dona, basi wewe utakuwa na kasoro kubwa.
Hili pia nimelipokea na kujifanyia tathmini, inawezekana mimi ndio mwenye matatizo na sio Chadema.

Ila pia sii kweli kuwa naikosoa Chadema kwa kila kitu, Chadema na viongozi wake wakifanya vizuri huwa nawapongeza na hizi ni baadhi ya pongezi zangu kwa Chadema
Mapenzi ya kweli hukaa ndani ya moyo wa mtu, na chuki vivyo hivyo. Maadam mimi najijua ndani yangu naionaje Chadema, wanaonoana kuwa ninaichukia Chadema kwa kuieleza ukweli mchungu kuhusu udhaifu wao, be it!.
P
 
Wakati Lisu anashambuliwa Dar kuna mwanajeshi mstaafu alipigwa risasi na kufariki na kuporwa pesa alizochukua benki , lakini watuhumiwa walitafutwa na kupatikana bila ya kumtaka marehemu awasaidie upelelezi wa tukio.
Mkuu hakuna mwanajeshi alishambuliwa, lile lilikuwa ni igizo ili kufifisha shambulio la Lisu, ionekane mtu yoyote anaweza kushambuliwa na watu wasiojulikana. Kama ulitazama vizuri wakati Magufuli kaenda kumtembelea yule mwanajeshi, hakuwa anaonyesha kuwa na maumivu yoyote japo alikuwa na plasta.

Baada ya watu kuponda igizo lile wakajua wamestukiwa na ikawa ndio mwisho wa igizo lile. Nashangaa kumbe na ww walikuokota mkuu. Ule ulikuwa ni utapeli wa wazi. Lengo la igizo lile ilikuwa ni kuonyesha mtu anaweza kushambuliwa kwa risasi hapa nchini na kutibiwa hapahapa. Hivyo Lisu kukimbilia nje kwa matibabu ni kukosa uzalendo.
 
Paskali ni mtu anayependa baadhi ya watu wafanyiwe ukatiri, mimi nilidhani baada ya yeye kufanyiwa ukatiri wa kutenganishwa na baba yake angali mtoto kwa lazima basi angejua machungu na asingependa watu wanyang'anywe haki zao,
Mkuu mtoto mdogo anayefanyiwa ukatili tangu akiwa tomboni au mdogo, tatizo hilo linakuwa stored kwenye subconscious mind yake, hivyo anakuwa ameathirika kisaikolojia na matokeo yake anakuwa sadist. Hili nimelizungumza vizuri hapa Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!
huyu mtu mpaka leo msimamo wake ni Mbowe ni mhalifu eti anao ushahidi wa Mwanza!
Hili naomba tusiendelee kulizungungumzia, maadam kombe limeishafunikwa ili mwanaharamu apite liache lipite!.
Huyu ndiye Paskali mtoto wa polisi kota kama sijakosea.
No mimi sio mtoto wa polisi kota, bali mimi ni mtoto wa Mafletini Drive In pale opposite na Oyster Bay Polisi. Ila ni mtoto wa wale 'jamaa', kwa baba na Mama, Baba Mzee Andrew Mayalla, (RIP), ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa Kesi ya Mwanza, na Mama (RIP) ni silent heroine aliyevishwa nishani na Nyerere na Mwinyi na kufa silently na kuwa well taken care na Idara hadi 6ft under Tribute to Silent Heroes!. Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till Death!”. Jee Huu Sio Ubaguzi?. Why Only Some are Cared to Death but not All?!

Hivyo kuna baadhi ya security concerns zangu ni inborn.
P
 
Mkuu hakuna mwanajeshi alishambuliwa, lile lilikuwa ni igizo ili kufifisha shambulio la Lisu, ionekane mtu yoyote anaweza kushambuliwa na watu wasiojulikana. Kama ulitazama vizuri wakati Magufuli kaenda kumtembelea yule mwanajeshi, hakuwa anaonyesha kuwa na maumivu yoyote japo alikuwa na plasta.

Baada ya watu kuponda igizo lile wakajua wamestukiwa na ikawa ndio mwisho wa igizo lile. Nashangaa kumbe na ww walikuokota mkuu. Ule ulikuwa ni utapeli wa wazi. Lengo la igizo lile ilikuwa ni kuonyesha mtu anaweza kushambuliwa kwa risasi hapa nchini na kutibiwa hapahapa. Hivyo Lisu kukimbilia nje kwa matibabu ni kukosa uzalendo.
Duh...!.
P
 
Mkuu mtoto mdogo anayefanyiwa ukatili tangu akiwa tomboni au mdogo, tatizo hilo linakuwa stored kwenye subconscious mind yake, hivyo anakuwa ameathirika kisaikolojia na matokeo yake anakuwa sadist. Hili nimelizungumza vizuri hapa Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!

Hili naomba tusiendelee kulizungungumzia, maadam kombe limeishafunikwa ili mwanaharamu apite liache lipite!.

No mimi sio mtoto wa polisi kota, bali mimi ni mtoto wa Mafletini Drive In pale opposite na Oyster Bay Polisi. Ila ni mtoto wa wale 'jamaa', kwa baba na Mama, Baba Mzee Andrew Mayalla, (RIP), ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa Kesi ya Mwanza, na Mama (RIP) ni silent heroine aliyevishwa nishani na Nyerere na Mwinyi na kufa silently na kuwa well taken care na Idara hadi 6ft under Tribute to Silent Heroes!. Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till Death!”. Jee Huu Sio Ubaguzi?. Why Only Some are Cared to Death but not All?!

Hivyo kuna baadhi ya security concerns zangu ni inborn.
P
"Hili naomba tusiendelee kulizungungumzia, maadam kombe limeishafunikwa ili mwanaharamu apite liache lipite!" Paskali jaribu kujitafakari, wewe hata baada ya kesi ya Mbowe kufutwa(mwanasheria unajua nini maana ya kifuta kesi) ulikuja hapa na msimamo wa ushahidi wa Mwanza ambao ulikuwa hauhitajiki tena, nadhani haukujua ya limepita funika kombe mwanaharamu apite, sijui ulikuwa unamkumbusha nani tena! Unapomtendea mwenzako ujue nawe huenda litakuja kukupata.
Mkuu mtoto mdogo anayefanyiwa ukatili tangu akiwa tomboni au mdogo, tatizo hilo linakuwa stored kwenye subconscious mind yake, hivyo anakuwa ameathirika kisaikolojia na matokeo yake anakuwa sadist. Hili nimelizungumza vizuri hapa Character Assassination ni Modus Oparandi ya Madikiteta Katili Wote Duniani!

Hili naomba tusiendelee kulizungungumzia, maadam kombe limeishafunikwa ili mwanaharamu apite liache lipite!.

No mimi sio mtoto wa polisi kota, bali mimi ni mtoto wa Mafletini Drive In pale opposite na Oyster Bay Polisi. Ila ni mtoto wa wale 'jamaa', kwa baba na Mama, Baba Mzee Andrew Mayalla, (RIP), ndiye alikuwa RSO wa Mwanza ile 1976 wakati wa Kesi ya Mwanza, na Mama (RIP) ni silent heroine aliyevishwa nishani na Nyerere na Mwinyi na kufa silently na kuwa well taken care na Idara hadi 6ft under Tribute to Silent Heroes!. Hongera “Idara” Kuhudumia Wastaafu Wake Till Death!”. Jee Huu Sio Ubaguzi?. Why Only Some are Cared to Death but not All?!

Hivyo kuna baadhi ya security concerns zangu ni inborn.
P
Ya mtoto wa kota nadhani limetokana na wewe kuishi nyumba ya serikali ukiwa mdogo, samahani kwa hilo.
 
"Hili naomba tusiendelee kulizungungumzia, maadam kombe limeishafunikwa ili mwanaharamu apite liache lipite!" Paskali jaribu kujitafakari, wewe hata baada ya kesi ya Mbowe kufutwa(mwanasheria unajua nini maana ya kifuta kesi) ulikuja hapa na msimamo wa ushahidi wa Mwanza ambao ulikuwa hauhitajiki tena, nadhani haukujua ya limepita funika kombe mwanaharamu apite, sijui ulikuwa unamkumbusha nani tena! Unapomtendea mwenzako ujue nawe huenda litakuja kukupata.
Kama nilivyoomba hili liache lipite ni liache lipite!
Ya mtoto wa kota nadhani limetokana na wewe kuishi nyumba ya serikali ukiwa mdogo, samahani kwa hilo.
Wala sio kosa la kuomba msamaha.
Nikutakie Jumapili Njema
P
 
Wanabodi,

Kuna huu msemo wa wahenga usemao, "if you can't beat them, join them!". Nawashauri makundi hayo yote walioshindwa, kwanza kukubali kushindwa, kwani asiyekubali kushindwa sio mshindani, hivyo natoa mwito kwa washindwa wote, ku surrender kwa kuweka silaha zao chini na to join him, sio kwa kupenda, but they have to join him because, there is no any other way out, or any options but they have either to join him and survive, or to fall out and perish!.
Paskali
Hili lilikuwa ni bandiko la kuwashauri washindwa wote including Edward Lowassa, waweke silaha zao chini na kujiunga na timu ya washindi.

Naendelea na My Tribute to this fallen hero, Mwamba wa Kaskazini, kwa kujikumbusha baadhi ya mabandiko yangu kumhusu shujaa huyu mpaka siku atakapo pumzishwa kwenye makao yake ya milele, let's celebrate the life and the times of Edward Lowassa.

RIP Shujaa Laigwanani Comred Edward Ngoyai Ole Lowassa,
Umepigana vita vilivyo vitakatifu, imani umeilinda.
Bwana alileta
Bwana ametwaa,
Jina Lake Lihimidiwe!.

Paskali
 
Back
Top Bottom