Elections 2015 If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!

Wanabodi,

Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli ninaouona mimi muona mbali ni kuwa kwa nature ya siasa zetu na uwepo wa hii dhana ya udikiteta, kama hautakuwa countered through proper channels kupitia instruments zilizopo, then, mwaka 2020 hakutakuwa na uchaguzi wa rais wala uchaguzi wa vyama vingi!, bali litafanyika igizo tuu la uchaguzi, ambao utakuwa ni uchaguzi wa chama kimoja tuu CCM!. Uchaguzi mwingine wa vyama vingi wa rais na wabunge ni 2025 tena only if kama hatautumia udikiteta wake kubadili katiba kwa mlango wa nyuma, by proxy ili aendelee kama Mkuruzinza, Kagame, Museveni na Mugabe!. (Madikiteta hubadili katiba zao by proxty kwa kutumia watu wengine ndio waseme, wao watasema hawabadili, lakini wananchi wakisema na kuandamana, then they they grant the wishes of the people).


Kuna walioshindana nae ndani ya CCM, hawa ni washindani, kati nyao kuna waliopingana nae, hawa ni wapingani, kuna waliopigana nae vikumbo!, hawa ni wapigani, na kuna waliopingana naye kisiasa, hawa ni wapinzani. Kwa vile sasa mshindi ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hii inamaanisha, hao wengine wote who were fighting, they tried to fight him but couldn't beat him!, as a result they've lost the battle, hivyo as of now, wote walioshindwa, are all are the losses!. Kwenye unrepresentative democracy, the winner takes it all, and the loser standing small!. Kura ni zile milioni 8 tuu alizoshinda Magufuli!, zile milioni 6 za Lowassa are nothing!. Katika mazingira haya, ukiishashindwa unasimama pembeni, ama uendelee kulia na kuugumia maumivu ya kushindwa, au ukubali kushindwa, na kujipanga upya kwa mpambano unaofuata!.

Kuna huu msemo wa wahenga usemao, "if you can't beat them, join them!". Nawashauri makundi hayo yote walioshindwa, kwanza kukubali kushindwa, kwani asiyekubali kushindwa sio mshindani, hivyo natoa mwito kwa washindwa wote, ku surrender kwa kuweka silaha zao chini na to join him, sio kwa kupenda, but they have to join him because, there is no any other way out, or any options but they have either to join him and survive, or to fall out and perish!.

Hivyo hiyo ndio salama yao wakati wa kusikilizia kama atakuwa dikiteta kweli, the real dictator, or a benevolent one!. Ikitokea Magufuli kiwa the real one, yaani ni dikiteta kweli usipomjoin, umekwisha!, hivyo ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, then Tanzania tunaelekea kwenye utawala wa totalitarian na authoritarian nakurudi kuwa nchi ya chama kimoja!. Ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, faraja pekee kwa Watanzania itabaki kwa yule aliyemleta, ndiye atakaye mtwaa ili kulisuru taifa la Mungu.

Hata akiwa a benevolent one, bado upinzani hautafurukuta hata kule kwenye ubunge na udiwani, wapinzani wataokarudi bungeni 2020 ni by personal merits only, as of now, namuona mpinzani mmoja tuu mwenye posibility ya kurejea bungeni 2020, huyu ni ZZK pekee, wapinzani wengine wote kurejea bungeni 2020 ni majaaliwa!.

Wito huu wa kumjoin rais Magufuli, unatolewa regardless ameshindaje na umeshindwaje!, iwe ni kwa ushindi halali, ushindi haramu, bao la mkono, etc, etc, kwenye uchaguzi, the end will always justify the means!, mshindi ni Magufuli, sasa tumpatie tuu kila aina ya ushirikiano wa kutosha kwa kum join him ili aweze kulitawala vizuri taifa letu hili.


Tena hapa mtawashuhudia baadhi ya wale ma-opportunists waliojiengua CCM kumfuata Edward Lowassa upinzani, wakitumaini Lowassa angeshinda lakini kwa vile Lowassa ameshindwa, na CCM ndio imeshinda, they'll see no more opportunities in Chadema, mtawashuhudia wakipiga magoti na kulamba matapishi yao kwa kurejea CCM!, because walijiunga upinzani just in search of opportunities tuu, now they see no more opportunities they expected kwenye opposition, hivyo watajilambia tuu matapishi yao na kujirejeleza zao nyumbani kwao CCM kama alivyofanya mwana mpotevu, na watapokelewa kwa shangwe hadi wengine kufanyiwa karamu!. Edward Lowassa mwenyewe, ili kuepuka aibu ya kurejea CCM, atastaafu rasmi siasa kisha atarejea CCM kimya kimya, ila akiwa na yeye hana aibu wala haoni kinyaa kulamba matapishi yake, na yeye atatangaza kurejea CCM, kisha soon atatangaza kujiuzulu siasa.

Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5,

Makundi hayo ni ..."The Top Ten who can make the worst dictators
Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators
Nikizungumzia kuhusu baadhi ya wagombea urais wa CCM, wakipita wana hatari ya ku make the worst dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kwa watu wenye jicho la tatu, wanaona the fire on his eyes, and then fear is the weapon on his heart kwa kutoa hotuba za ukali kama anagomba!, ambayo ni kiashiria cha seriousness ya hasira ambayo inaweza kugeuka chuki na kupelekea visasi toka moyoni mwake, kwa kila atakayetofautiana naye!, na wenye sikio la tatu wanaisikia tone ya ukali wa ukatili kwenye sauti yake!, hii ni ishara kuwa huyu sio mtu wa masihara, watakao tofautiana nae, wanaweza kuumia au hata ...(God forbid), hili likitokea, kutakuwa hakuna jinsi bali kitu kinachoitwa karma, kitaingilia kati na kurekebisha the situation.

Kitu cha muhimu sana cha kufanya kwa sasa ni sisi Watanzania wote, katika umoja wetu, kwa imani kuwa ni Mungu ndio anaweka tawala za mataifa, Tanzania tumefanya uchaguzi mkuu huru na wa haki, Magufuli ndiye ameshinda kihaki na kihalali, then Magufuli ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania, akitenda kinyume cha Mungu ni Bwana ndie ameleta na Bwana ndie atatwa, na Jina Lake Lihimidiwe !.

Hivyo natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli kwa taifa lao na wenye mapenzi ya kweli na taifa hili, kumuombea tuu Magufuli kwa Mungu, tena kumuombea very seriously, maadamu ni Mungu ndiye aliyetupa Magufuli, then angalau Mungu huyu huyu amfanye kuwa ni a benevolent one ili huo udikiteta wake ulisaidie taifa letu kusonga mbele kiuchumi, kimaendeleo na kiustawi wa jamii japo is at a price of dead democracy!, vinginevyo akiwa the real one, tumekwisha!, tutajuta, mbele ya safari kutakuja kuwa na vilio na kusaga meno!, ila mwisho wa siku ni Mungu atatwaa, watu watapita, lakini Tanzania itabaki.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya uswahili swahili, alikuwa ni mtu wa watu, ni mtu mwenye huruma sana iliyopitiliza kiasi cha kutafsiriwa kuwa Kikwete alikuwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu! hivyo Kikwete alibezwa, alitukanwa, na kuifanywa CCM, ni CCM ya mchezo mchezo, lakini CCM ya Magufuli itakuwa sio CCM ya mchezo mchezo, au CCM ya huruma huruma, itakuwa hakuna mchezo wala mswalie Mtume, hii ni CCM ya hapa kazi tuu!, CCM imara ni kitu hatari sana kwa majaaliwa ya upinzani!.

Upinzani Tanzania umeweza kushamiri kutokana na CCM lege lege, hivyo Magufuli akijenga CCM imara, huu upinzani lege lege uliopo nchini Tanzania hivi sasa, mwisho wake utakuwa ni 2020, Tanzania tunarudi kule kule kwenye nchi ya chama kimoja!. Ndio maana nimesema 2020 hakuna uchaguzi wa vyama vingi kwa rais na wabunge, kutafanyika tuu igizo la uchaguzi wa vyama vingi, lakini uchaguzi wenyewe haswa ni uchaguzi wa chama kimoja.

Kwenye uzi wangu huu,
Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour!, nilimzungumzia JK kuwa sifa kubwa iliyomfanya CCM impitishe ni cheko na bashasha zake!, hivyo JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea sharubu kama babu na wajukuu zake huku yeye akicheka tuu na kuyaacha yapite. Lakini kwa Magufuli, sijui kama kutakuwepo kuchekacheka au kuchekeana, kubezana na kuchezeana, na kubembelezana, kwa Magufuli ni mambo serious kwa kwenda mbele na hakuna mchezo mchezo, ni kazi tuu!.

Wajameni japo kwa sasa naongea kama utani au mzaha, lakini hili ni angalizo muhimu sana kwa majaaliwa ya freedom of expression, freedom of speech, na freedom of press ya uhuru huu usio na mipaka tulionao sasa nchini mwetu, tukiwemo sisi humu jf, tulio enjoy wakati wa Kikwete, lakini mbele ya unpredictable dictator kama Magufuli, kiukweli kabisa huko tuendako, kama akiwa ni Magufuli yule yule tuliyemfahamu sisi, na kama hatabadilika, then ni mashaka matupu!, salama yetu hata sisi jf pia ni ili ku survive, inatibidi nasi tumjoin him kwa kumsifu kwa nyimbo na mapambio, vinginevyo....

Thanks God, mimi ni mmoja wa wana jf wachache, waliopata priviledge ya kujua huyu Magufuli aliibukia wapi na ilikuwaje kuwaje hadi yeye akawa ndie akawa mgombea wa CCM na sababu ni zipi zilifanya awe ni yeye. Ukilisoma bandiko hili ukazijua sababu zilizosababisha akawa Magufuli, labda utanielewa nazungumzia nini!.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli!

Hivyo kwa nature na hulka ya udikiteta wa Magufuli, let's hope, kuwa zile sababu zilizopelekea kuwa mgombea wa urais wa CCM ndizo pekee (the ones and only) zitakazo weza kumcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator vinginevyo hata hao CCM wanaoshangilia ushindi kwa sasa, akitokea kuwa a real one, hata CCM wenyewe nao pia watakuja kujuta!, therefore, to be on a safe side, it's better if you can't beat them, just join them, to be on a safe side!.

Wapinzani wote wakiwemo wana Chadema, wana UKAWA, na Watanzania wenzangu kwa ujumla, najua wengi wenu mlimtaka Lowassa, mmemkosa kwasababu Mungu hakumpangia!, na badala yake Mungu amempangia Magufuli, hivyo natoa wito wa "If you can't get what you want, just take what you get!", ukikosa ulichotaka wewe, then pokea ulichopewa na Mungu!, Magufuli ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, tumkubali Magufuli kwa moyo mkunjufu, hivyo hivyo alivyo na udikiteta wake, tumpokee na kumpatia kila aina ya ushirikiano wote unaohitajika kumuwezesha kuiongoza vema nchi yetu Tanzania yetu. Tanzania sio nchi ya Magufuli wala Tanzania sio mali ya CCM, Tanzania ni ya Watanzania wote, ni nchi yetu sote, hivyo it can be done kama kila mmoja wetu will play his part!.

Sio tumjoin Magufuli kwa sababu sasa ndio tunampenda hivyo tumemkubali, no way, tumjoin Magufuli kwa kumkubali ndie the only one rais tuliyepatiwa na Mungu, hivyo we have duty and a responsibility to join him kwa lazima, tutake tusitake, tupende tusipende, yeye ndie rais wetu hivyo we have to join him and support him because we have to!.

Kwa kuweka tuu kumbukumbu sawa, hata mwaka 2010 Chadema waliposhindwa, walisusia matokeo walijidai kunsusa na kujidai hawamtambui JK, lakini hatima yake ilikuja kuwa hivi

Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza!

Bandiko hili liliwaudhi sana Chadema humu jf, Mwana JF, Regia Mtema (RIP) akanitaka niombe radhi
Pasco Tuombe radhi CHADEMA-Umemwelewa Vibaya ....

Radhi iliombwa
Nawaomba radhi wana CHADEMA, nilimwelewa vibaya ...

This same, same scenario inataka kujirudia kwa Chadema na Ukawa kujidai kutaka kumsusia Magufuli!. Kuna vitu mtu unaweza kususa na kuna vitu huwezi kususa!,kwa hata 2010 Chadema walisusa lakini tukawashuhudia makamanda wakifakamia chai, juice na vitafunwa vya ikulu, huku meno 32 nje kwa vicheko, hivyo hata awamu hii ya Magufuli, msije kushangaa Mbowe akiwaongoza tena makamanda, akiwemo Lowassa kubisha hodi ikulu sio tuu kwenda kumpongeza rais Magufuli, bali mtashuhudia makamanda maarufu ambao waliaminiwa sana na upinzani, wakiviacha vyama vyao na kujiunga CCM kumfuata Magufuli, japo wote wanatoa visingizio na kudai wanamfuata Magufuli kwa sababu wanampenda na kumkubali sana, hivyo wanajiunga CCM kuunga mkono juhudi zake, lakini amini usiamini sio wote, watajiunga CCM kwa sababu wanamkubali rais Magufuli au wanajiunga CCM ili kuunga mkono juhudi, wengine watamfuata Magufuli huko CCM, kwa sababu, hawana jinsi, they have too!.

Paskali
Nimerudia kumsoma Paskali, nilisoma nyakati zile nikamuelewa lakini niwe mkweli nimemwelewa kwa ukamilifu sasa.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Mayala nimemwelewa sana, kipinfii kile nilimwelewa kidogo, kwa sasa nimemwelewa sana. Inawezekana jamaa angefanya ya kuongeza muda na kuwa wa kudumu
 
The prospect of CCM being in power for almost 60 years makes me sick to my stomach!

Not only that.

The fact that Magufuli is the least qualified of all past CCM presidential nominees and therefore the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy!
Watu tofauti wana nguvu tofauti tofauti, the most powerful thing is powers of will, "the willpower". Hii will power ikiwa directed mahali ina ji manifest na kugeuka manifestation, hivyo without knowing how powerful one is, hawa people with power kwa kujua au kutokujua kuwa they possess those powers, hivyo statement hii
the likely next president for the next 10 years is hard to bear and unforgivably cringeworthy
Unaweza kukuta imechangia kwenye kuji manifest na kufanya manifestation miaka 10 isifike!, hivyo kuchangia kutupotezea shujaa wetu kwa kujua au bila kujua kwa accumulation ya karma, mwisho wa siku karma took it's toll.
RIP JPM
P
 
Nimerudia kumsoma Paskali, nilisoma nyakati zile nikamuelewa lakini niwe mkweli nimemwelewa kwa ukamilifu sasa.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kuna vitu watu humu huwa tunavisema kama utani tuu mfano hiki, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Hata ile 2014 niliposema hivi Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sii wengi walielewa ni mpaka ilipotokea!.

Kubwa kuliko ni 2025, Mama alipohojiwa na Kikeke wa BBC kuhusu kugombea urais 2025 aliwajibu vizuri sana. Na aliposema 2025 tutamchagua Mwanamke, kwanza nimejamasisha tumuunge mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! na ilipokuja hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Naomba tusubirie 2025 ndipo mtanielewa!.
P
 
Hili bandiko lako umekuwa ukiliedit mara kwa mara ili ionekane ulikuwa na maono.
Jf is not static it's dynamic,
Kuna vitu watu humu huwa tunavisema kama utani tuu mfano hiki, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Hata ile 2014 niliposema hivi Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sii wengi walielewa ni mpaka ilipotokea!.

Kubwa kuliko ni 2025, Mama alipohojiwa na Kikeke wa BBC kuhusu kugombea urais 2025 aliwajibu vizuri sana. Na aliposema 2025 tutamchagua Mwanamke, kwanza nimejamasisha tumuunge mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! na ilipokuja hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Naomba tusubirie 2025 ndipo mtanielewa!.
P
 
Nna wasiwasi sana na huu uzi wa paskal inawezekana umeunganishwa kitaalamu
Naomba niulize swali nani aliuona huu uzi? Huu utabiri sio wa kawaida uzi umeeditiwa.
Huu uzi wa pascal nani aliuona wakati huo? Atoe ushahidi !! Uzi huu imetengenezwa maalum kwa sababu maalum. Naweza kuthibitisha.
Jf is not a static forum, it's dynamic with updates every now and then,
Kuna vitu watu humu huwa tunavisema kama utani tuu mfano hiki, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Hata ile 2014 niliposema hivi Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sii wengi walielewa ni mpaka ilipotokea!.

Kubwa kuliko ni 2025, Mama alipohojiwa na Kikeke wa BBC kuhusu kugombea urais 2025 aliwajibu vizuri sana. Na aliposema 2025 tutamchagua Mwanamke, kwanza nimejamasisha tumuunge mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! na ilipokuja hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Naomba tusubirie 2025 ndipo mtanielewa!.

2025 nitakukumbusha.
P

P
 
Jf is not static it's dynamic,
Kuna vitu watu humu huwa tunavisema kama utani tuu mfano hiki, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Hata ile 2014 niliposema hivi Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli sii wengi walielewa ni mpaka ilipotokea!.

Kubwa kuliko ni 2025, Mama alipohojiwa na Kikeke wa BBC kuhusu kugombea urais 2025 aliwajibu vizuri sana. Na aliposema 2025 tutamchagua Mwanamke, kwanza nimejamasisha tumuunge mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! na ilipokuja hii sauti Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Naomba tusubirie 2025 ndipo mtanielewa!.
P

Ni sawa, ila sio kuedit kuendana na jambo la wakati huo, ili ionekane hayo uliyasema toka wakati wa nyuma. Hayo yatakuwa sio maono, bali utakuwa unatoa habari.
 
Ni sawa, ila sio kuedit kuendana na jambo la wakati huo, ili ionekane hayo uliyasema toka wakati wa nyuma. Hayo yatakuwa sio maono, bali utakuwa unatoa habari.
Jee una mashaka yoyote na maono yangu?. Karibu pande hizi "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia naomba nisijitape kuwa mimi ni mtu wa kauli umba, bali angalia tarehe za mabandiko yangu ya maono uone nilisema nini na nini kikaja kutokea!.
P
 
Jee una mashaka yoyote na maono yangu?. Karibu pande hizi "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia naomba nisijitape kuwa mimi ni mtu wa kauli umba, bali angalia tarehe za mabandiko yangu ya maono uone nilisema nini na nini kikaja kutokea!.
P

Sikatai usemacho, nasema kuendelea kuedit mabandiko yako ili kuendana na matukio ya wakati huo ili ionekane ulisema kitu hicho hicho na kinatokea, ni utapeli wa mchana kweupe.
 
Wanabodi,

Dr. John Pombe Joseph Magufuli ndiye mshindi wa urais Tanzania kwa mwaka huu wa 2015-2025 and may be more!, anayesubiri tuu kutangazwa rasmi na kuapishwa. Nimesema 2015 -2025 sio kwa bahati mbaya as if hakuna uchaguzi 2020, no!, nimesema 2015-2025 kwa sababu huu ndio ukweli ninaouona mimi muona mbali ni kuwa kwa nature ya siasa zetu na uwepo wa hii dhana ya udikiteta, kama hautakuwa countered through proper channels kupitia instruments zilizopo, then, mwaka 2020 hakutakuwa na uchaguzi wa rais wala uchaguzi wa vyama vingi!, bali litafanyika igizo tuu la uchaguzi, ambao utakuwa ni uchaguzi wa chama kimoja tuu CCM!. Uchaguzi mwingine wa vyama vingi wa rais na wabunge ni 2025 tena only if kama hatautumia udikiteta wake kubadili katiba kwa mlango wa nyuma, by proxy ili aendelee kama Mkuruzinza, Kagame, Museveni na Mugabe!. (Madikiteta hubadili katiba zao by proxty kwa kutumia watu wengine ndio waseme, wao watasema hawabadili, lakini wananchi wakisema na kuandamana, then they they grant the wishes of the people).


Kuna walioshindana nae ndani ya CCM, hawa ni washindani, kati nyao kuna waliopingana nae, hawa ni wapingani, kuna waliopigana nae vikumbo!, hawa ni wapigani, na kuna waliopingana naye kisiasa, hawa ni wapinzani. Kwa vile sasa mshindi ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hii inamaanisha, hao wengine wote who were fighting, they tried to fight him but couldn't beat him!, as a result they've lost the battle, hivyo as of now, wote walioshindwa, are all are the losses!. Kwenye unrepresentative democracy, the winner takes it all, and the loser standing small!. Kura ni zile milioni 8 tuu alizoshinda Magufuli!, zile milioni 6 za Lowassa are nothing!. Katika mazingira haya, ukiishashindwa unasimama pembeni, ama uendelee kulia na kuugumia maumivu ya kushindwa, au ukubali kushindwa, na kujipanga upya kwa mpambano unaofuata!.

Kuna huu msemo wa wahenga usemao, "if you can't beat them, join them!". Nawashauri makundi hayo yote walioshindwa, kwanza kukubali kushindwa, kwani asiyekubali kushindwa sio mshindani, hivyo natoa mwito kwa washindwa wote, ku surrender kwa kuweka silaha zao chini na to join him, sio kwa kupenda, but they have to join him because, there is no any other way out, or any options but they have either to join him and survive, or to fall out and perish!.

Hivyo hiyo ndio salama yao wakati wa kusikilizia kama atakuwa dikiteta kweli, the real dictator, or a benevolent one!. Ikitokea Magufuli kiwa the real one, yaani ni dikiteta kweli usipomjoin, umekwisha!, hivyo ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, then Tanzania tunaelekea kwenye utawala wa totalitarian na authoritarian nakurudi kuwa nchi ya chama kimoja!. Ikitokea Magufuli akawa dikiteta kweli, faraja pekee kwa Watanzania itabaki kwa yule aliyemleta, ndiye atakaye mtwaa ili kulisuru taifa la Mungu.

Hata akiwa a benevolent one, bado upinzani hautafurukuta hata kule kwenye ubunge na udiwani, wapinzani wataokarudi bungeni 2020 ni by personal merits only, as of now, namuona mpinzani mmoja tuu mwenye posibility ya kurejea bungeni 2020, huyu ni ZZK pekee, wapinzani wengine wote kurejea bungeni 2020 ni majaaliwa!.

Wito huu wa kumjoin rais Magufuli, unatolewa regardless ameshindaje na umeshindwaje!, iwe ni kwa ushindi halali, ushindi haramu, bao la mkono, etc, etc, kwenye uchaguzi, the end will always justify the means!, mshindi ni Magufuli, sasa tumpatie tuu kila aina ya ushirikiano wa kutosha kwa kum join him ili aweze kulitawala vizuri taifa letu hili.


Tena hapa mtawashuhudia baadhi ya wale ma-opportunists waliojiengua CCM kumfuata Edward Lowassa upinzani, wakitumaini Lowassa angeshinda lakini kwa vile Lowassa ameshindwa, na CCM ndio imeshinda, they'll see no more opportunities in Chadema, mtawashuhudia wakipiga magoti na kulamba matapishi yao kwa kurejea CCM!, because walijiunga upinzani just in search of opportunities tuu, now they see no more opportunities they expected kwenye opposition, hivyo watajilambia tuu matapishi yao na kujirejeleza zao nyumbani kwao CCM kama alivyofanya mwana mpotevu, na watapokelewa kwa shangwe hadi wengine kufanyiwa karamu!. Edward Lowassa mwenyewe, ili kuepuka aibu ya kurejea CCM, atastaafu rasmi siasa kisha atarejea CCM kimya kimya, ila akiwa na yeye hana aibu wala haoni kinyaa kulamba matapishi yake, na yeye atatangaza kurejea CCM, kisha soon atatangaza kujiuzulu siasa.

Wakati wa mchakato wa kumpata mgombea wa CCM nilipandisha uzi huu, Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5,

Makundi hayo ni ..."The Top Ten who can make the worst dictators
Kundi la 8: The Top Ten who can make the worst dictators
Nikizungumzia kuhusu baadhi ya wagombea urais wa CCM, wakipita wana hatari ya ku make the worst dictators, John Pombe Magufuli was number 2 ya Rais who can make the worst dictator this country has ever had!.

Hoja kuwa Magufuli ni dictator haina mjadala, kwa watu wenye jicho la tatu, wanaona the fire on his eyes, and then fear is the weapon on his heart kwa kutoa hotuba za ukali kama anagomba!, ambayo ni kiashiria cha seriousness ya hasira ambayo inaweza kugeuka chuki na kupelekea visasi toka moyoni mwake, kwa kila atakayetofautiana naye!, na wenye sikio la tatu wanaisikia tone ya ukali wa ukatili kwenye sauti yake!, hii ni ishara kuwa huyu sio mtu wa masihara, watakao tofautiana nae, wanaweza kuumia au hata ...(God forbid), hili likitokea, kutakuwa hakuna jinsi bali kitu kinachoitwa karma, kitaingilia kati na kurekebisha the situation.

Kitu cha muhimu sana cha kufanya kwa sasa ni sisi Watanzania wote, katika umoja wetu, kwa imani kuwa ni Mungu ndio anaweka tawala za mataifa, Tanzania tumefanya uchaguzi mkuu huru na wa haki, Magufuli ndiye ameshinda kihaki na kihalali, then Magufuli ndio chaguo la Mungu kwa Tanzania, akitenda kinyume cha Mungu ni Bwana ndie ameleta na Bwana ndie atatwa, na Jina Lake Lihimidiwe !.

Hivyo natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli kwa taifa lao na wenye mapenzi ya kweli na taifa hili, kumuombea tuu Magufuli kwa Mungu, tena kumuombea very seriously, maadamu ni Mungu ndiye aliyetupa Magufuli, then angalau Mungu huyu huyu amfanye kuwa ni a benevolent one ili huo udikiteta wake ulisaidie taifa letu kusonga mbele kiuchumi, kimaendeleo na kiustawi wa jamii japo is at a price of dead democracy!, vinginevyo akiwa the real one, tumekwisha!, tutajuta, mbele ya safari kutakuja kuwa na vilio na kusaga meno!, ila mwisho wa siku ni Mungu atatwaa, watu watapita, lakini Tanzania itabaki.

Jakaya Kikwete ukiondoa mambo yake ya uswahili swahili, alikuwa ni mtu wa watu, ni mtu mwenye huruma sana iliyopitiliza kiasi cha kutafsiriwa kuwa Kikwete alikuwa ni Rais dhaifu, hivyo CCM ya Kikwete ilikuwa ni CCM dhaifu! hivyo Kikwete alibezwa, alitukanwa, na kuifanywa CCM, ni CCM ya mchezo mchezo, lakini CCM ya Magufuli itakuwa sio CCM ya mchezo mchezo, au CCM ya huruma huruma, itakuwa hakuna mchezo wala mswalie Mtume, hii ni CCM ya hapa kazi tuu!, CCM imara ni kitu hatari sana kwa majaaliwa ya upinzani!.

Upinzani Tanzania umeweza kushamiri kutokana na CCM lege lege, hivyo Magufuli akijenga CCM imara, huu upinzani lege lege uliopo nchini Tanzania hivi sasa, mwisho wake utakuwa ni 2020, Tanzania tunarudi kule kule kwenye nchi ya chama kimoja!. Ndio maana nimesema 2020 hakuna uchaguzi wa vyama vingi kwa rais na wabunge, kutafanyika tuu igizo la uchaguzi wa vyama vingi, lakini uchaguzi wenyewe haswa ni uchaguzi wa chama kimoja.

Kwenye uzi wangu huu,
Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour!, nilimzungumzia JK kuwa sifa kubwa iliyomfanya CCM impitishe ni cheko na bashasha zake!, hivyo JK tumemchekea, tumemdhihaki, tumembeza, tumemkejeli, hadi kumchezea sharubu kama babu na wajukuu zake huku yeye akicheka tuu na kuyaacha yapite. Lakini kwa Magufuli, sijui kama kutakuwepo kuchekacheka au kuchekeana, kubezana na kuchezeana, na kubembelezana, kwa Magufuli ni mambo serious kwa kwenda mbele na hakuna mchezo mchezo, ni kazi tuu!.

Wajameni japo kwa sasa naongea kama utani au mzaha, lakini hili ni angalizo muhimu sana kwa majaaliwa ya freedom of expression, freedom of speech, na freedom of press ya uhuru huu usio na mipaka tulionao sasa nchini mwetu, tukiwemo sisi humu jf, tulio enjoy wakati wa Kikwete, lakini mbele ya unpredictable dictator kama Magufuli, kiukweli kabisa huko tuendako, kama akiwa ni Magufuli yule yule tuliyemfahamu sisi, na kama hatabadilika, then ni mashaka matupu!, salama yetu hata sisi jf pia ni ili ku survive, inatibidi nasi tumjoin him kwa kumsifu kwa nyimbo na mapambio, vinginevyo....

Thanks God, mimi ni mmoja wa wana jf wachache, waliopata priviledge ya kujua huyu Magufuli aliibukia wapi na ilikuwaje kuwaje hadi yeye akawa ndie akawa mgombea wa CCM na sababu ni zipi zilifanya awe ni yeye. Ukilisoma bandiko hili ukazijua sababu zilizosababisha akawa Magufuli, labda utanielewa nazungumzia nini!.
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli!

Hivyo kwa nature na hulka ya udikiteta wa Magufuli, let's hope, kuwa zile sababu zilizopelekea kuwa mgombea wa urais wa CCM ndizo pekee (the ones and only) zitakazo weza kumcheck and balance him in between being a real dictator and a benevolent dictator vinginevyo hata hao CCM wanaoshangilia ushindi kwa sasa, akitokea kuwa a real one, hata CCM wenyewe nao pia watakuja kujuta!, therefore, to be on a safe side, it's better if you can't beat them, just join them, to be on a safe side!.

Wapinzani wote wakiwemo wana Chadema, wana UKAWA, na Watanzania wenzangu kwa ujumla, najua wengi wenu mlimtaka Lowassa, mmemkosa kwasababu Mungu hakumpangia!, na badala yake Mungu amempangia Magufuli, hivyo natoa wito wa "If you can't get what you want, just take what you get!", ukikosa ulichotaka wewe, then pokea ulichopewa na Mungu!, Magufuli ni chaguo la Mungu kwa Tanzania, tumkubali Magufuli kwa moyo mkunjufu, hivyo hivyo alivyo na udikiteta wake, tumpokee na kumpatia kila aina ya ushirikiano wote unaohitajika kumuwezesha kuiongoza vema nchi yetu Tanzania yetu. Tanzania sio nchi ya Magufuli wala Tanzania sio mali ya CCM, Tanzania ni ya Watanzania wote, ni nchi yetu sote, hivyo it can be done kama kila mmoja wetu will play his part!.

Sio tumjoin Magufuli kwa sababu sasa ndio tunampenda hivyo tumemkubali, no way, tumjoin Magufuli kwa kumkubali ndie the only one rais tuliyepatiwa na Mungu, hivyo we have duty and a responsibility to join him kwa lazima, tutake tusitake, tupende tusipende, yeye ndie rais wetu hivyo we have to join him and support him because we have to!.

Kwa kuweka tuu kumbukumbu sawa, hata mwaka 2010 Chadema waliposhindwa, walisusia matokeo walijidai kunsusa na kujidai hawamtambui JK, lakini hatima yake ilikuja kuwa hivi

Chadema Yakubali Yaishe! Yamtambua Rais!, Yampongeza!

Bandiko hili liliwaudhi sana Chadema humu jf, Mwana JF, Regia Mtema (RIP) akanitaka niombe radhi
Pasco Tuombe radhi CHADEMA-Umemwelewa Vibaya ....

Radhi iliombwa
Nawaomba radhi wana CHADEMA, nilimwelewa vibaya ...

This same, same scenario inataka kujirudia kwa Chadema na Ukawa kujidai kutaka kumsusia Magufuli!. Kuna vitu mtu unaweza kususa na kuna vitu huwezi kususa!,kwa hata 2010 Chadema walisusa lakini tukawashuhudia makamanda wakifakamia chai, juice na vitafunwa vya ikulu, huku meno 32 nje kwa vicheko, hivyo hata awamu hii ya Magufuli, msije kushangaa Mbowe akiwaongoza tena makamanda, akiwemo Lowassa kubisha hodi ikulu sio tuu kwenda kumpongeza rais Magufuli, bali mtashuhudia makamanda maarufu ambao waliaminiwa sana na upinzani, wakiviacha vyama vyao na kujiunga CCM kumfuata Magufuli, japo wote wanatoa visingizio na kudai wanamfuata Magufuli kwa sababu wanampenda na kumkubali sana, hivyo wanajiunga CCM kuunga mkono juhudi zake, lakini amini usiamini sio wote, watajiunga CCM kwa sababu wanamkubali rais Magufuli au wanajiunga CCM ili kuunga mkono juhudi, wengine watamfuata Magufuli huko CCM, kwa sababu, hawana jinsi, they have too!.

Paskali
Jifunze na upende kuheshimu uamuzi wa watu, usione fahari kuwaamulia ukipendacho wewe.
 
Sikatai usemacho, nasema kuendelea kuedit mabandiko yako ili kuendana na matukio ya wakati huo ili ionekane ulisema kitu hicho hicho na kinatokea, ni utapeli wa mchana kweupe.
Huyu mtu ni tatizo, juzi tu alitutangazia akina Mdee watahudhuria mkutsno Moshi na kurudishwa Chadema, akatoa neno la dharau dhidi ya Chadema, eti waache kushupaza shingo!
 
Sikatai usemacho, nasema kuendelea kuedit mabandiko yako ili kuendana na matukio ya wakati huo ili ionekane ulisema kitu hicho hicho na kinatokea, ni utapeli wa mchana kweupe.
Mkuu Tindo, huku sio kunitendea haki as if mimi ni tapeli!. Sio na edit ili ionekane nilisema kitu hicho na kikatokea bali nafanya update ya nilisema nini na kikatokea nini!.

Wakati naandika mwanzo huwa kuna details huwa nazi mention tuu lakini siziweki in details, tukio likiisha tokea ndipo naweka ile detailed.

Mfano kwenye bandiko hili Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... nilisema sauti ile imenieleza na sababu ni kwanini Ndugai japo angetamani aendelee lakini yataendelea, hizo sababu sikuzisema.

Hata katika bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nimeelewa sababu ni kwanini Mama ampishe mtu mwingine, ila sababu hizo sijazisema hivyo ikitokea kweli hiyo 2025, nitakumbusha nilisema nini na lini, na nini kimetokea na hapo ndipo nitaweka na updates ya sababu.

Hata bandiko hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, lakini sikuzisema!.

Hii ya kupokea taarifa na kutozisema pia nimetoa darasa humu!. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Mfano hai ni kulitokea raia mmoja wa nchi ya jirani, akamchukua dada yetu na kumtoroshea kwao, huko akamzalisha watoto wawili wa kwanza ni wa kike na kidume, wakashindwana dada na wanae wakarudi nchini dada akiwa na umri wa miaka 6 kidume miaka 4, wakarejea nchini na dada yetu na wanaye wakarejea kwa wazazi wao.

Yule mama akaposwa na mchumba mwingine, (kuna wanaume wa kabila fulani wanaoongoza kwa kupenda, akipenda, amependa, haijalishi mwanamke amezalishwa mara ngapi) akaolewa ikabidi Dada na katoto wabaki kwa babu yake na kazi ya wa kike ni jikoni wa kiuke ni kuchunga mbuzi!.

Mama kwenye ndoa mpya mambo safi lakini akawa hana amani na watoto wake wale wawili kule kwa babu yao. Akamweleza mumewe, mume akamkubalia, ndipo mtoto wa kiume akachukuliwa na kuandikishwa Shule kwa jina la Baba wa kufikia na ndio akawa Mtanzania!. Baadae akaja kuwa kiongozi!. Ukapata info kama hizi, utazi disclose?. Watu tuna info humu msituone tunanyamaza, ni tunatanguliza maslahi ya taifa.
P
 
Mkuu Tindo, huku sio kunitendea haki as if mimi ni tapeli!. Sio na edit ili ionekane nilisema kitu hicho na kikatokea bali nafanya update ya nilisema nini na kikatokea nini!.

Wakati naandika mwanzo huwa kuna details huwa nazi mention tuu lakini siziweki in details, tukio likiisha tokea ndipo naweka ile detailed.

Mfano kwenye bandiko hili Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... nilisema sauti ile imenieleza na sababu ni kwanini Ndugai japo angetamani aendelee lakini yataendelea, hizo sababu sikuzisema.

Hata katika bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nimeelewa sababu ni kwanini Mama ampishe mtu mwingine, ila sababu hizo sijazisema hivyo ikitokea kweli hiyo 2025, nitakumbusha nilisema nini na lini, na nini kimetokea na hapo ndipo nitaweka na updates ya sababu.

Hata bandiko hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, lakini sikuzisema!.

Hii ya kupokea taarifa na kutozisema pia nimetoa darasa humu!. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Mfano hai ni kulitokea raia mmoja wa nchi ya jirani, akamchukua dada yetu na kumtoroshea kwao, huko akamzalisha watoto wawili wa kwanza ni wa kike na kidume, wakashindwana dada na wanae wakarudi nchini dada akiwa na umri wa miaka 6 kidume miaka 4, wakarejea nchini na dada yetu na wanaye wakarejea kwa wazazi wao.

Yule mama akaposwa na mchumba mwingine, (kuna wanaume wa kabila fulani wanaoongoza kwa kupenda, akipenda, amependa, haijalishi mwanamke amezalishwa mara ngapi) akaolewa ikabidi Dada na katoto wabaki kwa babu yake na kazi ya wa kike ni jikoni wa kiuke ni kuchunga mbuzi!.

Mama kwenye ndoa mpya mambo safi lakini akawa hana amani na watoto wake wale wawili kule kwa babu yao. Akamweleza mumewe, mume akamkubalia, ndipo mtoto wa kiume akachukuliwa na kuandikishwa Shule kwa jina la Baba wa kufikia na ndio akawa Mtanzania!. Baadae akaja kuwa kiongozi!. Ukapata info kama hizi, utazi disclose?. Watu tuna info humu msituone tunanyamaza, ni tunatanguliza maslahi ya taifa.
P
Sasa Paskali huu unabii ulirithishwa na nani! Haipendezi kutuaminisha wewe ni nabii, jiweke kwenye kundi Ietu, mbona unabii wako kwa kina Mdee haukutimia japo endapo ikaja kutokea katika mazinvira ya wakati huo nawe utkuja na kuupdate! Hicho ndicho huyo anasema ni utapeli wa kisiasa siyo ule wa hela hiyo.
 
Huyu mtu ni tatizo, juzi tu alitutangazia akina Mdee watahudhuria mkutsno Moshi na kurudishwa Chadema, akatoa neno la dharau dhidi ya Chadema, eti waache kushupaza shingo!
Mkuu elvischirwa "kushupaza shingo" sio neno la dharau ni tamathali za semi kwa watu wanaojifanya vidume, ili mtu uweze kupenya kwenye kitundu kidogo, lazima utangulize kichwa huku umelegeza shingo, na ufanye vivyo hivyo wakati wa kutoka, ukiisha ingiza kichwa hutakiwi kushupaza shingo!.
Chedema ilijifanya kushupaza shingo kuwa hawautambui uchaguzi na kuuita uchafuzi, hawayatambui matokeo, hawamtambui mshindi, hawalitambui Bunge na hawahitaji ruzuku!.

Walipopewa viti 19 vya ubunge wa viti maalum, wakagoma hawavihitaji!. Watu wanaojua kuangazia fursa, wakachangamkia fursa!.

Barua ya utambulisho wa wabunge hao kutoka Chadema ni barua bonafide genuine na imesainiwa na office bearers wenye competent jurisdiction ya kuwa signatories.

Hivyo barua ambayo NEC wamepokea ni genuine letter na kuwapa certificates za uteuzi kwenda Bungeni, hivyo Bunge limepokea uteuzi halali wa NEC.

Sasa angalia ushauri wangu kwao CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao sasa angalia na ufuatilie kwa makini, it's only a matter of time kabla hawajawasamehe na kesi kufutwa.

Matumizi ya a kangaroo court hayana maslahi kwa Chadema!. Kama katiba ya Chadema ipo na imeelekeza taratibu zote za nidhamu, kwanini hazifuatwi?.

P
 
Mkuu elvischirwa "kushupaza shingo" sio neno la dharau ni tamathali za semi kwa watu wanaojifanya vidume, ili mtu uweze kupenya kwenye kitundu kidogo, lazima utangulize kichwa huku umelegeza shingo, na ufanye vivyo hivyo wakati wa kutoka, ukiisha ingiza kichwa hutakiwi kushupaza shingo!.
Chedema ilijifanya kushupaza shingo kuwa hawautambui uchaguzi na kuuita uchafuzi, hawayatambui matokeo, hawamtambui mshindi, hawalitambui Bunge na hawahitaji ruzuku!.

Walipopewa viti 19 vya ubunge wa viti maalum, wakagoma hawavihitaji!. Watu wanaojua kuangazia fursa, wakachangamkia fursa!.

Barua ya utambulisho wa wabunge hao kutoka Chadema ni barua bonafide genuine na imesainiwa na office bearers wenye competent jurisdiction ya kuwa signatories.

Hivyo barua ambayo NEC wamepokea ni genuine letter na kuwapa certificates za uteuzi kwenda Bungeni, hivyo Bunge limepokea uteuzi halali wa NEC.

Sasa angalia ushauri wangu kwao CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao sasa angalia na ufuatilie kwa makini, it's only a matter of time kabla hawajawasamehe na kesi kufutwa.

Matumizi ya a kangaroo court hayana maslahi kwa Chadema!. Kama katiba ya Chadema ipo na imeelekeza taratibu zote za nidhamu, kwanini hazifuatwi?.

P
Unaposema "wanaojifanya vidume" haudhani ni dharau! "Kujifanya" si kitu halisi na "kidume" si kitu halisi bali vyote ni viigizo havina sifa ya uhalisia, kama unaongea lugha ya kisheria huko siwezi kukukatalia kwani siijui.
 
Mkuu Tindo, huku sio kunitendea haki as if mimi ni tapeli!. Sio na edit ili ionekane nilisema kitu hicho na kikatokea bali nafanya update ya nilisema nini na kikatokea nini!.

Wakati naandika mwanzo huwa kuna details huwa nazi mention tuu lakini siziweki in details, tukio likiisha tokea ndipo naweka ile detailed.

Mfano kwenye bandiko hili Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... nilisema sauti ile imenieleza na sababu ni kwanini Ndugai japo angetamani aendelee lakini yataendelea, hizo sababu sikuzisema.

Hata katika bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke nimeelewa sababu ni kwanini Mama ampishe mtu mwingine, ila sababu hizo sijazisema hivyo ikitokea kweli hiyo 2025, nitakumbusha nilisema nini na lini, na nini kimetokea na hapo ndipo nitaweka na updates ya sababu.

Hata bandiko hili Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, lakini sikuzisema!.

Hii ya kupokea taarifa na kutozisema pia nimetoa darasa humu!. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Mfano hai ni kulitokea raia mmoja wa nchi ya jirani, akamchukua dada yetu na kumtoroshea kwao, huko akamzalisha watoto wawili wa kwanza ni wa kike na kidume, wakashindwana dada na wanae wakarudi nchini dada akiwa na umri wa miaka 6 kidume miaka 4, wakarejea nchini na dada yetu na wanaye wakarejea kwa wazazi wao.

Yule mama akaposwa na mchumba mwingine, (kuna wanaume wa kabila fulani wanaoongoza kwa kupenda, akipenda, amependa, haijalishi mwanamke amezalishwa mara ngapi) akaolewa ikabidi Dada na katoto wabaki kwa babu yake na kazi ya wa kike ni jikoni wa kiuke ni kuchunga mbuzi!.

Mama kwenye ndoa mpya mambo safi lakini akawa hana amani na watoto wake wale wawili kule kwa babu yao. Akamweleza mumewe, mume akamkubalia, ndipo mtoto wa kiume akachukuliwa na kuandikishwa Shule kwa jina la Baba wa kufikia na ndio akawa Mtanzania!. Baadae akaja kuwa kiongozi!. Ukapata info kama hizi, utazi disclose?. Watu tuna info humu msituone tunanyamaza, ni tunatanguliza maslahi ya taifa.
P

Naona umeleta story ndefu ili kuhamisha mantiki. Nilichosema kufanya editing kwenye bandiko la zamani kwa matukio yanayotokea sasa, lengo ni kufanya udanganyifu kuwa yote yanatokea sasa ulishayasema toka kitambo. Ni vyema ukaweka post yako kwenye tarehe husika kama updates, kuliko kuweka upadtes kwenye post hiyo hiyo kwa muda tofauti.

Hilo la dhalimu kuwa mtu wa nje linafahamika, na hata tabia zake zilidhihirisha hilo. Ajabu ulikuwa unampamba!
 
Sasa Paskali huu unabii ulirithishwa na nani! Haipendezi kutuaminisha wewe ni nabii,
Mimi sio nabii, mimi trends reader tuu ila humu JF tuna manabii wetu humu Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!
jiweke kwenye kundi Ietu, mbona unabii wako kwa kina Mdee haukutimia japo endapo ikaja kutokea
It's just a matter of time.
katika mazinvira ya wakati huo nawe utkuja na kuupdate!
Yes la kina Mdee likitimia nitakuja ku update

P
 
Back
Top Bottom