Kwa hiyo hata mambo mazuri apinge tuu!!??
Labda nikuambia kuwa kupinga ni kutokubaliana na suala husika kwa maslahi mapana ya taifa..
Kama mtu akipatia na kufanya vizuri unasema kakosea tambua kwamba siku akikosea ukimuambia kakosea hatotilia maanani
Ndio maana hamsikilizwi kwa upumbavu wa namna hii.
Nakubaliana na JPM aliposema ukiona mpinzani anakusifia rudi nyuma uangalie umekosea wapi....
Kweli JPM jembe aliyajua haya mapema