Me ni black, tena black yenyewe si masihara, but l love my colour, n l dont use those products. Niliwai uliza wachache wanaotumia hiyo kitu, wakanipa jibu kuwa kulight na kuchubua ni vitu viwili tofauti. Kulight mtu anaweza kubaki na rangi yake nyeusi but ikamng'arisha na kuwa na ngozi ya kuvutia though sina uhakika na hilo.