Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Amin alizikwa Saudia alipokuwa exile.........suala la kuzikwa na watu wengi sio tatizo mchonga mwenyewe kama Amin tu.......mnamuangalia Amin kama wa kwenye filamu mnazoziona.Believe me waganda wanamkumbuka Iddi Amin uliza,watu waliokufa kipindi cha Museven ni zaidi ya Amin na bado wanateketekea.you are now becoming old....! guy ugandans blame and throw stones at him....!
kumbuka waakati wa mazishi yake how many walishiriki halafu ndo umfananishe na MZEE WA MSASANI...?
amin kama alipendwa na waganda why alienda ishi EXILE...?