Idi Amin Dada: Mazuri na Mabaya ya utawala wake

you are now becoming old....! guy ugandans blame and throw stones at him....!
kumbuka waakati wa mazishi yake how many walishiriki halafu ndo umfananishe na MZEE WA MSASANI...?
amin kama alipendwa na waganda why alienda ishi EXILE...?
Amin alizikwa Saudia alipokuwa exile.........suala la kuzikwa na watu wengi sio tatizo mchonga mwenyewe kama Amin tu.......mnamuangalia Amin kama wa kwenye filamu mnazoziona.Believe me waganda wanamkumbuka Iddi Amin uliza,watu waliokufa kipindi cha Museven ni zaidi ya Amin na bado wanateketekea.
 
Watawala wote duniani waliokuwa na mapenzi mema na nchi zao wameishia kubatizwa majina na character za ajabu ajabu. Raia wao bado wanawakumbuka.

Adolf. Iddi Amin. Ghaddafi. Saddam nk
 
Nimeangalia sana documentary ya Idi Amin, kimsingi inaonekana kuwa hakuwa na sera yoyote ya kuendeleza nchi zaidi ya kuiangamiza. Utawala wake uliiyumbisha Uganda kwa kiasi kikubwa, na wanawake aliokuwa akiwapa madaraka wengi walikuwa ni vimada wake na sio kama alikuwa akifanya hivyo kwa sababu ya kuona umuhimu wao. Mpaka sasa sijaona kama kuna lolote ambalo mganda anaweza kujivunia kutokana na utawala wa Idi Amin, labda utupe mifano zaidi. Sijui kama kukifanya kiswahili kiwe lugha ya Black Americans ilikuwa idea nzuri na sijui maana yake ilikuwa nini. Yeye mwenyewe alikuwa anajifunza kiingereza kwa nguvu lakini hakufundisha kiswahili nchini mwake.
Achana na documentary.... hiztory are always written by winners...

Unajua km iddy amini ndo raisi aliyewah kupendwa kuliko rais yeyote nchini uganda mpaka leo??? Jaribu kukaa na waganda wakusimulie....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom