Idea ya Tangazo Kwaajili ya Kampuni ya YAS

Idea ya Tangazo Kwaajili ya Kampuni ya YAS

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2015
Posts
376
Reaction score
850
Habari wana JF
Jobless hapa wa muda mrefu. Hata hivyo nimekua niki-develop various skills ikiwemo audio production na beat making.

Hivi karibuni nimeandaa project (AUDIO) ya dakika 1 ambayo nimejiridhisha kuwa itafaa kama Tangazo la mtandao wa simu wa YAS.

Sijui utaratibu na sifahamu nitawafikiaje hawa jamaa lakini I hope wadau wao wapo humu na wataniona.

Email yangu:
moderncentury5@gmail.com
 
Unaweza kuniambia baadhi ya vitu? Mfano watu waliotumika ni halisi au katuni au AI generated? Afisa masoko ninamfaham na ninaweza kumwambia lakini kazi za mabango natangazaga humu hauombi, huenda ukapata koneksheni ya kuanzia.

Sasa hao Yas, Crdb na Airtel wanaotumia kampuni flani hiv kwenye ishu hizi. So sijui kama la kwako watachukua mana wahusika sio wao moja kwa moja wamezoa tender
 
Unaweza kuniambia baadhi ya vitu? Mfano watu waliotumika ni halisi au katuni au AI generated? Afisa masoko ninamfaham na ninaweza kumwambia lakini kazi za mabango natangazaga humu hauombi, huenda ukapata koneksheni ya kuanzia.

Sasa hao Yas, Crdb na Airtel wanaotumia kampuni flani hiv kwenye ishu hizi. So sijui kama la kwako watachukua mana wahusika sio wao moja kwa moja wamezoa tender
Wazo langu ni la Audio. Nimeandaa beat mwenyewe na lyrics za wimbo wa Tangazo husika so it's not AI based. It's my idea from the scratch.
 
Wazo langu ni la Audio. Nimeandaa beat mwenyewe na lyrics za wimbo wa Tangazo husika so it's not AI based. It's my idea from the scratch.
Its business, idea hiyo ni ya kipekee kias gani?. Nenda kaombe appointment na De×× ukikagua vizur linked in yupo kule
 
Back
Top Bottom