IDEA: Jinsi ya kutoka kimaisha kwa hali ya sasa

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,362
Kichwa cha habari kimejitosheleza,

Bila kupoteza muda mwenye idea mpya.Tunawezaje kutoka hapa tulipo kwa maana vyuma vyote vimekaza.

Serikalini kumebana.Mara posho hamna mara safari hamna huku mtaani biashara zimegoma.

Sasa tunawezaje kujinusuru na hii hali maana mvua zilikata tumeomba na kufunga mvua hizo zimekuja hadi zimeua watu huko Mpwapwa.

Sasa hii hali vipi?
 
Kichwa cha habari kimejitosheleza,

Bila kupoteza muda mwenye idea mpya.Tunawezaje kutoka hapa tulipo kwa maana vyuma vyote vimekaza.

Serikalini kumebana.Mara posho hamna mara safari hamna huku mtaani biashara zimegoma.

Sasa tunawezaje kujinusuru na hii hali maana mvua zilikata tumeomba na kufunga mvua hizo zimekuja hadi zimeua watu huko Mpwapwa.

Sasa hii hali vipi?
Wekeza Alliance in Motion Global ila kama upo serious na Biashara Nakuhakikishia ndani ya wiki moja unaweza tengeneza Two milions na uchafu..
 
Unaongelea safari hamna,posho hamna means wewe ni mtumishi tayari na una mshahara cha muhimu ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima ili ku survive mda huu usifikirie maendeleo utapata pressure bure muhimu familia ile tu
 
Sio DECI hii kweli? Hebu elezea vizuri
Mkuu hii ni tofauti sana na hizo kampuni ulizozitaja hii ni kampuni ambayo ukishaingia kwenye kampuni na ukajisajili unapewa akaunt yako maalumu na kazi yako itakuwa ni kutafuta au kuwashawishi watu wengine wawili ili waweze kujiunga kwenye kampuni na ukifanikiwa tayari utakuwa umeshajitengenezea pair maalumu ya kuweza kukulipa ela yako na inaendelea vilevile kwa wale uliowashawishi kufanya kazi ileile ili kuwashawishi watu wengine ili waweze kujiunga na mnyororo unaendelea hivyo hivyo hadi mwisho.

Kwa maelezo zaidi
Call or whasap no :0716-473786
 
Mkuu hii ni tofauti sana na hizo kampuni ulizozitaja hii ni kampuni ambayo ukishaingia kwenye kampuni na ukajisajili unapewa akaunt yako maalumu na kazi yako itakuwa ni kutafuta au kuwashawishi watu wengine wawili ili waweze kujiunga kwenye kampuni na ukifanikiwa tayari utakuwa umeshajitengenezea pair maalumu ya kuweza kukulipa ela yako na inaendelea vilevile kwa wale uliowashawishi kufanya kazi ileile ili kuwashawishi watu wengine ili waweze kujiunga na mnyororo unaendelea hivyo hivyo hadi mwisho.

Kwa maelezo zaidi
Call or whasap no :0716-473786
Bado hujaniokota jombaa
 
Mkuu hii ni tofauti sana na hizo kampuni ulizozitaja hii ni kampuni ambayo ukishaingia kwenye kampuni na ukajisajili unapewa akaunt yako maalumu na kazi yako itakuwa ni kutafuta au kuwashawishi watu wengine wawili ili waweze kujiunga kwenye kampuni na ukifanikiwa tayari utakuwa umeshajitengenezea pair maalumu ya kuweza kukulipa ela yako na inaendelea vilevile kwa wale uliowashawishi kufanya kazi ileile ili kuwashawishi watu wengine ili waweze kujiunga na mnyororo unaendelea hivyo hivyo hadi mwisho.

Kwa maelezo zaidi
Call or whasap no :0716-473786
Ha ha ha walewale kina forever, mnabadili majina tu
 
Ha ha ha walewale kina forever, mnabadili majina tu
Mkuu hamna haja ya kuwa na wasiwasi na kitu kilichoko wazi kabisa kama upo Dar njoo unakaribishwa uje ujionee jinsi huu mfumo unavyofanya kazi na ukiwa na tatizo unaweza kuuliza palepale karibu ujionee fursa na ukilizika ndo unaeza jiunga
Cheki watu tunavyopiga pesa

IMG-20170125-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom