junpyo
Member
- Feb 26, 2013
- 50
- 9
Jamani wana jimbo la kinondoni tusaidiane hapa, Hivi huyu mbunge wetu wa kinondoni kazi yake ni nini? Maana maadui ujinga umasikini na maradhi vinazidi kutanua mbawa katika jimbo letu alafu yeye anakula raha na sie tunabaki bila ya mwakilishi na mtetezi wa matatizo yetu