aisee good move.Kipa namba moja wa Simba na Timu ya Taifa Idd Pazi "Father" amejiunga Chadema. Alisema Chadema ndio Chama pekee kinaweza kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Source: Tz Daima
Mshikemshike ndege tunduni , sisi wajanja tumekimbia.....Juma Naturewajanja wanahamia
Kipa namba moja wa Simba na Timu ya Taifa Idd Pazi "Father" amejiunga Chadema. Alisema Chadema ndio Chama pekee kinaweza kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Source: Tz Daima
]soka imemshinda [/B]ameamua kujaribu siasa, huko ndo anaenda kufa kabisa
soka imemshinda ameamua kujaribu siasa, huko ndo anaenda kufa kabisa
Kamfuata Leodgar Tenga...
leodgar tenga ni kada maarufu la magamba,kwenye mechi ya stars na brazil alimwaga vipeperushi vya ccm uwanjani