mangi eddy
Member
- Nov 25, 2013
- 48
- 12
Tunakubali kuna wizi na upotevu mkubwa wa maji lakini wanatuhumu hata mahoteli yasiyoiba maji na kkulazimishia kulipa wizi bila kupata ushahidi wa kuonyesha bomba lililopeleka maji hotelini (by pass) ni uonevu mkubwa kwa wengi