Kaka Mkubwa
Senior Member
- Oct 10, 2008
- 154
- 10
wanawake ni wengi mno, yani kwa mahesabu ya harakaharaka duniani mwanamme mmoja anamiliki wanawake watatu!
ni kweli[/QUOTE Ni kweli lipi sasa? Maana hapo kuna mambo mawili?
wanawake ni wengi mno, yani kwa mahesabu ya harakaharaka duniani mwanamme mmoja anamiliki wanawake watatu!
Enheeeee haya ndiyo niliyokuwa nayataka. Bravo mkulu.This is over exaggeration. look the figures below
Sex ratio: at birth: 1.07 male(s)/female
under 15 years: 1.06 male(s)/female
15-64 years: 1.02 male(s)/female
65 years and over: 0.78 male(s)/female
total population: 1.01 male(s)/female (2009 est.)
Definition: This entry includes the number of males for each female in five age groups - at birth, under 15 years, 15-64 years, 65 years and over, and for the total population. Sex ratio at birth has recently emerged as an indicator of certain kinds of sex discrimination in some countries. For instance, high sex ratios at birth in some Asian countries are now attributed to sex-selective abortion and infanticide due to a strong preference for sons. This will affect future marriage patterns and fertility patterns. Eventually, it could cause unrest among young adult males who are unable to find partners.
Source: CIA World Factbook - Unless otherwise noted, information in this page is accurate as of September 17, 2009
source http://www.indexmundi.com/world/sex_ratio.html
Baada ya kupata jibu sahihi ungependa kuongeza au kupunguza wanawake ulionao kutegemea na jibu utakalokubaliana nalo........?????
Kwani unadhani Mwanamke mmoja ana wanaume wangapi? Isiwe kwavile wao wanajificha kwakuwa kwao kuwa na wanaume wengi ni aibu zaidi? Mimi nafahamu kuwa wanawake nao wanawanaume wengi tu, hasa hawa mabinti wakisasa yani hawajatulia kabisaaaaaa!!!!!!!!!
sikumaanisha hivyo mkuu!, watakuja wanaharakati hapa iwe balaaa.
nilimaanisha gender ratio ya wanawake kwa wanaume na si vinginevyo
1. Hivi mbona nchi za Kiislamu mwanamme mmoja huoa wake hata wanne..na bado akina mama wengine wanabaki?
2. Halafu basi- akina mama kuishi miaka mingi (2-8)..zaidi ya kina baba!
1. Hivi mbona nchi za Kiislamu mwanamme mmoja huoa wake hata wanne..na bado akina mama wengine wanabaki?
2. Halafu basi- akina mama kuishi miaka mingi (2-8)..zaidi ya kina baba!
ni kweli[/QUOTE Ni kweli lipi sasa? Maana hapo kuna mambo mawili?
ni kweli wanawake tupo wengi, maan unakuta mwanume 1 ana wanawake 5
Kwani unadhani Mwanamke mmoja ana wanaume wangapi? Isiwe kwavile wao wanajificha kwakuwa kwao kuwa na wanaume wengi ni aibu zaidi? Mimi nafahamu kuwa wanawake nao wanawanaume wengi tu, hasa hawa mabinti wakisasa yani hawajatulia kabisaaaaaa!!!!!!!!!