Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Kuna kila sababu ya kujiuliza sababu kubwa ya kuongezeka kwa idadi kubwa sana ya wazee kwenye vyama vya upinzani ni kubwa inakaribia kuwazidi vijana ambao inasemekana kuwa vyama vya upinzani ni kimbilio lao.Kila kukicha unasikia nasubiri uchaguzi 2015 nikapige kura,safari hii mpaka kielewekeKila kijana unayekutana naye njiani ndio msemo wake.Ukimuuliza
.ni CHADEMA TUU
..hakuna kingine.
Chama cha ccm hakiwezi tena kuwatetea vijana wa nchi hii,na wazee ndio wameshasahaulika kabisa hata wanapostaafu hawapati mafao yao kwa wakati,ukiachilia mbali matibabu yanayoahidiwa kila siku ya bure kwa wazee ni kama changa la macho (msemo wa waheshimiwa mjengoni)
Asilimia kubwa ya vijana wa Tanzania wanahamia siasa za vyama vingi.hii ni ishara kuwa chama kikongwe kimeshindwa kuhimili mikikimikiki ya hawa vijana,na wanapopewa nafasi kwenye chama kikongwe wanaambulia kutukanwa kutokana na sababu nyingi ikiwamo umaskini wa watanzania na rasilimali nyingi kuchukuliwa na wawekezaji kutoka nje.
Utafiti huu ni wangu binafsi na hautachukuliwa kuwa ni utafiti halali wa taasisi au jumuiya yoyote.hakuna ushahidi wa moja kwa moja bali ni nadharia iliyojengeka ndani ya imani yangu kuwa kila kijana wa Ki-Tanzania mwenye akili Timamu na mwenye kuipenda nchi yake ,ardhi yake na mazingira yake basi anajiunga na CHADEMA.
SOURCE:
MIMI MWENYEWE.KOMREDI.
Chama cha ccm hakiwezi tena kuwatetea vijana wa nchi hii,na wazee ndio wameshasahaulika kabisa hata wanapostaafu hawapati mafao yao kwa wakati,ukiachilia mbali matibabu yanayoahidiwa kila siku ya bure kwa wazee ni kama changa la macho (msemo wa waheshimiwa mjengoni)
Asilimia kubwa ya vijana wa Tanzania wanahamia siasa za vyama vingi.hii ni ishara kuwa chama kikongwe kimeshindwa kuhimili mikikimikiki ya hawa vijana,na wanapopewa nafasi kwenye chama kikongwe wanaambulia kutukanwa kutokana na sababu nyingi ikiwamo umaskini wa watanzania na rasilimali nyingi kuchukuliwa na wawekezaji kutoka nje.
Utafiti huu ni wangu binafsi na hautachukuliwa kuwa ni utafiti halali wa taasisi au jumuiya yoyote.hakuna ushahidi wa moja kwa moja bali ni nadharia iliyojengeka ndani ya imani yangu kuwa kila kijana wa Ki-Tanzania mwenye akili Timamu na mwenye kuipenda nchi yake ,ardhi yake na mazingira yake basi anajiunga na CHADEMA.
SOURCE:
MIMI MWENYEWE.KOMREDI.