Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Tafadhali mwenye data kamili atupashe sisi tulioko vijijini idadi ya wanachama mpaka sasa imefikia wanachama wangapi mpaka sasa.
Tafadhali mwenye data kamili atupashe sisi tulioko vijijini idadi ya wanachama mpaka sasa imefikia wanachama wangapi mpaka sasa.
Hadi mwisho wa maandamano ya kanda ya ziwa, kulikuwa na wanachama hai wa CDM wapatao milion 7, hao ni wale wenye kadi. Na inasemekana zaidi ya watanzania milioni 14 wanaiunga CDM bila kumumunya maneno sehemu yeyote ile, hii ni kwa mujibu wa habari za chini ya carpet, changanya na kwako utapata chini kidogo au juu kidogo.
Kumbe kuna uwezekano wa kuichukua hii nchi 2015.
Mkuu ndoto hiyo bana vyama vya ukabila + udini haviwezi kuichukua hii nchi vitatuletea vita bure aisee
CCM mpaka sasa wana wanachama milioni 6.3 , kwa CDM wao wako mjini tu mkuu hawazidi milioni 2. Hizo ndizo data na zenye uhakika !
CCM mpaka sasa wana wanachama milioni 6.3 , kwa CDM wao wako mjini tu mkuu hawazidi milioni 2. Hizo ndizo data na zenye uhakika !
Upo kitengo gani pale tume ya taifa ya takwimu? Hebu tujuze ni asilimia ngapi ya watz wenye imani na (mkweree)?
Mkuu ndoto hiyo bana vyama vya ukabila + udini haviwezi kuichukua hii nchi vitatuletea vita bure aisee
Mkuu ndoto hiyo bana vyama vya ukabila + udini haviwezi kuichukua hii nchi vitatuletea vita bure aisee
Maujanja mengine bana ukitoa E ya mbele inakuletea ******
Tafadhali mwenye data kamili atupashe sisi tulioko vijijini idadi ya wanachama mpaka sasa imefikia wanachama wangapi mpaka sasa.
Chukua idadi ya wanaoshiriki maandamano zidisha mara 0.0005 unapata idadi ya wanachama!