Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Mkuuu janga kubwaw hilooo mabodaboda wote wa tbovu kawee kwa zena afrikana n wala ugoro mbayq wanaonja smart gin wanapitishia plan hapoo kaa mbali na pkkzao akitoka unaweza hisi dreamlliner imenyanyuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
wakati mwingine tunalalamika hiiizii pombe jaman nilitokea znz majuzi kati pale darajani sijui wameamua kutelekezwa wale vijana ama lah

YYaanmateja kama woteee njenjeee wanaenda sehemu na wanajidunga vila shoboooo..wanauza kwa kiziboo cha soda mzigooo

Nkasema tukilia na hizi pombe kuna ambaoo wanakaribia kufa wakiona watoto zaoo na madawa za kulevya znz na kwingjnekoo

Allah atusaidie tu
Ila unga ni hatari sana kushinda pombe.
 
Taifa limekwisha
1000011205.jpg
 
Hebu tuache mzee fanya yako, tuache tuendelea kulewa tu, tusipolewa akili zikaturudia maccm wote tunaweza kuchinja mchana kweupe.
Kunywa mzee mwakani upandikizaji wa ini unaanza bongo ila andaa pesa ya upasuaji usijisahau
 
Serikali wanaruhusu kampuni za pombe kupata kodi tu ila hawajali effects zake.
 
Me nikisikia harufu tu ya sigara naondoka hilo eneo, then unamkuta mwanamke ndo analala na hiyo harufu Kila cku duh!! Mungu watie nguvu wanawake wavumilivu sana yaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii wapewe maua yao.
 
Me nikisikia harufu tu ya sigara naondoka hilo eneo, then unamkuta mwanamke ndo analala na hiyo harufu Kila cku duh!! Mungu watie nguvu wanawake wavumilivu sana yaan
Wao awajali kikubwa Ni Kuendelea
 
Serikali wanaruhusu kampuni za pombe kupata kodi tu ila hawajali effects zake.
Pia ninailaumu serikali. Tatizo sio pombe kuuzwa ndani ya ardhi ya 255. Pombe ilikuwepo tangu 80's. Tatizo liliibuka baada ya serikali kuruhusu hivi vikampuni vya kuuza gongo kwenye vichupa. Utu tupombe twa bei chee ndio kumekuja n amasa ya ulevi. Inasikitisha kuwaona vijana wenzangu wamegeuka mazombi. Saivi hadi kwa 500 mtu anapata shot, buku nusu, 2000 ndio kichupa kizima. Sitozitaja parasite kampuni zinazonufaika na hii biashara, ila serikali inatakiwa kujua kuwa faida inayotokana na uuzwaji wa hizo pombe ni ndogo sana tukizingatia hasara taifa inayoipata kutokana na hizi biashara. Saivi ni almost 6/10 ya vijana wanaotoka kwenye familia ya hali ya chini kiuchumi wanatumia hizi pombe. Hata kama serikali yetu inaona inaongoza wajinga ndio maana inatupeleka hobela hobela tu, ila inatakiwa kujitathmini pale wajinga wanapoanza kunong'ona kuwa viongozi wetu wengine ni wajinga kwa kuruhusu vitu vya kishenzi chini ya uongozi wao. Trust me ipo siku. Nyinyi viongozi mnaojiona invisible kwa kuruhusu taifa kuumia namna hii, one day we will hold you all accountable. Halas.
 
Well said mkuu halii hii nimeikutaa moshii yaaan kichwa kina afyaaa kuanzia mabegaa kushuka chini siohali

Kibaya ykisema ngoja niwape kvant waenjoy yaaan kati ya 10 ...3 mpaka 4 wakiinuka wameshaharisha hapo mountain unazima na simu kwa mda hnakimbia sijuiii zile pombe zinakataaa na spika zile ama wakilewa wanaliwagwa??l(sinalakusema)
Inahuzunisha kakweli tukienda hivi miaka mingine 4 sijui hali itakuwaje nguvu kazi imegeuka kuwa mazombie
 
Back
Top Bottom