Idadi ya tembo na ujangili

Idadi ya tembo na ujangili

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,297
Reaction score
18,046
Wadau naomba mwenye takwimu atujuze. Kipindi Mkapa anaingia madarakani Tz ilikuwa na tembo wangapi? Je wakati anaondoka na Kikwete kuingia, walikuwa wangapi? Sasa tunaambiwa wamebaki 13,000 wakati miaka ya nyuma walifikia zaidi ya laki moja.
Mjadala mwingine utatokana na takwimu hizo.
 
13,000 ukitoa hao katibu mkuu aliouwa kusupply wachina majuzi wanabaki wangapi? Tembo saa hizi sidhani hata kama wanafika 250.
 
Tz ipo mifukoni mwao kazi kwetu wananchi kuokoa kwa ajili ya kizazi kijacho
 
Nyie hangaikeni kutafuta thamani ya X wakati equation ina X na Y where X=TEMBO and Y=MAJANGILI na kanuni inasema X IS INVERSELY PROPORTIONAL TO Y!haya tafuteni VALUE ya X lakini hamtaisolve equation hadi mjue na VALUE ya Y ili muone kipi kina VALUE kubwa(ombeni Y ndo iwe ndogo)!
 
Back
Top Bottom