Idadi ya Mataifa yaliyoamua kusimamisha misaada kwa Palestina yazidi kuongezeka

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,559
41,075
Kufuatia taarifa kuwa UNRWA, taasisi ya Umoja wa Mataifa inayowasaidia wakimbizi wa Palestina, kushiriki kwenye shambulio la Hamas dhidi ya Israel, idadi ya mataifa yaliyoamua kusimamisha misaada kwa UNRWA, inazidi kuongezeka.

Nchi ya kwanza kutangaza kusimamisha msaada kwa UNRWA ilikuwa USA. Na ndani ya masaa 24, mataifa mengine, Canada, Australia, Italy na Uingereza, nayo yametangaza kusitisha michango yao kwa UNRWA. Haya, tayari ni mataifa 5, na huenda idadi ya mataifa yatakayofuata hatua ya mataifa haya, ikazidi kuongezeka.

Wakati huo huo, mkurugenzi mkuu wa UNRWA, ameanza kuchukua hatua ya kuwafuta kazi wafanyakazi ambao tayari wametajwa kushiriki kwenye shambulio hilo la kigaidi la Hamas dhidi ya Israel.

Hii inazidi kudhirisha tuhuma za awali kuwa misaada mingi ambayo imekuwa ikitolewa na nchi za Magharibi kuwasiaidia wananchi wa Palestina, Hamas imekuwa ikiitumia misaada hiyo kujenga nguvu za kuishambulia Israel badala ya kuwapa unafuu wa maisha Wapalestina.

Hali hii itawafanya Wapalestina kukumbana na magumu mengi hata baada ya vita kwa sababu bila shaka misaada ya nchi za Magharibi itapungua sana, huku ikijulikana wazi namna mataifa ya Kiarabu yalivyo na unafiki mkubwa. Wanajifanya wanawapenda wapalestina, lakini pamoja na utajiri wao utokanao na mafuta, mataifa hayo huwa yapo nyuma sana kuwasaidia Waarabu wenzao.

Ule msemo wa akufaaye wakati wa dhiki ndiyo rafiki, unadhihirisha wazi kuwa Waarabu siyo marafiki wa kweli wa Waarabu wa Palestina.



UK. It is the fifth country to announce a suspension in funding to UNRWA in 24 ho announcements from the U.S., Canada, Australia and Italy.


UPDATE:
Mpaka sasa, mataifa yaliyoungana na US, Canada, Australia na Italy, ni pamoja na UK, Finland, Germany, Switzerland, Japan, European Union, France, Austria, Iceland, Romania, Estonia na Netherlands.


"Switzerland has zero tolerance for any support for terrorism and any incitement to hatred or violence," the ministry wrote, adding that the country "expects the same" from its partners."
 
Kwanini wawe obsessed na misaada ya West wakati wapo waarabu ambao ni jamii yao in terms of race, culture na imani?

Saud Arabia ni moja ya nchi yenye utajiri mkubwa sana. Ina mafuta mengi lakini pia inakusanya pesa nyingi sana kila mwaka kwenye zile hijjah

Kwa uwezo wa Saud Arabia wala hazikuhitajika nchi 5 kuweza kui fund Palestina katika kipindi hiki cha vita.

Sasa sijajua kwanini Saud Arabia na mataifa mengine ya kiarabu hayatoi sapoti kwa ndugu yao kiasi cha Palestina waanze kutaabika kuwabembeleza West waendelee kutoa misaada waliyokuwa wanatoa mwanzo?
 
Kwanini wawe obsessed na misaada ya West wakati wapo waarabu ambao ni jamii yao in terms of race, culture na imani?

Saud Arabia ni moja ya nchi yenye utajiri mkubwa sana. Ina mafuta mengi lakini pia inakusanya pesa nyingi sana kila mwaka kwenye zile hijjah

Kwa uwezo wa Saud Arabia wala hazikuhitajika nchi 5 kuweza kui fund Palestina katika kipindi hiki cha vita.

Sasa sijajua kwanini Saud Arabia na mataifa mengine ya kiarabu hayatoi sapoti kwa ndugu yao kiasi cha Palestina waanze kutaabika kuwabembeleza West waendelee kutoa misaada waliyokuwa wanatoa mwanzo?
Shia vs Sunni hapa ilikuwa kosa kwa hamas kuwakumbatia mashia ya Iran na kuwaacha wasuni wa Saudis

USSR
 
Kufuatia taarifa kuwa UNRWA, taasisi ya Umoja wa Mataifa inayowasaidia wakimbizi wa Palestina, kushiriki kwenye shambulio la Hamas dhidi ya Israel, idadi ya mataifa yaliyoamua kusimamisha misaada kwa UNRWA, inazidi kuongezeka.

Nchi ya kwanza kutangaza kusimamisha msaada kwa UNRWA ilikuwa USA. Na ndani ya masaa 24, mataifa mengine, Canada, Australia, Italy na Uingereza, nayo yametangaza kusitisha michango yao kwa UNRWA. Haya, tayari ni mataifa 5, na huenda idadi ya mataifa yatakayofuata hatua ya mataifa haya, ikazidi kuongezeka.

Wakati huo huo, mkurugenzi mkuu wa UNRWA, ameanza kuchukua hatua ya kuwafuta kazi wafanyakazi ambao tayari wametajwa kushiriki kwenye shambulio hilo la kigaidi la Hamas dhidi ya Israel.

Hii inazidi kudhirisha tuhuma za awali kuwa misaada mingi ambayo imekuwa ikitolewa na nchi za Magharibi kuwasiaidia wananchi wa Palestina, Hamas imekuwa ikiitumia misaada hiyo kujenga nguvu za kuishambulia Israel badala ya kuwapa unafuu wa maisha Wapalestina.

Hali hii itawafanya Wapalestina kukumbana na magumu mengi hata baada ya vita kwa sababu bila shaka misaada ya nchi za Magharibi itapungua sana, huku ikijulikana wazi namna mataifa ya Kiarabu yalivyo na unafiki mkubwa. Wanajifanya wanawapenda wapalestina, lakini pamoja na utajiri wao utokanao na mafuta, mataifa hayo huwa yapo nyuma sana kuwasaidia Waarabu wenzao.

Ule msemo wa akufaaye wakati wa dhiki ndiyo rafiki, unadhihirisha wazi kuwa Waarabu siyo marafiki wa kweli wa Waarabu wa Palestina.



It is the fifth country to announce a suspension in funding to UNRWA in 24 ho announcements from the U.S., Canada, Australia and Italy.
Kinachotokea Palestina ni utabiri wa miaka ya 580 BC iliyotangazwa na Mwenyezi Mungu kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos na wengine kuwa Waisraeli watapigwa na kutawanywa kutokana na kumuasi Mungu, na hii ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema "nitawarejesha watu wangu Israel Kutoka nilikowatawanya (rejea Amos 9:14, Ezekiel 39:28), na Waisraeli walirejea mwaka 1948. Utabiri wa manabii iliendelea kusema Kuta za Gaza zitawaka moto ( Amos 1:6), na Sasa tunaona Kuta za Gaza zinawaka moto. Manabii walisema Mwenyezi Mungu ataifanya Yerusalemu (Israel) kuwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi ( Ezekiel 12:1-10), Sasa tunaona mgogoro juu ya Israel umewaelemea Mataifa, UN wameshindwa, maandamano ya Dunia yameshindwa, Africa Kusini wamejaribu kujitwika Hilo jiwe kwa kushitaki Mahakama ya ICJ hawataweza. Watu wanaweza kufikiri utabiri huo mbona wa miaka ya nyuma sana 580 BC kwa Nini utimie leo? Jibu ni rahisi, miaka 1000 ya mwanadamu, kwa Mungu ni siku moja. Bado Mwenyezi Mungu alishasema kwa kinywa Cha Nabii Amos 9:15 kuwa Waisraeli watakaporudi, hakuna wa kuwatoa. Hawa Hamas na Dunia kwa ujumla hawawezi kupindisha kilichosemwa na Mwenyezi Mungu, alisema Waisraeli watapigwa na kutawanywa ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa,ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa hakuna wa kuwatoa, utatimia tu, hakuna atakayepindisha. Hamas wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Waparestina wanapitia wakati mgumu sana hapa duniani kwa sasa.

Kosa lao kubwa ni kuyakumbatia hayo Magaidi ya Hamas.
Nina hakika wapalestina wangejitenga kabisa na hao watu, Ulimwengu karibia wote ungekuwa karibu nao katika kuwafanya nao waishi kwa heshima na kwa uhakika kama watu wa mataifa mengine. Sasa maisha yao yamekuwa hayana thamani kwa sababu ya kushikamana na Hamas, ambao kwao maisha ya mwanadamu, si kitu.
 
Kinachotokea Palestina ni utabiri wa miaka ya 580 BC iliyotangazwa na Mwenyezi Mungu kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos na wengine kuwa Waisraeli watapigwa na kutawanywa kutokana na kumuasi Mungu, na hii ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema "nitawarejesha watu wangu Israel Kutoka nilikowatawanya (rejea Amos 9:14, Ezekiel 39:28), na Waisraeli walirejea mwaka 1948. Utabiri wa manabii iliendelea kusema Kuta za Gaza zitawaka moto ( Amos 1:6), na Sasa tunaona Kuta za Gaza zinawaka moto. Manabii walisema Mwenyezi Mungu ataifanya Yerusalemu (Israel) kuwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi ( Ezekiel 12:1-10), Sasa tunaona mgogoro juu ya Israel umewaelemea Mataifa, UN wameshindwa, maandamano ya Dunia yameshindwa, Africa Kusini wamejaribu kujitwika Hilo jiwe kwa kushitaki Mahakama ya ICJ hawataweza. Watu wanaweza kufikiri utabiri huo mbona wa miaka ya nyuma sana 580 BC kwa Nini utimie leo? Jibu ni rahisi, miaka 1000 ya mwanadamu, kwa Mungu ni siku moja. Bado Mwenyezi Mungu alishasema kwa kinywa Cha Nabii Amos 9:15 kuwa Waisraeli watakaporudi, hakuna wa kuwatoa. Hawa Hamas na Dunia kwa ujumla hawawezi kupindisha kilichosemwa na Mwenyezi Mungu, alisema Waisraeli watapigwa na kutawanywa ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa,ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa hakuna wa kuwatoa, utatimia tu, hakuna atakayepindisha. Hamas wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Tueleweshane taratibu. Hilo la kuwarudisha Wayahudi kutoka walikotawanyika, siyo ilitakiwa litokee baada ya wao kumkiri Kristo ndiye Messiah?

Lakini mpaka sasa, Wayahudi waliopo Israel ni kama milioni 7 tu, wakati waliopo nje ya Israel wanafikia milioni 8. Hapa tunaweza kusema wamekwisharudishwa tayari?
 
Enyi Wana wa Mungu, unabii unakaribia kutimia...Israel itakataliwa na Dunia nzima ndipo sasa watakumbuka yule waliyomkataa alishakuja na wao hawakuwa na habari ila wakiendelea kufanya maasi...Ndipo watakapomrudia Mungu wao kisha naye atashuka na kupiga mataifa wakati huo sisi sijui tutakuwa wapi...Ee Mungu nikumbuke Mimi nisijeachwa na unyakuo wako
 
One of the very well scripted/staged event by the west.

Ni igizo la hali ya juu,

Siamini kama ni igizo, nadhani ni uhalisia.

Ujue mkurugenzi mkuu wa UNRWA na maafisa wakuu wote wa UNRWA ni waarabu. Nao wamekwishaanza kuwafukuza kazi wafanyakazi wa UNRWA ambao wanaonekana walishirikiana na Hamas kuishambulia Israel.

Swali la kujiuliza, hivi kweli inawezekana vipi uongozi mzima wa UNRWA usijue kuwa baadhi ya wafanyakazi wake ni miongoni mwa magaidi wa Hamas? Au wanawatoa hao wachache ili wawe mbuzi wa kafara ili kulinda kashfa dhidi ya UNRWA management?

Katibu Mkuu wa UN na mkurugenzi UNHCR, na yule wa UNRWA, wote wametoa tamko la kusikitishwa kwa taarifa hizi za baadhi ya wafanyakazi wa UNRWA kuwa sehemu ya magaidi.
 
Enyi Wana wa Mungu, unabii unakaribia kutimia...Israel itakatalowa na Dunia nzima ndipo sasa watakumbuka yule waliyomkataa alishakuja na wao hawakuwa na habari ila wakiendelea kufanya maasi...Ndipo watakapomrudia Mungu wao kisha naye atashuka na kupiga mataifa wakati huo sisi sijui tutakuwa wapi...Ee Mungu nikumbe Mimi nisijeachwa na unyakuo wako
Hii ni kwa mujibu wa kitabu gani?
 
Kwanini wawe obsessed na misaada ya West wakati wapo waarabu ambao ni jamii yao in terms of race, culture na imani?

Saud Arabia ni moja ya nchi yenye utajiri mkubwa sana. Ina mafuta mengi lakini pia inakusanya pesa nyingi sana kila mwaka kwenye zile hijjah

Kwa uwezo wa Saud Arabia wala hazikuhitajika nchi 5 kuweza kui fund Palestina katika kipindi hiki cha vita.

Sasa sijajua kwanini Saud Arabia na mataifa mengine ya kiarabu hayatoi sapoti kwa ndugu yao kiasi cha Palestina waanze kutaabika kuwabembeleza West waendelee kutoa misaada waliyokuwa wanatoa mwanzo?
Msaada wa Mwarabu ni utata mtupu
 
Kinachotokea Palestina ni utabiri wa miaka ya 580 BC iliyotangazwa na Mwenyezi Mungu kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos na wengine kuwa Waisraeli watapigwa na kutawanywa kutokana na kumuasi Mungu, na hii ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema "nitawarejesha watu wangu Israel Kutoka nilikowatawanya (rejea Amos 9:14, Ezekiel 39:28), na Waisraeli walirejea mwaka 1948. Utabiri wa manabii iliendelea kusema Kuta za Gaza zitawaka moto ( Amos 1:6), na Sasa tunaona Kuta za Gaza zinawaka moto. Manabii walisema Mwenyezi Mungu ataifanya Yerusalemu (Israel) kuwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi ( Ezekiel 12:1-10), Sasa tunaona mgogoro juu ya Israel umewaelemea Mataifa, UN wameshindwa, maandamano ya Dunia yameshindwa, Africa Kusini wamejaribu kujitwika Hilo jiwe kwa kushitaki Mahakama ya ICJ hawataweza. Watu wanaweza kufikiri utabiri huo mbona wa miaka ya nyuma sana 580 BC kwa Nini utimie leo? Jibu ni rahisi, miaka 1000 ya mwanadamu, kwa Mungu ni siku moja. Bado Mwenyezi Mungu alishasema kwa kinywa Cha Nabii Amos 9:15 kuwa Waisraeli watakaporudi, hakuna wa kuwatoa. Hawa Hamas na Dunia kwa ujumla hawawezi kupindisha kilichosemwa na Mwenyezi Mungu, alisema Waisraeli watapigwa na kutawanywa ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa,ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa hakuna wa kuwatoa, utatimia tu, hakuna atakayepindisha. Hamas wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Safi sana, kwa namna ulivyochukua matukio, kisha ukayaoanisha na maandiko ya kwenye biblia.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Waparestina wanapitia wakati mgumu sana hapa duniani kwa sasa.

Kosa lao kubwa ni kuyakumbatia hayo Magaidi ya Hamas.
Sahihi kabisa Hamas wanapewa pesa za misaada badala ya kujenga Palestina na viwanda vitoa ajira nk wanajenga mahandaki Tunnels za kushambulia Israel na kupeleka pesa Iran kununua silaha Toka Iran

Hamas ndio wateja wakubwa wa silaha za Irani Kwa Hela za misaada wanapewa na nchi wanazoiita za makafiri

Iran tapeli sana .Israel kupigana na Hamas na nchi zinazoitwa za makafiri kufuta ufadhili wa pesa soko la silaha la Iran kuuzia Hamas linakufa automatically na Iran Wala sio Charity organization silaha zao middle East Soko Kuu lilikuwa Palestina na tenda za kujenga hayo ma tunnels walipewa Iran

Iran Kwa watoa misaada kugoma Soko lake litakuwa Russia tu apokee mihela isiyo na thamani ya Ruble ya Russia badala ya Dola na Euro za Ulaya na Marekani ni pigo la kutosha Kwa Irani
 
Kinachotokea Palestina ni utabiri wa miaka ya 580 BC iliyotangazwa na Mwenyezi Mungu kupitia vinywa vya manabii wake Ezekiel, Zakaria, Amos na wengine kuwa Waisraeli watapigwa na kutawanywa kutokana na kumuasi Mungu, na hii ikatokea Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa. Mwenyezi Mungu pia alisema "nitawarejesha watu wangu Israel Kutoka nilikowatawanya (rejea Amos 9:14, Ezekiel 39:28), na Waisraeli walirejea mwaka 1948. Utabiri wa manabii iliendelea kusema Kuta za Gaza zitawaka moto ( Amos 1:6), na Sasa tunaona Kuta za Gaza zinawaka moto. Manabii walisema Mwenyezi Mungu ataifanya Yerusalemu (Israel) kuwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi ( Ezekiel 12:1-10), Sasa tunaona mgogoro juu ya Israel umewaelemea Mataifa, UN wameshindwa, maandamano ya Dunia yameshindwa, Africa Kusini wamejaribu kujitwika Hilo jiwe kwa kushitaki Mahakama ya ICJ hawataweza. Watu wanaweza kufikiri utabiri huo mbona wa miaka ya nyuma sana 580 BC kwa Nini utimie leo? Jibu ni rahisi, miaka 1000 ya mwanadamu, kwa Mungu ni siku moja. Bado Mwenyezi Mungu alishasema kwa kinywa Cha Nabii Amos 9:15 kuwa Waisraeli watakaporudi, hakuna wa kuwatoa. Hawa Hamas na Dunia kwa ujumla hawawezi kupindisha kilichosemwa na Mwenyezi Mungu, alisema Waisraeli watapigwa na kutawanywa ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa,ikatimia, alisema Waisraeli watarudishwa hakuna wa kuwatoa, utatimia tu, hakuna atakayepindisha. Hamas wakae kwa kutulia, vinginevyo watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naanza kuelewa mkuu
 
Tueleweshane taratibu. Hilo la kuwarudisha Wayahudi kutoka walikotawanyika, siyo ilitakiwa litokee baada ya wao kumkiri Kristo ndiye Messiah?

Lakini mpaka sasa, Wayahudi waliopo Israel ni kama milioni 7 tu, wakati waliopo nje ya Israel wanafikia milioni 8. Hapa tunaweza kusema wamekwisharudishwa tayari?
La kurudishwa lilitimia mwaka 1948. Mwenyezi Mungu katika Ezekiel 39:28 ameeleza atawarudisha baada ya kuwasotesha miaka mingi nje ya nchi yao, Yaani Kutoka 135 AD Hadi 1948 ni moto wa muda mrefu ili wajifunze kosa la uasi wao. Hilo la Waisraeli kumpinga Kristo ni mada nyingine, Ila inayoondelea kwa Sasa ni hii ya Ezekiel 12:1-12 kwamba Yerusalemu imegeuzwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi...unabii huu mpaka ukamilike, mataifa watakaojitwika jiwe hili, watapata jeraha nyingi. Iran, Yemen, Lebanon baadaye watajitwika jiwe hili kuwatetea Hamas, jeraha nyingi watapata, maneno ya Mungu wa kweli hayapindishwi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
La kurudishwa lilitimia mwaka 1948. Mwenyezi Mungu katika Ezekiel 39:28 ameeleza atawarudisha baada ya kuwasotesha miaka mingi nje ya nchi yao, Yaani Kutoka 135 AD Hadi 1948 ni moto wa muda mrefu ili wajifunze kosa la uasi wao. Hilo la Waisraeli kumpinga Kristo ni mada nyingine, Ila inayoondelea kwa Sasa ni hii ya Ezekiel 12:1-12 kwamba Yerusalemu imegeuzwa jiwe zito litakalowaelemea Mataifa, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi...unabii huu mpaka ukamilike, mataifa watakaojitwika jiwe hili, watapata jeraha nyingi. Iran, Yemen, Lebanon baadaye watajitwika jiwe hili kuwatetea Hamas, jeraha nyingi watapata, maneno ya Mungu wa kweli hayapindishwi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hivi kati ya utabiri wa hao kina Ezekiel na huu wa Yesu,ni upi ni utabiri wa mwisho?.

Luka 19:

41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.
 
Hii inazidi kudhirisha tuhuma za awali kuwa misaada mingi ambayo imekuwa ikitolewa na nchi za Magharibi kuwasiaidia wananchi wa Palestina, Hamas imekuwa ikiitumia misaada hiyo kujenga nguvu za kuishambulia Israel badala ya kuwapa unafuu wa maisha Wapalestina.
Mabeberu wanafiki sana, wanawaadhibu Wapalestina wote kisa Hamas.

Ila waisrael waliowakalia Wapalestina kimabavu kwa miaka 50+ wanalindwa.
 
Back
Top Bottom